Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SANDRA: NACHUKIA UKE WENZA

Stori: Rhoda Josiah
MKONGWE kwenye sanaa Bongo, Salama Salmin ‘Sadra’ amesema kuwa hakuna kitu anakichukia maishani kama uke wenza. Mkongwe kwenye sanaa ya maigizo Bongo, Salama Salmin ‘Sandra’. Akipiga stori na mwandishi wa gazeti hili, Sadra ambaye tayari ni mke wa mtu, alisema anajiamini kwa kila jambo ambalo analifanya katika maisha yake na hayupo tayari kukubali kabisa suala la uke wenza kwani...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Madaktari wakuza 'uke' katika maabara

Madaktari nchini Marekani wamefanikiwa kuwatengezea wanawake wanne uke wao kwa njia ya kisayansi.

 

9 years ago

Mtanzania

Magufuli: Nachukia mauaji ya Kiteto

g jpg*Asema hayupo tayari kuongoza Serikali inayovuja damu

 

Na Bakari Kimwanga, Kongwa

MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema amechoka kusikia mauaji ya wakulima na wafugaji wilayani Kiteto.

Mgombea huyo alisema akichaguliwa kuwa rais atashughulika na Mkuu wa Mkoa (RC) na Mkuu wa Wilaya (DC), atakaowateua iwapo mauaji hayo yataendelea.

Alisema Kamanda wa Polisi wa Mkoa (RPC) atakayeteuliwa anapaswa kujipanga vizuri kusimamia amani katika eneo hilo la sivyo...

 

9 years ago

GPL

LINAH: NACHUKIA SANA KUTUKANWA

Gabriel Ng’osha MPENZI msomaji wa safu hii ya Dukuduku, leo ninaye msanii wa muziki wa Bongo Fleva nchini, Esterlina Sanga ‘Linah’ akisikitika na kuumia hasa pale anapotolewa au kusikia mtu akitoa matusi, iwe kwenye mitandao ya kijamii au ana kwa ana.  ...Soma zaidi===>http://goo.gl/8FLiSA

 

5 years ago

BBCSwahili

Julian Peters: Mwanamke aliyezaliwa bila uke wala mfuko wa uzazi

Julian Peters ni mwanamke wa miaka 29 aliyezaliwa na ugonjwa unaojulikana kama (MRKH) Mayer-Rokitansky-Küster-Hauser,ikimaanisha kuwa alizaliwa bila mfuko wa kizazi.

 

10 years ago

GPL

KOLETA: NACHUKIA WANAOJIRAHISISHA KWA WANAUME

Gabriel Ng’osha WIKI hii katika Dukukudu la Staa, tupo na msanii mkali wa filamu za Kibongo, Coletha Raymond ‘Koleta’ akizungumzia tabia ya wanawake kujirahisisha kwa wanaume. Soma zaidi===>http://bit.ly/1CWkhxp

 

9 years ago

Bongo5

Nachukia sana kuwa mjamzito — Kim Kardashian

Mke wa rapper Kanye West, Kim Kardashian ameandika kwenye website yake jinsi anavyochukia kuwa mjamzito, licha ya kuwa sasa ni mjamzito na anategemea kujifungua December 25. Katika post hiyo, Kim K (34) aliandika kuwa anashangaa watu ambao huwa wana enjoy hali ya ujauzito akiwemo mama yake na dada yake Kourtney, kitu ambacho kwake ni tofauti. […]

 

9 years ago

Global Publishers

Wazazi mnaowachagulia watoto wenza mnawayumbisha

smiling-couple_0620131146361Habari za mwaka mpya wapenzi wasomaji wangu? Mimi nimefika salama namshukuru Mungu. Kwa wale wagonjwa poleni, kwa walioondokewa na wapendwa wao poleni pia Mungu awape nguvu.

Baada ya hayo twende kwenye mada yetu moja kwa moja inayowahusu wazazi kwa ujumla, watoto tulionao sasa ni kizazi kingine kabisa si kama chetu ambapo kijana alipotaka kuoa ilikuwa lazima mzazi amkubali binti husika.

Mada hii nimeipata kwa msomaji mmoja anayeishi mkoani aliyenipigia simu na kuniambia kuwa mama yake mzazi...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Unyanyasaji wa wenza majumbani

Walioko kwenye ndoa zenye manyanyaso wanawashauri wanawake wengine kuepuka madhila hayo wakati huu wa amri ya kutotoka nje.

 

11 years ago

Habarileo

Wajawazito wasiokwenda na wenza kliniki wanyimwa tiba

IDADI kubwa ya wajawazito katika Tarafa ya Mwese, Halmashauri ya Wilaya ya Mpanda mkoani Katavi, wanalazimika kutohudhuria kliniki na kujifungulia nyumbani, kwa madai ya kukataliwa kuhudumiwa katika kliniki ya eneo hilo, wanapokwenda bila ya wenza wao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani