STEVE NYERERE ACHOMOA MADAI YA KUMTENGA KOLETA
![](http://api.ning.com:80/files/FsV0PLw632rXM0Xw6Qb41JnZzC-QKASGUS5vCijCKbfdJxkQq2iOuocwC9s4NL4tZoNFfFJQqVUK4Xvypv0pIkeydOGZZrth/5.jpg?width=650)
Deogratius Mongela na Shani Ramadhani MWENYEKITI wa Klabu ya Bongo Movie, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ amefungukia madai ya kumtenga msanii mwenzao, Coletha Raymond ‘Koleta’ kipindi alipokuwa anaumwa. Mwenyekiti wa Klabu ya Bongo Movie, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ (mwenye suti). Awali, madai yalipenyezwa kuwa, klabu hiyo ilimtenga Koleta kipindi alipokuwa akiumwa ambapo alilazwa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rYXJV*jyRSkVT8NUzNmEnwoMieUIWix-ZckMbASZXUs4tLQjrZ5Noqi8bm5eZlgr96ju2xbGMRP0mDdvrDYGzU1SQRAKYyYS/steve.jpg?width=650)
STEVE NYERERE AFUNGUKIA MADAI
10 years ago
Bongo Movies13 Aug
Steve Nyerere Afungukia Madai Kuhamia Ukawa!
STAA wa uchekeshaji na filamu Bongo, Steve Mengere ‘Steve Nyerere’ amefungukia madai ya kujiondoa Chama Cha Mapinduzi na kujiunga na umoja wa UKAWA akisema kushindwa kwake katika kura za maoni hakuwezi kuondoa heshima yake kwa Mwenyekiti wake, Jakaya Kikwete.
Akizungumza na gazeti hili juzi, Steve alisema Rais Kikwete amefanya mambo mengi sana kwa wasanii, kiasi kwamba ni mtu asiye na hisani pekee anaweza kuhama CCM kwa sababu ya kushindwa katika kura za maoni au ushawishi wa namna...
11 years ago
Tanzania Daima09 Feb
Steve Nyerere: Wamenikomoa
MWENYEKITI wa Bongo Movie, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’, amesema anaumizwa na baadhi ya wasanii ambao hawampi ushirikiano licha ya kumpa kura nyingi siku ya uchaguzi, akisema yaonekana walifanya hivyo ili...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-j31ozEYYytU/VZEErgnwL0I/AAAAAAAHlhs/iscjbxdxwxY/s72-c/unnamed%2B%252812%2529.jpg)
steve nyerere atangaza nia
![](http://4.bp.blogspot.com/-j31ozEYYytU/VZEErgnwL0I/AAAAAAAHlhs/iscjbxdxwxY/s640/unnamed%2B%252812%2529.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LWw0InctTwk2SO0wEl2lczDUB8-R17d7odd*4lERDpPVd*RsZ4AF7jF4zGnI-JHSckkKvxvxO9yyzfX5lQqF3Cspf58MsJjV/steve.jpg?width=650)
STEVE NYERERE, BATULI HAPATOSHI
9 years ago
Bongo Movies13 Nov
Steve Nyerere Alishwa Sumu
STAA wa sinema za Kibongo, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ hivi karibuni alinusurika kifo baada ya kula chakula chenye sumu na kulazimika kukimbizwa katika Hospitali ya Hurbert Kairuki Memorial iliyopo Mikocheni jijini Dar, Amani linakupa ripoti kamili.
Kwa mujibu wa chanzo, Steve alifika hotelini (jina linahifadhiwa) kupata chakula cha jioni na marafiki zake ambapo baada ya kula kidogo akaanza kulalamika tumbo linamuuma.
“Baada ya kula chakula alianza kushika tumbo na kulalamika kwamba...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pog920fjmi*Z*kg7xKE*0aFTNVMfLLJyYoYDDsxp2XC9QLFutwjST06qAo*jR7xyAFADoLpuByf57x5180Ntw9oxeyaH-njn/steven.jpg)
STEVE NYERERE AAIBIKA UWANJANI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/szrS1FfaDDKe6I-CwQOY1GMcj7wss3ddXq*S-AM5hnd8lgA-okwpA3gVDpX6SH4-IEM4VEo3mI1PZpjdFxpiI7l0ol*TBGuT/steven.jpg)
STEVE NYERERE AFUTWA UANACHAMA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OyRBKp4pk3RkELY1eQCtg0vgVnAVbxN7qhC0PKBUjUKgj3FFg8AmlVpBndSOKflooCwUI-9PqRW6MsecV69KZP33I65EwWDs/steven.jpg?width=550)
STEVE NYERERE AKOMBWA IPAD