Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Julian Peters: Mwanamke aliyezaliwa bila uke wala mfuko wa uzazi

Julian Peters ni mwanamke wa miaka 29 aliyezaliwa na ugonjwa unaojulikana kama (MRKH) Mayer-Rokitansky-Küster-Hauser,ikimaanisha kuwa alizaliwa bila mfuko wa kizazi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Mimba kutunga nje ya mfuko wa uzazi

MIMBA inayotungia nje ya mfuko wa uzazi kwa kitaalamu inafahamika kama ectopic pregnancy. Hii mimba inayotungia nje ya mfuko wa kizazi huwa inakaa ndani ya mirija ya uzazi. Mimba kama...

 

10 years ago

Mwananchi

Tatizo la mimba kutungwa nje ya mfuko wa uzazi

>Mimba kutunga nje ya mfuko wa uzazi ni tatizo ambalo linaweza kumpata mwanamke yeyote na linapaswa kufahamika mapema ili hatua muafaka zichukuliwe.

 

10 years ago

Mwananchi

AG Zanzibar: Nitafanya kazi bila woga wala upendeleo

Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Said Hassan Said amesema atahakikisha anatekeleza majukumu yake bila ya woga wala upendeleo, ikiwamo kazi ya kumshauri Rais wa Zanzibar na Serikali yake.

 

11 years ago

GPL

LINAH: SIJAWAHI KUSAGANA WALA KUMTAMANI MWANAMKE MWENZANGU

STAA wa muziki wa kizazi kipya, Estalina Sanga 'Linah' akifunguka ndani ya GLOBAL TV ONLINE kuhusu mambo mbalimbali yakiwemo haya:
Mahusiano yake na msanii Amin, Skendo za usagaji, Bifu lake na Lady Jaydee , Amejifunza nini kutoka kwa msanii Ray C , Nini kinaendelea kati yake na Mchungaji Gwajima?, Mafanikio yake kimuziki
UNGANA NASI NDANI YA GLOBAL TV ONLINE, KWA VIDEO… ...

 

10 years ago

Mwananchi

Bila haki, siyo watu wala mali zitakuwa salama

“Pale haki inaponyimwa, pale umaskini unapoimarishwa, siyo watu, wala mali watakuwa salama”

 

11 years ago

Michuzi

HATUJAWAHI KUMKOPESHA MBOWE, WALA KUWASAIDIA "SUGU" NA MSIGWA - MFUKO WA PENSHENI WA LAPF

 MFUKO WA PENSHENI WA LAPF NI MFUKO WA HIFADHI YA JAMII NCHINI TANZANIA WENYE MAKAO MAKUU YAKE MJINI DODOMA.
MFUKO WA LAPF  UNAPENDA KUKANUSHA TAARIFA ZILIZOTOLEWA NA BAADHI YA VYOMBO VYA HABARI KUWA LAPF ILITOA MSAADA KWA MBUNGE WA MBEYA MJINI MH. JOSEPH MBILINYI  (kulia) NA MBUNGE WA IRINGA MJINI MH. PETER MSIGWA (kushoto).  IELEWEKE KUWA INGAWA WAHESHIMIWA WABUNGE AU MTU AU TAASISI YEYOYE HAWAZUILIWI KUOMBA MSAADA WA KIJAMII, MH. MBILINYI NA MH. MSIGWA HAWAJAWAHI KUWASILISHA MAOMBI NA...

 

5 years ago

BBCSwahili

Najda Khan mwanamke anayehangaika kupata uzazi kutokana na uzito wa mwili

Najda Khan ni mwanamke ambaye amekua na shauku ya kuishi maisha yake kikamilifu, mbali na kuwa yeye ni mwanamke kama wanawake wengine duniani, amekua na ndoto ya kupata ujauzito kwa muda mrefu bila mafanikio.

 

9 years ago

MillardAyo

Ukienda bila shati na viatu mgahawani Australia hakuna huduma.. wala hawatanii kwenye hii..!!

Kuna wakati Vyuo vikuu Tanzania ilibidi zianze kutangazwa na kupitishwa kanuni za mavazi ambayo wanafunzi wanatakiwa kuvaa, ule uhuru ulifanya wengine kuvaa mpaka nguo ambazo sio sahihi kuvaa hadharani !! Pata picha ni mgahawani na bado hauruhusiwi kuvaa nguo za aina fulani. Mgahawa huo wa McDonald ulipo maeneo ya Oak Wood, Melbourne Australia waliweka tangazo la […]

The post Ukienda bila shati na viatu mgahawani Australia hakuna huduma.. wala hawatanii kwenye hii..!! appeared first on...

 

10 years ago

Bongo Movies

Wolper Asikitika Jina Lake Kutumiwa na Coca Cola Bila Hata Kushirikishwa Wala Kulipwa!!!

Kupitia ukurasa wake wa  kwenye mtandao wa INSTAGARM,  Wolper alifunguka;

“Habari Followers pamoja na wa Tanzania wote ambao naamini huwa mnaingia katika page yangu ya insta.Nimepokea zawadi hii ya Coca cola kwa siku 6 .

Na sio kwamba sikutaka kupiga picha kama wenzangu au ku post kama wenzangu,  nilikuwa natafakari kweli kampuni kubwa ya kitaifa na kimataifa inaweza kutumia gharama kubwa kuandika majina yetu bila kuchukuwa hata nafasi na heshima kubwa tuliyonayo kutushirikisha tu katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani