Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Muuaji ajiita shujaa Colorado

Muuaji wa watu 3 katika shambulio katika kliniki ya matibabu nchini Marekani mwezi uliopita amekiri makosa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

LULU AJIITA DEMU FEKI

Imelda mtema
Makubwa! Staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amedai kwamba yeye ni ‘demu feki’ tena mwenye tabia za kitapeli huku kauli yake hiyo ikiacha baadhi ya watu midomo wazi na kutaka kujua kulikoni. Staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’. Akizungumza na Ijumaa Wikienda, wikiendi iliyopita, Lulu alisema kuwa ni kweli yeye ni demu feki lakini kama watu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Bruce Jenner sasa ajiita Caytlin

Mnamo mwezi Aprili Bruce Jenner alijibadilisha maumbile katika mahojiano na Diane Sawyer wa ABC.

 

11 years ago

BBCSwahili

Colorado yanufaika na uuzaji wa Bangi

Utawala wa jimbo Colorado nchini Marekani umesema katika kipindi cha mwezi mmoja tangu uuzaji wa bangi kuhalalisha umekusanya $2m

 

11 years ago

BBC

Eloundou finally signs for Colorado

Cameroon's Charles Eloundou finally signs a permanent deal with Major League Soccer side Colorado Rapids.

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu 3 wauawa katika shambulio Colorado

Watu 3 wameuawa baada ya kupigwa risasi na mtu mmoja aliyevamia kituo cha kupanga uzazi katika eneo la Colorado Springs nchini Marekani.

 

11 years ago

GPL

MKALIMANI IBADA YA MANDELA AOMBA RADHI, AJIITA BINGWA

Thamsanqa Jantjie akiwa 'beneti' na Rais Barack Obama wa Marekani siku ya ibada ya Mandela.
Thamsanqa Jantjie. MKALIMANI wa ishara za viziwi aliyeshambuliwa wakati wa ibada ya hayati Nelson Mandela amejitetea na kusema anaifahamu kazi yake vyema. Mtu huyo, Thamsanqa Jantjie, alisema jana ana ujuzi mkubwa wa kazi hiyo na ameifanya katika matukio mengine makubwa nchini humo. “Nimeifanya kazi hii kwa miaka mingi,”...

 

5 years ago

SB Nation

Why Chiefs OC Eric Bieniemy should and shouldn’t take the Colorado job

Why Chiefs OC Eric Bieniemy should and shouldn’t take the Colorado job  SB NationWhy Chiefs’ Eric Bieniemy should (and shouldn't) be an NCAA head coach  Arrowhead PrideView Full coverage on Google News

 

10 years ago

Michuzi

ANKAL APATA MGENI KUTOKA COLORADO, MAREKANI, LEO

Ankal akiwa na mgeni wake Frida Kileo kutoka Colorado, Marekani, aliyetembelea makao makuu ya Libeneke jijini Dar es salaam leo na kujionea shughuli za hapo pamoja na maandalizi ya sherehe za Miaka 10 ya Michuzi Blog mwezi Septemba. Yeye ni mmoja wa wadau wakubwa wa Globu ya Jamii walioko ughaibuni.
Ankal akipata selfie na mgeni wake

 

11 years ago

GPL

WEMA AZUA TIMBWILI GLOBAL, AJIITA YEYE NI CHIZI KULIKO MACHIZI WOOTE!

Stori: Sifael Paul
HOVYOOO! Wema Isaac Sepetu aliye pia Miss Tanzania 2006, amejitoa fahamu kwa kupandisha mzuka na kutinga makao makuu ya Kampuni ya Global Publishers, Bamaga-Mwenge, Dar na kuzua timbwili la aina yake kisa kikiwa ni kuandikwa kwa habari zake na mpenziwe, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’. Tukio hilo la kumchoresha staa huyo mwenye vituko kila kukicha, lilijiri Jumatatu iliyopita kwenye ofisi za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani