Asteria Mabirika, mwanamke aliyeachika kutokana na ''kunuka mkojo''
Asteria alitengana na baadhi ya ndugu na familia kwasababu ya tatizo lake la Fistula ya uzazi na kuachika kwenye ndoa zaidi ya mara nne kutokana na ''kunuka mikojo''.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili19 Jun
Asteria Mabirika, mama aliyeishi na aibu ya Fistula kwa miaka 20
Asteria Mabirika ni mama aliyeishi na aibu ya Fistula kwa zaidi ya miaka 20, jambo lililomfanya aolewe na mganga na wanaume wengine tofauti ambao walimtaliki kuokana na kunuka.
5 years ago
BBCSwahili11 Mar
Najda Khan mwanamke anayehangaika kupata uzazi kutokana na uzito wa mwili
Najda Khan ni mwanamke ambaye amekua na shauku ya kuishi maisha yake kikamilifu, mbali na kuwa yeye ni mwanamke kama wanawake wengine duniani, amekua na ndoto ya kupata ujauzito kwa muda mrefu bila mafanikio.
9 years ago
Raia Mwema10 Sep
Wenye kunuka ni walioruka tu?
Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.
Mpenzi wangu,
10 years ago
Mwananchi11 Feb
Dk Hoseah akiri Takukuru ‘kunuka’ rushwa
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) imekiri kuwapo kwa baadhi ya watumishi wake wanaojihusisha na vitendo vya kupokea rushwa, hivyo kuchafua sifa ya taasisi hiyo.
11 years ago
GPLTUZO YA MWANAMKE BORA, HESHIMA YA KWELI YA MWANAMKE, PINDA NI MSOMI WA UWAZI
Mgeni rasmi, Waziri Mkuu Mizengo Pinda, akihutubia kabla ya kukabidhi tuzo. Na Luqman Maloto Mwanamke wa…
11 years ago
GPLMWANAMKE ALIYEMKWAPULIA 20,000/= MWANAMKE MWENZAKE ‘ATAITIWA’ DAR
Umati wa watu ukiwa unashangaa kitendo cha mwanadada (kushoto mwenye kitambaa cha zambarau kichwani) aliyemkwapulia 20,000 mwenzake. Wengine wakitaka apigwe kama mwizi, wengine wakiomba asamehewe.…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aGsIBoQ0cKlVY0eIUUWSM4pPV8yeyvBc9EBYqVVwloEjDV6N0JsWHo9Oydgcgt3UcVdG7xeEkHfXiT7JEVWKaEXyuxl8i8JV/UrinaryTractInfection.jpg?width=650)
MAAMBUKIZI KATIKA NJIA YA MKOJO-4
Wiki iliyopita tulieleza kwa kina tatizo la maambukizi katika njia ya mkojo, leo tunaeleza dalili na tiba yake. Uwepo wa mawe katika figo na mirija ya figo hata ndani ya kibofu pia ni mojawapo ya chanzo cha maambukizi haya katika njia ya mkojo. Dalili
Baadhi ya dalili za mtu kuambukizwa bakteria katika njia ya mkojo kubwa ni maumivu wakati wa kukojoa, mkojo kuwa na rangi ya njano kupindukia na kuwa na harufu kali japokuwa siyo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SPs2IsiC3PIQVV9kosrmrIiiKp6OhUsrTUG6MYkw20e5z0btK8l92O96r5PZCxO*e4Ao*skjn9Wd6Not6SONStGMw1M64a4S/uti.png?width=650)
MAAMBUKIZI KATIKA NJIA YA MKOJO
Tatizo la maambukizi katika njia ya mkojo kitaalamu linaitwa ‘Urinary Track Infections’ au kwa kifupi ‘UTI’ au imezoeleka kama Yutiai. Watu wengi wanafahamu Yutiai lakini kila mmoja anaielezea kivyake. Ilimradi tu kuna mabadiliko katika njia ya mkojo au ukeni basi mtu anajua ni Yutiai. Viungo vinavyohusisha mfumo wa mkojo ni figo, mirija ya kusafirisha mkojo toka katika figo hadi kwenye kibofu chenyewe...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania