Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KOLETA AJAZA MATAMBARA KISA UJAUZITO

Stori: Imelda Mtema KITUKO! Msanii wa sinema za Kibongo, Coletha Raymond ‘Koleta’ ametoa kali ya aina yake kwa kusema anapenda ujauzito kiasi cha kufikia hatua ya kujaza matambara tumboni ili awe na muonekano wa mjamzito. Msanii wa sinema za Kibongo, Coletha Raymond ‘Koleta’.
Akizungumza na paparazi wetu, Koleta alisema kwa jinsi anavyopenda ujauzito, akimuona mwanamke yeyote mjamzito anamfuata na...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Magufuli ajaza fomu za kuwania urais

Mgombea wa Urais kupitia Chama tawala CCM John Magufuli amechukua fomu ya kuwania kiti hicho, akiambatana na mgombea mwenza Samia Suluhu Hassan.

 

10 years ago

GPL

KOLETA: NACHUKIA WANAOJIRAHISISHA KWA WANAUME

Gabriel Ng’osha WIKI hii katika Dukukudu la Staa, tupo na msanii mkali wa filamu za Kibongo, Coletha Raymond ‘Koleta’ akizungumzia tabia ya wanawake kujirahisisha kwa wanaume. Soma zaidi===>http://bit.ly/1CWkhxp

 

11 years ago

GPL

KOLETA ATOBOA SIRI YA KUCHUKIA WANAUME!

Na Brighton Masalu
MSANII wa maigizo na filamu, Coletha Raymond ‘Koleta’ amefunguka na kutoboa siri ya moyoni juu ya chanzo cha kuwachukia wanaume huku akisisitiza kuendelea kuwa peke yake na kuifanya pombe ndiyo faraja kubwa. Coletha Raymond ‘Koleta’. Akizungumza na mwandishi wetu kwa njia ya simu mwanzoni mwa wiki hii, Koleta alisema kamwe hawezi kusahau maumivu aliyopewa na mchumba wake wa zamani...

 

10 years ago

Bongo Movies

KOLETA: Uchawi Umetawala Katika Filamu

Msanii wa filamu za Kibongo, Coletha Raymond ‘Koleta’ amefunguka kuwa, tasnia ya filamu imetawaliwa na uchawi na kusisitiza kuwa itakuwa vigumu kwa baadhi ya wasanii kung’ara katika kazi hiyo.

Koleta alisema kwa sababu uchawi hauna ushahidi si rahisi kutamka hadharani lakini yeye anathubutu kusema ukweli kuhusu jambo hilo.

“Wengi wanaogopa kusutwa lakini lisemwalo lipo na kama halipo laja, suala la uchawi katika tasnia ya filamu lipo wala watu wasikatae, unakuta msanii anajua kuigiza...

 

11 years ago

GPL

MAKALIO YA KOLETA YADATISHA WATU MLIMANI CITY!

Stori: Hamida Hassan
Msanii wa filamu, Coletha Raymond ‘Koleta’ hivi karibuni aliibua gumzo maeneo ya Mlimani City jijini Dar kutokana na kivazi alichokuwa amevaa huku makalio yake yakionekana kuongezeka kwa kiasi kikubwa.
Tukio hilo lilitokea juzikati wakati  Koleta alipokuwa akitoa kwenye lango kuu kuelekea ilipo ‘parking’ ya magari akiwa na mwanaume aliyeonekana kama mpenzi wake. Msanii wa...

 

11 years ago

GPL

STEVE NYERERE ACHOMOA MADAI YA KUMTENGA KOLETA

Deogratius Mongela na Shani Ramadhani MWENYEKITI wa Klabu ya Bongo Movie, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ amefungukia madai ya kumtenga msanii mwenzao, Coletha Raymond ‘Koleta’ kipindi alipokuwa anaumwa. Mwenyekiti wa Klabu ya Bongo Movie, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ (mwenye suti). Awali, madai yalipenyezwa kuwa, klabu hiyo ilimtenga Koleta kipindi alipokuwa akiumwa ambapo alilazwa...

 

11 years ago

GPL

KIFO CHA KUAMBIANA, KOLETA AZIMIA, ALAZWA

Na Nyemo Chilongani
BAADA ya kupewa taarifa za msiba wa Adam Kuambiana, staa wa filamu za Kibongo, Coletha Rymond ‘Koleta’ alijikuta akizimia na kulazwa katika Hospitali ya Kairuki jijini Dar. Staa wa filamu za Kibongo, Coletha Rymond ‘Koleta’ akiwa hospitali baada ya kuzimia kwenye msiba wa msanii mwenzake Kuambiana. Sosi ambaye ni mtu wa karibu na staa huyo, alipenyeza habari kuwa Koleta alishindwa...

 

11 years ago

GPL

KOLETA AWALIPUA WAKE ZA WATU BONGO MOVIES

Na Andrew Carlos
STAA wa filamu Bongo, Coletha Raymond ‘Koleta’ amewashukia waigizaji wenzake ambao ni wake za watu na kudai kuwa wanaichafua sanaa hiyo kwa kujirahisisha kwenye ngono na wanaume wengine. Staa wa filamu Bongo, Coletha Raymond ‘Koleta’. Akizungumza kwa sharti la kutowataja majina, Koleta alisema anawatambua wasanii wengi ambao ni wake za watu na hufanya mchezo huo wakiwa eneo la...

 

11 years ago

GPL

KOLETA: NAKULA UJANA, KUOLEWA BADO SANA

Stori: Maria Halimoja Mwanadada kutoka tasnia ya filamu Bongo, Coletha Raymond ‘Koleta’ amesema kwamba suala la yeye kuolewa siyo la leo wala kesho na kwamba anakula ujana kwanza. Mwanadada kutoka tasnia ya filamu Bongo, Coletha Raymond ‘Koleta’ Akipiga stori na paparazi wetu juzikati, Koleta alisema kwa sasa hafikirii kabisa suala la kuingia kwenye maisha ya ndoa kwa kuwa, kila jambo na muda wake na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani