LINAH: NACHUKIA SANA KUTUKANWA
![](http://api.ning.com:80/files/pwNUcGVK-dVw1WyDlfU3Kyigy8yi8bgEJJC6pB0CRg7SAsUy-iRX77XYT2CPBDrNhGj*vnwjebPznW-mGfODVkfW6H4MS86H/8.jpg)
Gabriel Ng’osha MPENZI msomaji wa safu hii ya Dukuduku, leo ninaye msanii wa muziki wa Bongo Fleva nchini, Esterlina Sanga ‘Linah’ akisikitika na kuumia hasa pale anapotolewa au kusikia mtu akitoa matusi, iwe kwenye mitandao ya kijamii au ana kwa ana.  ...Soma zaidi===>http://goo.gl/8FLiSA
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo506 Oct
Nachukia sana kuwa mjamzito — Kim Kardashian
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t8oueEU5ZFJcK-V1vePTe7f*zjqzwUox8YFSupGacm048ORPT82OxLBxeqwQNV3Bqnb-TC8ZO3iXOhEzoBTT8r0g*3A4WDK7/sandra.jpg)
SANDRA: NACHUKIA UKE WENZA
9 years ago
Mtanzania01 Oct
Magufuli: Nachukia mauaji ya Kiteto
*Asema hayupo tayari kuongoza Serikali inayovuja damu
Na Bakari Kimwanga, Kongwa
MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema amechoka kusikia mauaji ya wakulima na wafugaji wilayani Kiteto.
Mgombea huyo alisema akichaguliwa kuwa rais atashughulika na Mkuu wa Mkoa (RC) na Mkuu wa Wilaya (DC), atakaowateua iwapo mauaji hayo yataendelea.
Alisema Kamanda wa Polisi wa Mkoa (RPC) atakayeteuliwa anapaswa kujipanga vizuri kusimamia amani katika eneo hilo la sivyo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mJm3snXM0myBkCzhTOY2-9lmdwCvFNmdz77hK8GoInUVSl-*PrBJU0aE5hgZtGyEZY7f4tejcKSTMJ0pgdlc1VLKzD61xIMf/koletha.jpg)
KOLETA: NACHUKIA WANAOJIRAHISISHA KWA WANAUME
11 years ago
Tanzania Daima06 Apr
CCM yalaumiwa kutukanwa Warioba
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimelaumiwa kwa kuwatumia vijana kumtukana aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji mstaafu Joseph Warioba, kwamba hatua hiyo ni kulidhalilisha taifa. Serikali kupitia Wizara...
10 years ago
Bongo Movies27 Apr
Mastaa Wanaoongoza Kutukana\Kutukanwa Mtandaoni
Imekuwa ikielezwa kuwa wasanii ni kioo cha jamii. Kwa maana hiyo wanatakiwa kufanya mambo ambayo yanaweza kuigwa na wale wanaowatazama. Hata hivyo, maisha wanayoishi baadhi ya wasanii hayaakisi msemo huo.
Wengi wamekuwa wakikumbwa na skendo mbalimbali zinazowafanya wasiwe na vigezo vya kuitwa kioo cha jamii.
Miongoni mwa mambo yanayowafanya wakati mwingine wadharaulike ni kutoa maneno machafu, ‘live’ au kupitia kwenye mitandao ya kijamii.
Katika makala haya nitawazungumzia mastaa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/F6kBJElJzOa6xQ6Mc*Ir4ioIyWZjfliIsJa7UY9**cauCSZODa63ckodTlhtVApByt7i3*s6bzCxYwmrkinNXgRKEeIGzM-W/wolper.jpg?width=650)
WOLPER: NIMECHOKA KUTUKANWA KILA KUKICHA
11 years ago
Tanzania Daima06 Apr
Jaji Warioba hakustahili kutukanwa matusi haya
RAIS Jakaya Kikwete alimteua aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, ili aiongoze tume hiyo katika kuwapatia Watanzania Katiba iliyo bora. Wakati baadhi ya watu wanaamini...
10 years ago
Bongo Movies07 Apr
Lulu: Nilishalia Sana, Nishaumia Sana Lakini Kwasasa…….
Staa mrembo kutoka Bongo Movies Elizabeth Michael ‘Lulu’ ameamua kutoboa kile alichokiita kama faraja yake kwa hivi sasa.
“Faraja YANGU...Nishalia sana,nishaumia sana lakini kwa sasa nikiona mmoja kati ya hawa analia au kuumia ndo kitu kinachoweza kuniumiza zaidi...!MUNGU awatunzeeee”-Lulu aliandika hayo jana usiku kwenye ukursa wake mtandaoni mara baada ya kuweka picha ya mama yake na mdogo wake.
Kufuatia andiko hilo komenti za mashabiki wengi zilielekea zaidi kumzungumzia kifo cha Steven...