Mpenzi wa zamani wa Wema Sepetu athibitisha kuwa ZARI ni mjamzito
Mwanamuziki maarufu nchini na sehemu nyingi za dunia – Diamond Platnumz ambaye aliwahi kuwa mpenzi wa mwanadada Wema Sepetu ameendelea kuuhakikishia ulimwengu kuwa, mpenzi wake wa sasa ZARI al-maarufu kama “The boss lady”, ni mama mtarajiwa aliyebeba ujauzito wa msanii huyo nguli nchini na kwamba hii sio project nyingine.
Huku akitumia mafumbo kwenye maneno yake ambayo wataalamu wetu wa Kiswahili ndio wametufafanulia kisanifu zaidi, Diamond aliandika
“Kileeeeeeee kinaanza kumuharibia mtu...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo531 Jan
Picha: Zari ndani ya Dar, athibitisha kwa mara ya kwanza kwa kauli yake kuwa mpenzi wa Diamond
10 years ago
Bongo513 Jan
Beyonce si mjamzito! Member wa zamani wa Destiny’s Child, Michelle Williams athibitisha
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BPpJiWHQYV0d-l9qZGiXWetbExokgtpEa37AuNMARjqMDL4Qxd3a9q4E-Oyl6AWy7dfulRHtVyg4gs0W2WHg2zR0mxAdElSc/JustinTimberlake600x560.png)
JUSTIN TIMBERLAKE ATHIBITISHA MKEWE KUWA MJAMZITO
10 years ago
VijimamboWema Sepetu blesses Platnumz and Zari-No Hard Feelings
"It didn't work out between us and I wish him all the best in his new relationship. They look good together," Wema said during a radio interview in Dar-es-Salaam.
Wema and Diamond had dated for over three years only to break up a couple of months back. Last September, the Bongo star bought Wema a brand new BMW as a birthday gift.
In the just concluded AFRIMA awards, Diamond Platnumz and...
9 years ago
Bongo521 Dec
Picha: Diamond uso kwa uso na watoto watatu wa mpenzi wa zamani wa Zari
![diamond na watoto wa zari](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/diamond-na-watoto-wa-zari-300x194.jpg)
Diamond Platnumz ameamua kuudhihirishia ulimwengu kuwa licha ya kuwa mama wa mtoto wake, Zarinah Tlale alimkuta na watoto watatu wa baba mwingine, lakini hilo halimzuii kuhang na watoto hao ambao baba yao ni Ivan Ssemwanga.
Akiwa Uganda weekend iliyopita Diamond na Zari walipost picha za familia ambapo kwenye moja ya picha hizo Diamond amepiga akiwa Zari na binti yao Tiffah na watoto wengine wa zari, na kusindikiza na caption ya kijembe.
“Me and my Stars!…Basi Hapo Vikurubembe roho...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/iXbY1jhuJ4g/default.jpg)
10 years ago
Bongo Movies04 Sep
Wema sepetu azungumzia ishu ya kuajiriwa na kajala. Mpenzi wake kutoka na mtu mwingine na bifu zake.
Mitandao na magazeti siku chache zilizopita ilitoka stori ambayo ilidai Kajala anaelekea kumuajiri Wema Sepetu,leo Wema kapatikana na kakubali kuongelea isue hizo zote ikiwemo hiyo ya Kajala.
Kupitia You heard ya XXL ya Clouds Fm Soudy Brown alianza kwa kutaka kufahamu kama kweli Kajala anaweza kumuajiri yeye [Wema]. Wema Sepetu akamjibu>>’Inawezekana,kila kitu kinawezekana Soudy’
Kuhusu mshahara ambao anataka kulipwa na Kajala,Wema Sepetu amejibu>>’Kwa Kajala mi sihitaji mshahara hata...
10 years ago
Bongo Movies04 Sep
Wema sepetu azungumzia ishu ya kuajiriwa na kajala. Mpenzi wake kutoka na mtu mwingine na bifu zake.
Mitandao na magazeti siku chache zilizopita ilitoka stori ambayo ilidai Kajala anaelekea kumuajiri Wema Sepetu,leo Wema kapatikana na kakubali kuongelea isue hizo zote ikiwemo hiyo ya Kajala.
Kupitia You heard ya XXL ya Clouds Fm Soudy Brown alianza kwa kutaka kufahamu kama kweli Kajala anaweza kumuajiri yeye [Wema]. Wema Sepetu akamjibu>>’Inawezekana,kila kitu kinawezekana Soudy’
Kuhusu mshahara ambao anataka kulipwa na Kajala,Wema Sepetu amejibu>>’Kwa Kajala mi sihitaji mshahara hata...