Kim Kardashian akanusha tetesi za kuwa mjamzito, asifia wimbo mpya wa Kanye
Kim Kardashian ameuanza mwaka mpya kwa kusafisha tetesi zilizosambaa mtandaoni mwishoni mwa 2014 kuwa huenda akawa na ujauzito wa mdogo wake North. Kupitia Twitter Kim K aliandika: “Ngoja tusafishe baadhi ya tetesi kabla ya mwaka mpya …. Nimechoka kuona mtandaoni na kiukweli sijui wanayatoa wapi mambo haya!” aliendelea kwenye tweet nyingine, “hapana mimi sio mjamzito”, […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo527 Oct
Kanye West kufanya wimbo wa pamoja na mkewe Kim Kardashian?
10 years ago
Bongo506 Oct
Nachukia sana kuwa mjamzito — Kim Kardashian
9 years ago
Bongo507 Dec
Hili linaweza kuwa jina atakalopewa mtoto wa kiume wa Kanye West na Kim Kardashian

Kanye West na Kim Kardashian wamejaaliwa mtoto wa kiume wikiendi iliyomalizika japo jina la mtoto bado halijafamika.
Hata hivyo kuna tetesi kuwa mtoto huyo ataitwa Robert, jina la baba yake Kim Kardashian ambaye ni marehemu kwa sasa.
Mtoto huyo alizaliwa kwenye hospitali ya Cedars-Sinai Medical Center ya Los Angeles kwenye wodi ya uzazi yenye gharama ya $4,000.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose...
10 years ago
Bongo518 Feb
Tyga akanusha kuwa na uhusiano na mdogo wake Kim Kardashian, azungumzia diss ya Drake
10 years ago
BBCSwahili01 Jun
Kim kardashian ni mjamzito
10 years ago
GPL
KIM KARDASHIAN AFICHUA NI MJAMZITO, KUZAA MTOTO WA PILI
9 years ago
Bongo506 Dec
Kanye West na Kim Kardashian wapata mtoto wa kiume

Hatimaye mke wa rapa Kanye West, Kim Kardashian amejifungua mtoto wao wa pili, wa kiume siku ya Jumamosi Asubuhi (Dec .5).
Kim aliandika taarifa ya kujifungua kupitia website yake. “Kim Kardashian West and Kanye West welcomed the arrival of their son this morning. Mother and son are doing well,” ulisomeka ujumbe huo.
He's here! https://t.co/KlWQrG3Ri9 pic.twitter.com/NRLQCeQ5H4
— Kim Kardashian West (@KimKardashian) December 5, 2015
Mpaka sasa Kim na Kanye bado hawajasema jina la mtoto...
11 years ago
Tanzania Daima30 May
Ndoa ya Kanye West, Kim Kardashian ilivyokuwa gumzo Duniani
MEI 24, Dunia ilishuhudia shamrashamra za harusi ya mastaa wakubwa wanaotikisa kwa kazi zao, mwanadada, Kim Kardashian na Kanye West, baada ya wawili hao kufunga ndoa wakiachana na ukapera. Kim...