Mpenzi wa Chris Brown, Karreuche Tran akili kuwa anapigana vita kali na Rihanna
Mpenzi wa on/off wa star wa R&B Chris Brown, Karreuche Tran amezungumzia jinsi mahusiano yake na Breezy yalivyo na changamoto nyingi hasa kutokana na ex wake hit maker wa ‘Diamonds’ Rihanna. Jina la Karreuche limekuwa katika vichwa vingi vya habari miaka ya karibuni kutokana na kuingia kwenye maisha ya star huyo. Karrueche amesema muda mwingi […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo502 Aug
Chris Brown apigwa chini tena na mpenzi wake Karrueche Tran kisa Rihanna!
10 years ago
Bongo507 Dec
Chris Brown aachana tena na Karrueche Tran, atangaza jukwaani kuwa yupo single (Video)
11 years ago
Bongo505 Aug
Chris Brown adai kuwa Karrueche Tran hakumpiga chini bali yeye ndiye amempiga kibuti, zifahamu sababu
9 years ago
Bongo529 Sep
Picha: Memphis Depay aonekana tena na Ex wa Chris Brown, Karrueche Tran
10 years ago
Africanjam.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-XOgJMixpBQ4/VZLq80I4uGI/AAAAAAAACV4/5uhGg-4ISCo/s72-c/chris-brown-karrueche-tran-bet-awards-2015-doesnt-want-see-his-ass-gty-lead.jpg)
CHRIS BROWN AVOIDED KARRUECHE TRAN ON RED CARPET AT BET AWARDS 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-XOgJMixpBQ4/VZLq80I4uGI/AAAAAAAACV4/5uhGg-4ISCo/s400/chris-brown-karrueche-tran-bet-awards-2015-doesnt-want-see-his-ass-gty-lead.jpg)
Karrueche Tran debuted a surprising — yet stunning! — blonde bombshell look at the 2015 Bet Awards on June 28 . But that didn’t mean she wanted to give her ex, Chris Brown, a chance to see what he’s missing.It was almost unavoidable! Karrueche Tran, 27, could have easily run into Chris Brown, 26, at the BET Awards. While both were in attendance at the big awards show, the former flames steered clear of a an awkward encounter. HollywoodLife.com was on the scene, and has the EXCLUSIVE scoop on...
10 years ago
Bongo508 Nov
Mdogo wake na Kim Kardashian, Kendall Jenner anamzimia Chris Brown, huenda akampiku Karrueche Tran
9 years ago
BBCSwahili27 Sep
Rihanna; Chris Brown ataingia Australia ?
9 years ago
Mtanzania09 Oct
Rihanna: Naweza kubadilisha maisha ya Chris Brown
NEY YORK, MAREKANI
MSANII wa muziki nchini Marekani, Robyn Fenty ‘Rihanna’, amesema kuwa yeye ni mtu pekee anayeweza kumbadilisha, Chris Brown.
Awali wawili hao walikuwa wapenzi, walipoachana Chris akadondokea kwa Karrueche Tran, hata hivyo hakudumu naye baada ya Chris kuletewa mtoto na mpenzi wake wa zamani, Nia Guzman.
Kutokana na kuyumba huku katika mapenzi, Rihanna ameshindwa kuzuia hisia zake na kusema kuwa yeye ndiye mwanamke pekee anayeweza kumbadilisha msanii huyo.
“Nilimzoea sana...