Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nachukia sana kuwa mjamzito — Kim Kardashian

Mke wa rapper Kanye West, Kim Kardashian ameandika kwenye website yake jinsi anavyochukia kuwa mjamzito, licha ya kuwa sasa ni mjamzito na anategemea kujifungua December 25. Katika post hiyo, Kim K (34) aliandika kuwa anashangaa watu ambao huwa wana enjoy hali ya ujauzito akiwemo mama yake na dada yake Kourtney, kitu ambacho kwake ni tofauti. […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Kim Kardashian akanusha tetesi za kuwa mjamzito, asifia wimbo mpya wa Kanye

Kim Kardashian ameuanza mwaka mpya kwa kusafisha tetesi zilizosambaa mtandaoni mwishoni mwa 2014 kuwa huenda akawa na ujauzito wa mdogo wake North. Kupitia Twitter Kim K aliandika: “Ngoja tusafishe baadhi ya tetesi kabla ya mwaka mpya …. Nimechoka kuona mtandaoni na kiukweli sijui wanayatoa wapi mambo haya!” aliendelea kwenye tweet nyingine, “hapana mimi sio mjamzito”, […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Kim kardashian ni mjamzito

Nyota wa kipindi cha runinga nchini Marekani ambaye ameolewa na msanii Kanye West amefichua katika kipindi cha keeping up with the Kardashian kwamba ni mjamzito.

 

10 years ago

GPL

KIM KARDASHIAN AFICHUA NI MJAMZITO, KUZAA MTOTO WA PILI

Mmwanamitindo wa Marekani, Kim Kardashian akiwa na mumewe mwanamuziki, Kanye West. Kim Kardashian akifanyiwa vipimo hospitalini jana, ambapo alionekana kuwa mjamzito.  Aliyesimama kushoto ni mama yake, Kris Jenner.…

 

10 years ago

Bongo5

Baba wa kambo wa Kim Kardashian na aliyemlea, Bruce Jenner anajibadilisha kuwa mwanamke!

Baba wa kambo wa Kim Kardashian ambaye ni baba mzazi wa Kendall na Kyle, Bruce Jenner yupo kwenye mchakato wa kujibadilisha kuwa mwanamke, kwa mujibu wa People. Taarifa hiyo imetolewa na mtu wa familia yake na kwamba ni mtu mwenye furaha na wanae wamekubaliana na hilo. Mchakato huo wa kubadilika kuwa mwanamke unatengenezwa makala maalum […]

 

9 years ago

Bongo5

Hili linaweza kuwa jina atakalopewa mtoto wa kiume wa Kanye West na Kim Kardashian

Grand Opening of RYU Restaurant - Inside

Kanye West na Kim Kardashian wamejaaliwa mtoto wa kiume wikiendi iliyomalizika japo jina la mtoto bado halijafamika.

Grand Opening of RYU Restaurant - Inside

Hata hivyo kuna tetesi kuwa mtoto huyo ataitwa Robert, jina la baba yake Kim Kardashian ambaye ni marehemu kwa sasa.

2F166FE700000578-3348507-And_baby_makes_four_Kim_with_her_first_child_daughter_North_two_-m-28_1449435844411

Mtoto huyo alizaliwa kwenye hospitali ya Cedars-Sinai Medical Center ya Los Angeles kwenye wodi ya uzazi yenye gharama ya $4,000.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose...

 

10 years ago

Bongo5

Tyga akanusha kuwa na uhusiano na mdogo wake Kim Kardashian, azungumzia diss ya Drake

Rapper wa YMCMB, Tyga amekanusha kuwa na uhusiano na mdogo wake Kim Kardashian, Kylie Jenner. Akiongea kwenye kipindi cha Power 105.1, The Breakfast Club jana, Tyga alidai kuwa hakuiacha familia yake kuwa na Kyle. Kabla ya hapo Amber Rose ambaye rafiki yake na mke wa zamani wa Tyga, Blac Chyna alihojiwa kwenye kipindi hicho pia […]

 

5 years ago

Showbiz Cheat Sheet

Kardashian Fans Think Kourtney and Kim Kardashian are the Most 'Naturally Beautiful' of Their Sisters

Kardashian Fans Think Kourtney and Kim Kardashian are the Most 'Naturally Beautiful' of Their Sisters  Showbiz Cheat SheetKourtney Kardashian Reacts Kylie Jenner & Travis Scott Getting Exposed By Mason Disick  HollywoodLifeWhy Kourtney Kardashian Made Mason Disick Delete His Instagram  E! NEWSMason Disick just spilled the tea about Kylie Jenner and Travis Scott  cosmopolitan.comKim Kardashian Shades Kylie Jenner & Kendall Jenner In New Video  HollywoodLifeView Full coverage on Google...

 

9 years ago

GPL

LINAH: NACHUKIA SANA KUTUKANWA

Gabriel Ng’osha MPENZI msomaji wa safu hii ya Dukuduku, leo ninaye msanii wa muziki wa Bongo Fleva nchini, Esterlina Sanga ‘Linah’ akisikitika na kuumia hasa pale anapotolewa au kusikia mtu akitoa matusi, iwe kwenye mitandao ya kijamii au ana kwa ana.  ...Soma zaidi===>http://goo.gl/8FLiSA

 

5 years ago

Cosmopolitan.Com

Kim Kardashian and Kourtney Kardashian Are "Embarrassed" About Their 'KUWTK' Fight

Kim Kardashian and Kourtney Kardashian Are "Embarrassed" About Their 'KUWTK' Fight  Cosmopolitan.comKhloé Kardashian would ‘demolish Kourtney if they ever fight  Geo NewsKourtney Kardashian and Scott Disick's Co-Parenting Might Be 'Just For Show' According to Fans  Showbiz Cheat SheetKendall Jenner thinks Kourtney Kardashian’s breakup with Scott Disick is the reason behind her family feud  PINKVILLAKourtney Kardashian defends her stance on motherhood: ‘raising children is a job  Geo NewsView...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani