Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Najda Khan mwanamke anayehangaika kupata uzazi kutokana na uzito wa mwili

Najda Khan ni mwanamke ambaye amekua na shauku ya kuishi maisha yake kikamilifu, mbali na kuwa yeye ni mwanamke kama wanawake wengine duniani, amekua na ndoto ya kupata ujauzito kwa muda mrefu bila mafanikio.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Asteria Mabirika, mwanamke aliyeachika kutokana na ''kunuka mkojo''

Asteria alitengana na baadhi ya ndugu na familia kwasababu ya tatizo lake la Fistula ya uzazi na kuachika kwenye ndoa zaidi ya mara nne kutokana na ''kunuka mikojo''.

 

10 years ago

Bongo5

Chaka Khan amshauri Rihanna ‘Una sauti nzuri si lazima uoneshe mwili wako’

Muimbaji mkongwe wa Marekani, Chaka Khan amedai kuwa Rihanna ana sauti ya kutosha kuuza muziki bila hata kutumia mwili wake kufanya hivyo. Muimbaji huyo mwenye miaka 61 anaamini kuwa si muhimu kwa Rihanna na wasanii wengine kama Ariana Grande kuona ulazima wa kuvua nguo kwenye video zao za muziki au kwenye photoshoots ili kuuza nyimbo […]

 

11 years ago

Michuzi

ASILIMIA 25 YA WANAWAKE WAKO HATARINI KUPATA SARATANI YA SHINGO YA UZAZI.

 Mkurugenzi Mtendaji wa T-Marc Tanzania Diana Kisaka akizungumza na wadau kuhusu majukumu ya T-Marc.  Mkurugenzi Mtendaji wa T-Marc Tanzania Diana Kisaka akiwa na Katibu Tawala wa Mkoa wa Iringa, Wamoja Ayubu, mgeni rasmi wa uzinduzi wa mradi wa kuhamasisha jamii kuhusu huduma za uchunguzi wa Saratani ya Shingo ya Kizazi uliondaliwa na taasisi isiyo ya Kiserikali ya T- Marc Tanzania katika mkutano na wadau mbalimbali wa afya mkoa wa Iringa uliofanyika katika ukumbi wa chuo cha Veta.

 

9 years ago

StarTV

Tanesco watangaza kupata hasara ya Shilingi milioni 200 kutokana na Wizi Wa Umeme

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limepata hasara ya zaidi ya shilingi milioni 200 kwa wateja wake zaidi ya 50 waliojiunganishia Umeme kinyume cha sheria kwenye maeneo ya Msasani, Kigamboni na Oysterbay Jijini Dar Es Salaam hali ambayo imesababisha kushuka kwa ufanisi wa utendaji kazi wa shirika hilo.

Katika operesheni ya kukagua nyumba zilizojiunganishia umeme kinyume cha sheria shirika hilo limekagua jumla ya nyumba 2,200 katika kipindi cha wiki moja na kubaini madudu hayo.

Katika...

 

5 years ago

BBCSwahili

Julian Peters: Mwanamke aliyezaliwa bila uke wala mfuko wa uzazi

Julian Peters ni mwanamke wa miaka 29 aliyezaliwa na ugonjwa unaojulikana kama (MRKH) Mayer-Rokitansky-Küster-Hauser,ikimaanisha kuwa alizaliwa bila mfuko wa kizazi.

 

10 years ago

Mwananchi

Siku za mwanamke kupata ujauzito

Swali: Mimi ni binti wa miaka 21 ambaye ninapata siku zangu kila tarehe 15 ya kila mwezi. Nimekuwa nikitumia njia ya kalenda katika kujiepusha na mimba zisizotarajiwa.

 

10 years ago

GPL

MAAMBUKIZI KATIKA VIUNGO VYA UZAZI VYA MWANAMKE-2

Wiki hii nitaendelea na makala haya niliyoanza wiki iliyopita. Kuwa na mpenzi mpya na kufanya naye ngono bila ya kumfahamu vizuri tena bila kutumia kondom, pia ni chanzo kikubwa cha kupata madhara haya. Kuanza ngono katika umri mdogo kati ya miaka kumi hadi 19 ni mojawapo ya chanzo cha tatizo. Ni vizuri msichana usubiri hadi wakati wako ufike, kuanza ngono katika umri mdogo pia ni chanzo kikuu cha kupata kansa au saratani ya...

 

10 years ago

GPL

MAAMBUKIZI KATIKA VIUNGO VYA UZAZI VYA MWANAMKE-3

Wiki hii nitazungumzia matibabu na ushauri kuhusiana na tatizo hili. Matibabu mazuri hutegemea na uchunguzi makini wa awali, tatizo likiwa changa na kabla mwanamke hajaanza kutumia dawa mara kwa mara kwa tatizo hilo, hivyo basi, kwa umakini wa tiba unashauriwa uwaone madaktari bingwa wa magonjwa ya akina mama katika hospitali za mikoa ingawa uchunguzi na tiba za awali unaweza kupata katika vituo vya afya na hospitali za wilaya....

 

5 years ago

BBCSwahili

Ghadhabu Afrika kusini baada ya mwili wa mwanamke kupatikana ukining'inia kwenye mti

Tshegofatso Pule alitoweka kwa siku nne kabla ya mwili wake kupatikana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani