Chris Brown apigwa chini tena na mpenzi wake Karrueche Tran kisa Rihanna!
Button ya uhusiano wa mwimbaji Chris Brown na mrembo wake Karrueche Tran imewekwa ‘Off’ kwa mara nyingine na sababu ni Rihanna. Siku chache zilizopita kuna shabiki mmoja alipost picha ya Chris Brown akiwa kitandani na Rihanna na kumtag Breezy ambaye naye ali ‘like’, kwa mujibu wa TMZ hiyo ni moja ya sababu ya Karrueche ku’switch […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo529 Sep
Picha: Memphis Depay aonekana tena na Ex wa Chris Brown, Karrueche Tran
Mchezaji wa Manchester United, Memphis Depay ameonekana kwa mara nyingine akila bata na aliyekuwa mpenzi wa staa wa R&B Chris Brown, Karrueche Tran jijini Manchester. Tetesi za wawili hao kuwa pamoja zilianza baada ya kuanza kuonekana pamoja miezi michache iliyopita nchini Marekani. Wawili hao walionekana tena usiku wa Jumapili wakiwa pamoja wakitoka kwenye club moja […]
11 years ago
Bongo515 Jul
Mpenzi wa Chris Brown, Karreuche Tran akili kuwa anapigana vita kali na Rihanna
Mpenzi wa on/off wa star wa R&B Chris Brown, Karreuche Tran amezungumzia jinsi mahusiano yake na Breezy yalivyo na changamoto nyingi hasa kutokana na ex wake hit maker wa ‘Diamonds’ Rihanna. Jina la Karreuche limekuwa katika vichwa vingi vya habari miaka ya karibuni kutokana na kuingia kwenye maisha ya star huyo. Karrueche amesema muda mwingi […]
10 years ago
Bongo507 Dec
Chris Brown aachana tena na Karrueche Tran, atangaza jukwaani kuwa yupo single (Video)
Kwa mara nyingine Chris Brown na mpenzi wake Karrueche Tran wameachana, lakini safari hii Chris mwenyewe ameamua kutoa taarifa hiyo akiwa jukwaani mbele ya mashabiki kwa kusema kuwa yupo single. Breezy ametoa habari hiyo akiwa jukwaani kwenye show ya Cali Christmas ya Power 106 iliyofanyika Ijumaa Dec 5. “How many single ladies we got in […]
11 years ago
Bongo505 Aug
Chris Brown adai kuwa Karrueche Tran hakumpiga chini bali yeye ndiye amempiga kibuti, zifahamu sababu
Vyanzo vya karibu na mwimbaji Chris Brown vimeuambia mtandao wa TMZ kuwa Chris ameshangazwa na habari za hivi karibuni kuwa amepigwa chini na mpenzi wake wa On/Off Karrueche Tran, na kudai kuwa yeye (Chris) ndiye aliyempiga kibuti mrembo huyo. Vyanzo hivyo vimesema kuwa Breezy amemuacha Karrueche baada ya kugundua alikuwa anawasiliana na kuwatumia picha wanaume […]
10 years ago
Bongo508 Nov
Mdogo wake na Kim Kardashian, Kendall Jenner anamzimia Chris Brown, huenda akampiku Karrueche Tran
Mdogo wake na Kim Kardashian, Kendall Jenner anadaiwa kumzimikia Chris Brown. Kuanzia Kulia: Trey Songz, Kendall Jenner, Chris Brown na Kyle Jenner Model huyo mwenye miaka 19, amekuwa akionekana kwenye picha akila bata na staa huyo miezi ya hivi karibuni na anaamini kuupeleka uhusiano wao kwenye hatua ya juu zaidi. Anasemekana kufanya kila awezalo kufanikisha […]
10 years ago
Africanjam.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-XOgJMixpBQ4/VZLq80I4uGI/AAAAAAAACV4/5uhGg-4ISCo/s72-c/chris-brown-karrueche-tran-bet-awards-2015-doesnt-want-see-his-ass-gty-lead.jpg)
CHRIS BROWN AVOIDED KARRUECHE TRAN ON RED CARPET AT BET AWARDS 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-XOgJMixpBQ4/VZLq80I4uGI/AAAAAAAACV4/5uhGg-4ISCo/s400/chris-brown-karrueche-tran-bet-awards-2015-doesnt-want-see-his-ass-gty-lead.jpg)
Karrueche Tran debuted a surprising — yet stunning! — blonde bombshell look at the 2015 Bet Awards on June 28 . But that didn’t mean she wanted to give her ex, Chris Brown, a chance to see what he’s missing.It was almost unavoidable! Karrueche Tran, 27, could have easily run into Chris Brown, 26, at the BET Awards. While both were in attendance at the big awards show, the former flames steered clear of a an awkward encounter. HollywoodLife.com was on the scene, and has the EXCLUSIVE scoop on...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TxtLZ0aSbwx5pPnkGz5W*CIyQ7kNw1FG5N29jmaeTB-VyLstOhLCuC7*lnAgnYUrcjbm5KLs5aGp*K2d4Bg8UXIyiMQjFfuJ/2CDED0F8000005783252567imagea5_1443471119549.jpg?width=650)
MEMPHIS AMKASIRISHA CHRIS BROWN, KISA PENZI LA KARRUECHE
Karrueche Tran na Memphis Depay wakiwa matembezini. Manchester, England
SIKU chache baada ya picha za mwanamitindo wa Marekani, Karrueche Tran na winga wa Manchester United, Memphis Depay kusambazwa wakiwa pamoja jijini Manchester wakifanya ‘shopping’, imebainika kuwa mpenzi wa zamani wa mrembo huyo, Chris Brown amechukizwa na kitendo hicho. Hii ni mara ya pili kwa Memphis na Karrueche kunaswa wakiwa pamoja ambapo...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania