Baba wa kambo wa Kim Kardashian na aliyemlea, Bruce Jenner anajibadilisha kuwa mwanamke!
Baba wa kambo wa Kim Kardashian ambaye ni baba mzazi wa Kendall na Kyle, Bruce Jenner yupo kwenye mchakato wa kujibadilisha kuwa mwanamke, kwa mujibu wa People. Taarifa hiyo imetolewa na mtu wa familia yake na kwamba ni mtu mwenye furaha na wanae wamekubaliana na hilo. Mchakato huo wa kubadilika kuwa mwanamke unatengenezwa makala maalum […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
5 years ago
Showbiz Cheat Sheet28 Mar
Why Did Kris Jenner Offer Kim Kardashian West $400k to Walk in a Fashion Show?
10 years ago
Bongo508 Nov
Mdogo wake na Kim Kardashian, Kendall Jenner anamzimia Chris Brown, huenda akampiku Karrueche Tran
10 years ago
BBCSwahili27 Apr
Babaake Kim Kardashian sasa ni mwanamke
9 years ago
Mtanzania01 Sep
Linex Mjeda ahofia kuwa baba wa kambo
MSANII wa Bongo Fleva, Linex Mjeda baada ya kukosa mchumba kwa muda mrefu amehofia kuwa baba wa kambo kutokana na kukutana na wasichana wenye ujauzito mara kwa mara kama alivyoandika kwenye ukurasa wake wa Instagram.
“Nina mashaka na mpango wa Mungu, jua linawaka linazama sipati mchumba lakini kila nikijaribu kurusha kete yangu sehemu nakuta mtoto wa watu siku nyingi tayari ana ujauzito alafu hayupo sawa na jamaa aliyempa huo ujauzito, sasa hii maana yake nini jamani? Nauona kabisa ubaba wa...
5 years ago
BBCSwahili17 Jun
Kim Yo-jong: Mwanamke mwenye uwezo mkubwa anayeonekana kuwa mrithi wa Kim Jong-un Korea Kaskazini
9 years ago
Bongo506 Oct
Nachukia sana kuwa mjamzito — Kim Kardashian
10 years ago
BBCSwahili02 Jun
Bruce Jenner sasa ajiita Caytlin
10 years ago
Bongo502 Jan
Kim Kardashian akanusha tetesi za kuwa mjamzito, asifia wimbo mpya wa Kanye