KOLETA: NACHUKIA WANAOJIRAHISISHA KWA WANAUME
![](http://api.ning.com:80/files/mJm3snXM0myBkCzhTOY2-9lmdwCvFNmdz77hK8GoInUVSl-*PrBJU0aE5hgZtGyEZY7f4tejcKSTMJ0pgdlc1VLKzD61xIMf/koletha.jpg)
Gabriel Ng’osha WIKI hii katika Dukukudu la Staa, tupo na msanii mkali wa filamu za Kibongo, Coletha Raymond ‘Koleta’ akizungumzia tabia ya wanawake kujirahisisha kwa wanaume. Soma zaidi===>http://bit.ly/1CWkhxp
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U7YWT3FNhpwn0ODj2CaeKIfnmjnrVBaRc7ad3hQs35e1t4b6BtRGwK*Y9NSwXrhpoZwV*jvSjBYbcXJgeY0wlRyHCltxsTPT/koleta.jpg?width=650)
KOLETA ATOBOA SIRI YA KUCHUKIA WANAUME!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t8oueEU5ZFJcK-V1vePTe7f*zjqzwUox8YFSupGacm048ORPT82OxLBxeqwQNV3Bqnb-TC8ZO3iXOhEzoBTT8r0g*3A4WDK7/sandra.jpg)
SANDRA: NACHUKIA UKE WENZA
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pwNUcGVK-dVw1WyDlfU3Kyigy8yi8bgEJJC6pB0CRg7SAsUy-iRX77XYT2CPBDrNhGj*vnwjebPznW-mGfODVkfW6H4MS86H/8.jpg)
LINAH: NACHUKIA SANA KUTUKANWA
9 years ago
Mtanzania01 Oct
Magufuli: Nachukia mauaji ya Kiteto
*Asema hayupo tayari kuongoza Serikali inayovuja damu
Na Bakari Kimwanga, Kongwa
MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema amechoka kusikia mauaji ya wakulima na wafugaji wilayani Kiteto.
Mgombea huyo alisema akichaguliwa kuwa rais atashughulika na Mkuu wa Mkoa (RC) na Mkuu wa Wilaya (DC), atakaowateua iwapo mauaji hayo yataendelea.
Alisema Kamanda wa Polisi wa Mkoa (RPC) atakayeteuliwa anapaswa kujipanga vizuri kusimamia amani katika eneo hilo la sivyo...
9 years ago
Bongo506 Oct
Nachukia sana kuwa mjamzito — Kim Kardashian
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-gl49bYfuLRU/VV4Ef12encI/AAAAAAAAuI4/VXWFgPJinb8/s72-c/07dcmbege.jpg)
Story ya wanawake wa Rombo kukodi wanaume Kenya kuwaridhisha kimapenzi yatinga bungeni, wanaume wataka waombwe radhi
![](http://4.bp.blogspot.com/-gl49bYfuLRU/VV4Ef12encI/AAAAAAAAuI4/VXWFgPJinb8/s640/07dcmbege.jpg)
Habari iliyoandikwa kwenye gazeti la Mwananchi juzi yenye kichwa cha habari ‘Wanawake wa Rombo wakodi wanaume kutoka Kenya’ imeibukia bungeni leo.Habari hiyo iliandikwa kutokana na kauli aliyoitoa mkuu wa wilaya ya Rombo, Lembris Kipuyo, aliyedai kuwa kutokana na wanaume wa wilaya hiyo kuwa walevi wa kutupa, wake zao wamekuwa wakikodi wanaume kutoka Kenya ili kuwaridhisha kimapenzi.
“Tatizo la ulevi wilayani Rombo na matumizi ya pombe zisizokuwa na viwango ni kubwa sana na linahitaji nguvu...
10 years ago
Dewji Blog19 Apr
Kwa wanaume na wanawake walio kwenye ndoa tu ! kwa wanaotaraji kupata watoto
Pichani ni mwanadada, Hamisa Mabeto ambaye hivi karibuni amebahatika kupata mtoto. Awali ujauzitowa Hamisa Mabeto haukujulikana hadi pale alipopiga picha maalum za mavazi ya ujauzito ambazo zilisambaa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii, ambapo hata hivyo baad ya kusambaa kwa picha hizo, siku chache, Hamisa alijifungua mtoto wake.
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Msomaji wa Modewji blog, unaendelea kuperuzi leo tumewaletea dondoo kidogo katika suala la kuhimarisha familia ndani ya nyumba....
10 years ago
Bongo Movies08 Dec
KOLETA: Uchawi Umetawala Katika Filamu
Msanii wa filamu za Kibongo, Coletha Raymond ‘Koleta’ amefunguka kuwa, tasnia ya filamu imetawaliwa na uchawi na kusisitiza kuwa itakuwa vigumu kwa baadhi ya wasanii kung’ara katika kazi hiyo.
Koleta alisema kwa sababu uchawi hauna ushahidi si rahisi kutamka hadharani lakini yeye anathubutu kusema ukweli kuhusu jambo hilo.
“Wengi wanaogopa kusutwa lakini lisemwalo lipo na kama halipo laja, suala la uchawi katika tasnia ya filamu lipo wala watu wasikatae, unakuta msanii anajua kuigiza...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iRGkQSu08cuQD2ZpscewE9IBAMULZtgJh9H8vM2jOpDnVvg2lv7R5sbSIt66wsLUuG8wSd1HEPt1qrsX4zhjG1s*iptMASSD/koleta.jpg?width=650)
KOLETA AJAZA MATAMBARA KISA UJAUZITO