Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bruce Jenner sasa ajiita Caytlin

Mnamo mwezi Aprili Bruce Jenner alijibadilisha maumbile katika mahojiano na Diane Sawyer wa ABC.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

NEWS: BRUCE JENNER SEEN WEARING STRIPED DRESS OUTSIDE MALIBU HOME

Bruce Jenner, the thrice-married father of six who’s set to reveal he’s transitioning to a woman, was spotted wearing a floor-length striped dress Tuesday outside his Malibu home.Jenner, 65, was photographed sporting the long-sleeved black-and-white dress, with a slit from the knee to the hem, while stretching and smoking a cigarette on the mansion’s patio.The photos emerged less than three days before Jenner’s highly-anticipated interview with Diane Sawyer on ABC where it is believed he...

 

10 years ago

GPL

CAITLYN JENNER: SITATUMIA VIWANGO VYA BRUCE KATIKA GOLF

CAITLYN Jenner (65) aliyejibadili jinsia na kuwa mwanamke atalazimika kuanza na viwango vipya katika mchezo wa Golf maana watoa viwango hivyo hawatamtambua tena kama zamani alipokuwa mwanaume akitumia jina la Bruce Jenner. Picha ya Caitlyn iliyowekwa katika Jarida la Vanity Fair. Bruce alikuwa mkali wa mchezo wa Golf akiwa na viwango vya 5.3. Kwa sasa Chama cha Golf nchini Marekani hakitamruhusu Caitlyn kutumia viwango...

 

10 years ago

Bongo5

Baba wa kambo wa Kim Kardashian na aliyemlea, Bruce Jenner anajibadilisha kuwa mwanamke!

Baba wa kambo wa Kim Kardashian ambaye ni baba mzazi wa Kendall na Kyle, Bruce Jenner yupo kwenye mchakato wa kujibadilisha kuwa mwanamke, kwa mujibu wa People. Taarifa hiyo imetolewa na mtu wa familia yake na kwamba ni mtu mwenye furaha na wanae wamekubaliana na hilo. Mchakato huo wa kubadilika kuwa mwanamke unatengenezwa makala maalum […]

 

10 years ago

Vijimambo

KRIS JENNER TO CAITLYN JENNER: WHY GET MARRIED AND HAVE KIDS?

In new excerpts from Vanity Fair's July cover story, Kris Jenner speaks out about her divorce from Caitlyn Jenner, formerly known as Bruce, saying he shouldn't have married and had kids if this was what he wanted all along."He was married to me, and he wasn’t who he wanted to be, so he was miserable. It was the most passive-aggressive thing I think I’ve ever experienced."I like the way she calls him 'he'. She said in the interview that Bruce abruptly ended their marriage, telling her "just...

 

9 years ago

Bongo5

Tyga kwa Future: Unaweza kumchukua Blac Chyna, nina demu mkali zaidi kwa sasa (Kylie Jenner)

Tyga hana tatizo na Future ambaye inadaiwa ana uhusiano na ‘baby mama’ wake Blac Chyna kwakuwa ana msichana mrembo zaidi kwa sasa – Kylie Jenner. Kulikuwepo na tetesi kuwa wawili hao waliowahi kushirikiana kwenye ngoma moja, Show You, wametofautiana kufuatia hatua hiyo kwa Future kuamua kuvunja masharti ya ‘ushkaji’ ya kuanza kutembea na shemeji yake […]

 

9 years ago

BBCSwahili

Muuaji ajiita shujaa Colorado

Muuaji wa watu 3 katika shambulio katika kliniki ya matibabu nchini Marekani mwezi uliopita amekiri makosa.

 

10 years ago

GPL

LULU AJIITA DEMU FEKI

Imelda mtema
Makubwa! Staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amedai kwamba yeye ni ‘demu feki’ tena mwenye tabia za kitapeli huku kauli yake hiyo ikiacha baadhi ya watu midomo wazi na kutaka kujua kulikoni. Staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’. Akizungumza na Ijumaa Wikienda, wikiendi iliyopita, Lulu alisema kuwa ni kweli yeye ni demu feki lakini kama watu...

 

11 years ago

GPL

MKALIMANI IBADA YA MANDELA AOMBA RADHI, AJIITA BINGWA

Thamsanqa Jantjie akiwa 'beneti' na Rais Barack Obama wa Marekani siku ya ibada ya Mandela.
Thamsanqa Jantjie. MKALIMANI wa ishara za viziwi aliyeshambuliwa wakati wa ibada ya hayati Nelson Mandela amejitetea na kusema anaifahamu kazi yake vyema. Mtu huyo, Thamsanqa Jantjie, alisema jana ana ujuzi mkubwa wa kazi hiyo na ameifanya katika matukio mengine makubwa nchini humo. “Nimeifanya kazi hii kwa miaka mingi,”...

 

11 years ago

GPL

WEMA AZUA TIMBWILI GLOBAL, AJIITA YEYE NI CHIZI KULIKO MACHIZI WOOTE!

Stori: Sifael Paul
HOVYOOO! Wema Isaac Sepetu aliye pia Miss Tanzania 2006, amejitoa fahamu kwa kupandisha mzuka na kutinga makao makuu ya Kampuni ya Global Publishers, Bamaga-Mwenge, Dar na kuzua timbwili la aina yake kisa kikiwa ni kuandikwa kwa habari zake na mpenziwe, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’. Tukio hilo la kumchoresha staa huyo mwenye vituko kila kukicha, lilijiri Jumatatu iliyopita kwenye ofisi za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani