Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Asteria Mabirika, mama aliyeishi na aibu ya Fistula kwa miaka 20

Asteria Mabirika ni mama aliyeishi na aibu ya Fistula kwa zaidi ya miaka 20, jambo lililomfanya aolewe na mganga na wanaume wengine tofauti ambao walimtaliki kuokana na kunuka.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Asteria Mabirika, mwanamke aliyeachika kutokana na ''kunuka mkojo''

Asteria alitengana na baadhi ya ndugu na familia kwasababu ya tatizo lake la Fistula ya uzazi na kuachika kwenye ndoa zaidi ya mara nne kutokana na ''kunuka mikojo''.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Jela miaka 15 kwa shambulio la aibu


NA SOPHIA ASHERY, A3MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala imemhukumu Hassan Seleman (23), kifungo cha miaka 15 jela kwa kosa la shambulio la aibu.Hukumu hiyo ilitolewa jana na Hakimu Juma Hassan baada ya mahakama  kuridhishwa na ushahidi uliotolewa mahakamani hapo.Karani wa mahakama hiyo, Felister Mosha, alidai kuwa Seleman alitenda kosa hilo Oktoba 23, mwaka jana, maeneo ya Kitunda Migombani, jijini  Dar es Salaam.Felister alidai kuwa Seleman alimchukua mtoto wa miaka mitatu (jina linahifadhiwa),...

 

11 years ago

GPL

MTOTO ALIYEISHI NDANI YA BOKSI MIAKA ...

Stori:  DUSTAN SHEKIDELE, Morogoro
WAKATI bado wananchi wakiwa wanajiuliza kilichosababisha mama mkubwa wa mtoto Nasra Mvungi kumficha binti huyo mwenye miaka minne ndani ya boksi, makubwa yameibuka kuhusu chanzo hasa cha malezi hayo ya kudhalilisha. Mtoto aliyedaiwa kuishi ndani ya biksi kwa miaka mitatu akiwa na baba yake na kati ni Mama mkubwa wa mtoto huyo Nasra Mvungi anayedaiwa kufanya kitendo hicho. Kwa mujibu wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

MARK MUGA: Msanii aliyeishi Afrika Kusini miaka 15 bila mafanikio

WIMBO ulioimbwa na mkali wa muziki wa kizazi kipya nchini, Ali Kiba, unaojulikana kwa jina la ‘Mark Muga’ ni maisha ya kweli ya mhusika aliyeimbwa. Hata hivyo Mark Muga mwenyewe...

 

11 years ago

GPL

SHABIKI WA CHELSEA ALIYEISHI KWENYE HANDAKI MIAKA MINNE JIJINI DAR

Chacha Makenge akikaribisha wageni.
Chacha akiongea na wageni wake Saleh Ally (kulia) na Makongoro Oging' (kushoto). • Yanga, Simba zamvutia lakini ashindwa kuchagua aipende ipi
• Asisitiza kama vipi, bora ziwe zinatoka sare kila mechi…

 

10 years ago

Bongo Movies

LULU:Mbali ya Kunizaa Kwa Uchungu, Ulizibeba Aibu Zangu...Ujumbe wa Lulu kwa Mama yake

“Huwezi kuamini Ilinibidi nianze kuandika hii risala 3day before ur birthday (mana Sio caption tena)

Kwanza nashukuru kwa MAPENZI na heshima uliyonipa kwa kuniweka tumboni kwako miezi 9,kunizaa kwa uchungu na kunilea kiroho,kiakili na ki mwili pia...Namshukuru Mungu kwa kunipa ww kama Mzazi WANGU na ninajivunia hilo sana..!

Kuna wakati nakukosea na kukuumiza Lkn kiukweli huwa naumia na kujuta sana baada Ya kujua kosa langu.

Licha Ya uchungu uliopata kwa kunizaa na kunilea upo wakati...

 

10 years ago

Bongo Movies

LULU:Mbali ya Kunizaa Kwa Uchungu, Ulizibeba Aibu Zangu...Ujumbe Mzito wa Lulu kwa Mama Yake

“Huwezi kuamini Ilinibidi nianze kuandika hii risala 3day before ur birthday (mana Sio caption tena)

Kwanza nashukuru kwa MAPENZI na heshima uliyonipa kwa kuniweka tumboni kwako miezi 9,kunizaa kwa uchungu na kunilea kiroho,kiakili na ki mwili pia...Namshukuru Mungu kwa kunipa ww kama Mzazi WANGU na ninajivunia hilo sana..!

Kuna wakati nakukosea na kukuumiza Lkn kiukweli huwa naumia na kujuta sana baada Ya kujua kosa langu.

Licha Ya uchungu uliopata kwa kunizaa na kunilea upo wakati...

 

11 years ago

Michuzi

MAMA KIKWETE AWATAKA WANAWAKE WENYE UGONJWA WA FISTULA KUJITOKEZA NA KWENDA KUPATA MATIBABU

Na Anna Nkinda – Maelezo aliyekuwa Lindi
Wanawake wenye tatizo la ugonjwa wa Fistula wametakiwa kutokuogopa na kukaa kimya bali wajitokeze  hadharani kwa kwenda Hospitali kupata matibabu  au kuwaambia viongozi wao ili waweze kuwasaidia kwani ugonjwa huo unatibika na matibabu yake ni bure.
Rai hiyo imetolewa  hivi karibuni na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia wilaya ya Lindi mjini Mama Salma Kikwete wakati akiongea kwa nyakati tofauti na viongozi wa...

 

10 years ago

GPL

MAMA AWAFUNGIA NDANI WANAYE 3 KWA MIAKA 10

Na Haruni Sanchawa, Mafia
NI mambo ya kushangaza sana ambayo yamenaswa na Gazeti la Uwazi  katika Kisiwa cha Mafia Mkoa wa Pwani ambapo mwanamke mmoja aitwaye Mwasiti Ally wa Kijiji cha Kanga, amewafungia wanaye watatu kwa miaka kumi ndani ya chumba kimoja kwa madai kuwa ni wagonjwa wa akili. Mtoto Ally Juma ni mmoja kati ya watoto wa wanodaiwa kufungiwa ndani kwa miaka 10 na mama yao mzazi Mwasiti Ally (pichani). Uwazi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani