RIHANNA ADAIWA KUWA MJAMZITO
![](http://api.ning.com:80/files/3WL4yNYnOoaSsKSKuEtgbE1OMiZiYVzIf4lLdJqh9z3-OIZ2xwZez8PgTlGh2NLZozV9F4aw0NDWqen4Gpe1Lw7fvtsZye5t/rihannacropped.jpg)
Mwanamuziki Rihanna anayedaiwa kuwa mjamzito. TOVUTI ya MediaTakeOut imesema mwanamuziki Rihanna ni mjamzito asilimia 100 na ina vithibitisho kuhusu taarifa hiyo na kama siyo kweli watatoa Dola za Kimarekani 10,000. Katika ripoti iliyotolewa na tovuti hiyo, inadaiwa kuwa Rihanna ni mjamzito na walipata taarifa hizo jana huku wakieleza kuwa si tetesi taarifa hizo ni za uhakika asilimia… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania27 Feb
Diwani Chadema adaiwa kumpiga mjamzito
Asifiwe George na Veronica Romwald, Dar es Salaam
DIWANI wa Kata ya Saranga wilayani Kinondoni, Ephraim Kinyafu (CHADEMA) anadaiwa kumshambulia kwa mateke na fimbo, Aisha Mosses, ambaye ni mjamzito akimtuhumu kuwa ni mamluki.
Tukio hilo lilitokea jana katika Mtaa wa Saranga ambako hatua ya uandikishaji wananchi kwa ajili ya kurudia uchaguzi wa Serikali za Mitaa ambao awali ulivurugika, lilikuwa likiendelea.
Akizungumza na MTANZANIA shuhuda wa tukio hilo, Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rYXJV*jyRSk0y32q6UrDZ9Gibi1TcUXB30fRY4*qAlcrJeojIEX3VAEvdSxkjMWT0Jj-OblMZQDI82Z3DuE7t0spSJ72INLB/Wolper.gif?width=650)
WOLPER AKANUSHA KUWA MJAMZITO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/V7mcip*tK2SMBA-TmbCMAiYG6VLJzQge1RjpGxw0-0hKRyDBLGl9KQTyVokqA0EHwMd6FXKgUH-ZPuRfUyTVR3X-tUBhVqM8/pregnantwoman.jpg?width=650)
MAMBO YA KUZINGATIA KABLA YA KUWA MJAMZITO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BPpJiWHQYV0d-l9qZGiXWetbExokgtpEa37AuNMARjqMDL4Qxd3a9q4E-Oyl6AWy7dfulRHtVyg4gs0W2WHg2zR0mxAdElSc/JustinTimberlake600x560.png)
JUSTIN TIMBERLAKE ATHIBITISHA MKEWE KUWA MJAMZITO
9 years ago
Bongo506 Oct
Nachukia sana kuwa mjamzito — Kim Kardashian
10 years ago
Bongo Movies03 Feb
Mpenzi wa zamani wa Wema Sepetu athibitisha kuwa ZARI ni mjamzito
Mwanamuziki maarufu nchini na sehemu nyingi za dunia – Diamond Platnumz ambaye aliwahi kuwa mpenzi wa mwanadada Wema Sepetu ameendelea kuuhakikishia ulimwengu kuwa, mpenzi wake wa sasa ZARI al-maarufu kama “The boss lady”, ni mama mtarajiwa aliyebeba ujauzito wa msanii huyo nguli nchini na kwamba hii sio project nyingine.
Huku akitumia mafumbo kwenye maneno yake ambayo wataalamu wetu wa Kiswahili ndio wametufafanulia kisanifu zaidi, Diamond aliandika
“Kileeeeeeee kinaanza kumuharibia mtu...
10 years ago
Bongo502 Jan
Kim Kardashian akanusha tetesi za kuwa mjamzito, asifia wimbo mpya wa Kanye
9 years ago
Bongo504 Nov
No Stress: Nipo vizuri sina tatizo la uzazi — asema Linah na kukanusha kuwa sio mjamzito
![Linah](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Linah-300x194.jpg)
Linah Sanga amekanusha uvumi kuwa ana ujauzito na kuweka taarifa sawa kuhusu afya yake ya uzazi.
Mwimbaji huyo wa ‘No Stress’ amesema kuwa kwasasa anajipanga ndio maana hajaamua kupata mtoto lakini hiyo haimaanishi kuwa ana matatizo yoyote ya uzazi kama baadhi ya watu wanavyohisi.
“Mimi nipo vizuri bhanaa sina tatizo la uzazi ila huwa najipanga ndio maana watu hawajahi kuniona nina ujauzito, lakini kwa sasa najiachia sanaa hivyo muda wowote wanaweza kusikia jambo,” alisema Linah kupitia...
11 years ago
Bongo515 Jul
Mpenzi wa Chris Brown, Karreuche Tran akili kuwa anapigana vita kali na Rihanna