Bruce Jenner sasa ajiita Caytlin
Mnamo mwezi Aprili Bruce Jenner alijibadilisha maumbile katika mahojiano na Diane Sawyer wa ABC.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/--lAICWOHbfg/VTfyLvxPsTI/AAAAAAAAPoc/QkZlYDVlSIE/s72-c/00.png)
NEWS: BRUCE JENNER SEEN WEARING STRIPED DRESS OUTSIDE MALIBU HOME
![](http://1.bp.blogspot.com/--lAICWOHbfg/VTfyLvxPsTI/AAAAAAAAPoc/QkZlYDVlSIE/s1600/00.png)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p8dNfbTfHuDN8JcZXl30pnusjtGqWaze8VPyEe22F7-4NBtZT4EcQy*o0wtPlD2Tnb5QFf0zn6ZuyGIjkJ2pea6CuKMB5k*t/CAITLYN.jpg?width=650)
CAITLYN JENNER: SITATUMIA VIWANGO VYA BRUCE KATIKA GOLF
CAITLYN Jenner (65) aliyejibadili jinsia na kuwa mwanamke atalazimika kuanza na viwango vipya katika mchezo wa Golf maana watoa viwango hivyo hawatamtambua tena kama zamani alipokuwa mwanaume akitumia jina la Bruce Jenner. Picha ya Caitlyn iliyowekwa katika Jarida la Vanity Fair. Bruce alikuwa mkali wa mchezo wa Golf akiwa na viwango vya 5.3. Kwa sasa Chama cha Golf nchini Marekani hakitamruhusu Caitlyn kutumia viwango...
10 years ago
Bongo531 Jan
Baba wa kambo wa Kim Kardashian na aliyemlea, Bruce Jenner anajibadilisha kuwa mwanamke!
Baba wa kambo wa Kim Kardashian ambaye ni baba mzazi wa Kendall na Kyle, Bruce Jenner yupo kwenye mchakato wa kujibadilisha kuwa mwanamke, kwa mujibu wa People. Taarifa hiyo imetolewa na mtu wa familia yake na kwamba ni mtu mwenye furaha na wanae wamekubaliana na hilo. Mchakato huo wa kubadilika kuwa mwanamke unatengenezwa makala maalum […]
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-0qOwtJU4Csc/VXBZdufQn8I/AAAAAAAAQC4/b4t_DOrgmgs/s72-c/caitlyn_jenner.jpg)
KRIS JENNER TO CAITLYN JENNER: WHY GET MARRIED AND HAVE KIDS?
![](http://2.bp.blogspot.com/-0qOwtJU4Csc/VXBZdufQn8I/AAAAAAAAQC4/b4t_DOrgmgs/s640/caitlyn_jenner.jpg)
9 years ago
Bongo527 Oct
Tyga kwa Future: Unaweza kumchukua Blac Chyna, nina demu mkali zaidi kwa sasa (Kylie Jenner)
Tyga hana tatizo na Future ambaye inadaiwa ana uhusiano na ‘baby mama’ wake Blac Chyna kwakuwa ana msichana mrembo zaidi kwa sasa – Kylie Jenner. Kulikuwepo na tetesi kuwa wawili hao waliowahi kushirikiana kwenye ngoma moja, Show You, wametofautiana kufuatia hatua hiyo kwa Future kuamua kuvunja masharti ya ‘ushkaji’ ya kuanza kutembea na shemeji yake […]
9 years ago
BBCSwahili10 Dec
Muuaji ajiita shujaa Colorado
Muuaji wa watu 3 katika shambulio katika kliniki ya matibabu nchini Marekani mwezi uliopita amekiri makosa.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bt5BWlmh0GbHouINxPXfL-W9GDkoexq-oLPqOfFWtincBl9T7fb2dCAxkjI7bfeYM4jxC8F3eMrvnPqva1eyK6qVIYZITF1P/YUI.gif?width=650)
LULU AJIITA DEMU FEKI
Imelda mtema
Makubwa! Staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amedai kwamba yeye ni ‘demu feki’ tena mwenye tabia za kitapeli huku kauli yake hiyo ikiacha baadhi ya watu midomo wazi na kutaka kujua kulikoni. Staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’. Akizungumza na Ijumaa Wikienda, wikiendi iliyopita, Lulu alisema kuwa ni kweli yeye ni demu feki lakini kama watu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6vIMLmuhUcrjXI*vJZf-Pfv-v7dFzjGMWf1dWYQeGfXV0c1M-AkgP380GFSqURNvMRCJh1f9r6lKQKpiEVrg5bBx7J3Zphbo/MKALIMANISAUZI1.jpg)
MKALIMANI IBADA YA MANDELA AOMBA RADHI, AJIITA BINGWA
Thamsanqa Jantjie akiwa 'beneti' na Rais Barack Obama wa Marekani siku ya ibada ya Mandela.
Thamsanqa Jantjie. MKALIMANI wa ishara za viziwi aliyeshambuliwa wakati wa ibada ya hayati Nelson Mandela amejitetea na kusema anaifahamu kazi yake vyema. Mtu huyo, Thamsanqa Jantjie, alisema jana ana ujuzi mkubwa wa kazi hiyo na ameifanya katika matukio mengine makubwa nchini humo. “Nimeifanya kazi hii kwa miaka mingi,â€...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/79FAz6LP6Hist607QABydkvwa*imv8lmCNxE20Zlg4DxM*bHlyyBbo2LLMFpWNqOJTohUFw*v*q8SbmVYDwIVjFHIHpjAFYa/wema.jpg?width=650)
WEMA AZUA TIMBWILI GLOBAL, AJIITA YEYE NI CHIZI KULIKO MACHIZI WOOTE!
Stori: Sifael Paul
HOVYOOO! Wema Isaac Sepetu aliye pia Miss Tanzania 2006, amejitoa fahamu kwa kupandisha mzuka na kutinga makao makuu ya Kampuni ya Global Publishers, Bamaga-Mwenge, Dar na kuzua timbwili la aina yake kisa kikiwa ni kuandikwa kwa habari zake na mpenziwe, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’. Tukio hilo la kumchoresha staa huyo mwenye vituko kila kukicha, lilijiri Jumatatu iliyopita kwenye ofisi za...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania