JUSTIN TIMBERLAKE ATHIBITISHA MKEWE KUWA MJAMZITO
![](http://api.ning.com:80/files/BPpJiWHQYV0d-l9qZGiXWetbExokgtpEa37AuNMARjqMDL4Qxd3a9q4E-Oyl6AWy7dfulRHtVyg4gs0W2WHg2zR0mxAdElSc/JustinTimberlake600x560.png)
BAADA ya kuwepo minong'ono ya hapa na pale kuwa mwigizaji Jessica Biel ana ujauzito wa mtoto wa kwanza wa mwanamuziki Justin Timberlake, huku mastaa hao wakikaa kimya, hatimaye staa Justin ameweka bayana kuwa mkewe huyo ni mjamzito. Timberlake ameweka wazi hayo kwa kutupia picha katika mtandao wa Instagram jana ikiwa ni siku yake ya kuzaliwa akimbusu tumbo mkewe Jessica mwenye mimba na kuandika hivi: 'Namshukuru kila mtu...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies03 Feb
Mpenzi wa zamani wa Wema Sepetu athibitisha kuwa ZARI ni mjamzito
Mwanamuziki maarufu nchini na sehemu nyingi za dunia – Diamond Platnumz ambaye aliwahi kuwa mpenzi wa mwanadada Wema Sepetu ameendelea kuuhakikishia ulimwengu kuwa, mpenzi wake wa sasa ZARI al-maarufu kama “The boss lady”, ni mama mtarajiwa aliyebeba ujauzito wa msanii huyo nguli nchini na kwamba hii sio project nyingine.
Huku akitumia mafumbo kwenye maneno yake ambayo wataalamu wetu wa Kiswahili ndio wametufafanulia kisanifu zaidi, Diamond aliandika
“Kileeeeeeee kinaanza kumuharibia mtu...
9 years ago
Mtanzania02 Sep
Kanye West, Justin Timberlake wapondana
NEW YORK, Marekani
MSANII wa muziki wa hip hop nchini Marekani, Kanye West, amewaponda wasanii wenzake akidai wanakosa tuzo mbalimbali kutokana na kukosa heshima kwa wasanii wenzao.
Dongo hilo alilirusha kwa msanii wa RnB, Justin Timberlake, Ceelo Green na wasanii wengine, akidai ndiyo maana hana sababu ya kuhoji kwa nini wamekosa tuzo ya ‘MTV Video Music’.
“Nawachukia sana wasanii wasio na heshima kwa wasanii wenzao, akiwemo Timberlake, Ceelo Green na wengine wengi, ndiyo maana sishangai...
10 years ago
Bongo513 Jan
Beyonce si mjamzito! Member wa zamani wa Destiny’s Child, Michelle Williams athibitisha
10 years ago
Habarileo06 Jul
Aua mkewe mjamzito wa miezi 9 kwa wivu
MLINZI wa usiku katika Ofisi za Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa, Florence Kazonde (35) amejinyonga baada ya kumuua kikatili kwa kumkaba koo mkewe aliyekuwa na ujauzito wa miezi tisa, Emilia Mzui (30).
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rYXJV*jyRSk0y32q6UrDZ9Gibi1TcUXB30fRY4*qAlcrJeojIEX3VAEvdSxkjMWT0Jj-OblMZQDI82Z3DuE7t0spSJ72INLB/Wolper.gif?width=650)
WOLPER AKANUSHA KUWA MJAMZITO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3WL4yNYnOoaSsKSKuEtgbE1OMiZiYVzIf4lLdJqh9z3-OIZ2xwZez8PgTlGh2NLZozV9F4aw0NDWqen4Gpe1Lw7fvtsZye5t/rihannacropped.jpg)
RIHANNA ADAIWA KUWA MJAMZITO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/V7mcip*tK2SMBA-TmbCMAiYG6VLJzQge1RjpGxw0-0hKRyDBLGl9KQTyVokqA0EHwMd6FXKgUH-ZPuRfUyTVR3X-tUBhVqM8/pregnantwoman.jpg?width=650)
MAMBO YA KUZINGATIA KABLA YA KUWA MJAMZITO
9 years ago
Bongo524 Nov
Baada ya kurudiana Kylie Jenner athibitisha kuwa ndoa yake na Tyga inakuja
![West Hollywood, CA - Kylie Jenner is back with her boyfriend, Tyga, after a short break-up during his birthday. They were seen arriving together at The Nice Guy for Justin Bieber's party where Kylie leaned on Tyga's shoulder to get out of their limo bus.
MANDATORY CREDIT: Maciel/Roger/AKM-GSI
AKM-GSI November 22, 2015
To License These Photos, Please Contact :
Steve Ginsburg
(310) 505-8447
(323) 423-9397
steve@akmgsi.com
sales@akmgsi.com
or
Maria Buda
(917) 242-1505
mbuda@akmgsi.com
ginsburgspalyinc@gmail.com](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/tyga-na-kylie-AMAa-300x194.jpg)
Baada ya kudaiwa kuachana siku chache zilizopita, rapper Tyga na mrembo kutoka kwenye familia maarufu ya The Kardashians, Kylie Jenner walionekana pamoja baada ya tuzo za ‘American Music Awards’ Jumapili iliyopita, ikiashiria kuwa wamemaliza matatizo waliyokuwa nayo.
Tyga aliyekuwa amevaa suti ya blue pamoja na Kylie aliyekuwa amevaa kivazi cheupe walionekana wakiwa wameshikana mikono baada ya tuzo hizo.
Wakati wakipanda gari ili kuelekea kwenye after party ya Justin Bieber, paparazzi...
5 years ago
BBCSwahili19 Mar
Coronavirus: Mwanamuziki wa Bongo Flava nchini Tanzania athibitisha kuwa na maambukizi ya virusi