MAMA AWAFUNGIA NDANI WANAYE 3 KWA MIAKA 10
![](http://api.ning.com:80/files/Z-JJSpQIZ6*uJw0g5aKvvmSTkvlPSHRbPZwPBN6X-14HT5sOEO37XPThEal*2vR1c0liPQ2ISoIWny*-bSY3wYCpw-HlgX4Z/Front.jpg?width=650)
Na Haruni Sanchawa, Mafia NI mambo ya kushangaza sana ambayo yamenaswa na Gazeti la Uwazi katika Kisiwa cha Mafia Mkoa wa Pwani ambapo mwanamke mmoja aitwaye Mwasiti Ally wa Kijiji cha Kanga, amewafungia wanaye watatu kwa miaka kumi ndani ya chumba kimoja kwa madai kuwa ni wagonjwa wa akili. Mtoto Ally Juma ni mmoja kati ya watoto wa wanodaiwa kufungiwa ndani kwa miaka 10 na mama yao mzazi Mwasiti Ally (pichani). Uwazi...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
CloudsFM29 May
HUYU NDIYE MTOTO ALIYEFUNGIWA NDANI YA BOKSI KWA MIAKA MINNE NA MAMA YAKE MLEZI ILI ASIMWAMBUKIZE VIRUSI VYA UKIMWI
Mtoto wa miaka minne (jina limehifadhiwa), amedhulumiwa haki yake ya utu na kuteswa kwa zaidi ya miaka mitatu, kwa kufungiwa ndani ya boksi kama mnyama, ili asimuambukize mama mlezi virusi vinavyosababisha Ukimwi.
Wakizungumza na...
10 years ago
GPLMAMA AWAKIMBIA WANAYE WENYE KIFAFA
10 years ago
Mwananchi07 Jun
Mama asoma shule ya msingi na wanaye watatu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/f5QbJIEIZ4x4rc06*iPpN97rF6knc*Qc26A0O4r-*y-Ka307DRqF51Yp6fwSrybVlcw0pp80NU1QYl*RZKIdNqbMWj0b0HBw/BACK.jpg)
SIMULIZI YA KUSIKITISHA YA MAMA ALIVYOUA WANAYE WAWILI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6xzDXLZEGuunER2dajpYRgtJiyxfabWo0kNKHlzYQCVSYBpBbN5q3enmMxUmV6OOrUhW4K2d1h*cuX7er4nECU9SQUaZh9Ry/FRONTUWAZI.gif?width=650)
WA 3 WALIOFUNGIWA NDANI MIAKA 10 NA MAMA YAO MMOJA AFARIKI DUNIA
10 years ago
Tanzania Daima23 Sep
Baba mbaroni kwa kutesa wanaye
MATESO Hassan Mkazi wa Kijiji cha Karago, Kata ya Sunuka Wilaya ya Uvinza mkoani hapa, anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani hapa kwa tuhuma za kuwafungia ndani watoto wake wanne...
9 years ago
Dewji Blog16 Dec
Mchungaji wa kanisa akamatwa kwa tuhuma ya kumficha ndani mtoto wake kwa miaka 12
Kijana mkazi wa kijiji cha Itaja tarafa ya Mgori wilayani Singida, Timotheo David (30), akiwa amelazwa wodi namba nne hospitali ya mkoa wa Singida baada ya kuletwa na jeshi la polisi siku mbili zilizopita. Inadaiwa kuwa Timotheo baada ya kuugua Malaria kali mwaka 2003 na kuchanganyikiwa akili, alifungiwa ndani chumbani toka wakati huo hadi juzi alipotolewa na polisi na kuletwa hospitalini. Kwa mujibu wa Kaimu Mganga mfawidhi hospitali ya mkoa, Dk.Napaiya Petro, Timotheo hana ugonjwa wo wote...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rFFi-SX8PjWtQ4*9ufTcQyS6KcX91tK56-OIsxv6oWeXK4Orwb0BaaJY482y24iP6S3e4O1LX8gi64ZDoC-cs9PKe0JeR-MG/mbaroni.jpg)
MAMA MBARONI KWA KUMFUNGIA MWANAYE NDANI