MAMA AWAKIMBIA WANAYE WENYE KIFAFA
Bw. Nabo Philipo aliyekimbiwa na mkewe. HILI nalo ni tukio! Mwanaume mmoja aliyejitambulisha kwa jina la Nabo Philipo ameibuka na kudai kuwa, mkewe Mariana Thomas Silayo (pichani) amekimbia nyumbani na kumwachia watoto wawili wenye ugonjwa wa kifafa. Akizungumza kwa uchungu na gazeti hili hivi karibuni, Nabo alisema alifunga ndoa na Mariana mwaka 2002 na kujaliwa kupata watoto wawili, Madelin na Joyce Nabo na ndani ya miaka...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/f5QbJIEIZ4x4rc06*iPpN97rF6knc*Qc26A0O4r-*y-Ka307DRqF51Yp6fwSrybVlcw0pp80NU1QYl*RZKIdNqbMWj0b0HBw/BACK.jpg)
SIMULIZI YA KUSIKITISHA YA MAMA ALIVYOUA WANAYE WAWILI
10 years ago
Mwananchi07 Jun
Mama asoma shule ya msingi na wanaye watatu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Z-JJSpQIZ6*uJw0g5aKvvmSTkvlPSHRbPZwPBN6X-14HT5sOEO37XPThEal*2vR1c0liPQ2ISoIWny*-bSY3wYCpw-HlgX4Z/Front.jpg?width=650)
MAMA AWAFUNGIA NDANI WANAYE 3 KWA MIAKA 10
10 years ago
Mtanzania03 Apr
Justin Beiber awakimbia mapaparazi
NA BADI MCHOMOLO
NYOTA wa muziki nchini Marekani, Justin Beiber, amesema kwa sasa atakuwa mbali na waandishi wa habari kwa kuwa wanatangaza habari ambazo haziko sahihi.
Beiber amesema kuna wakati anakuwa na wakati mgumu wa kujibu maswali ya waandishi wa habari kwa kuwa anakutana nao mara kwa mara.
“Kwa sasa naona bora nikae mbali na waandishi wa habari kwa kuwa wananichosha, kila nikikutana nao wananiuliza maswali na kuna wakati mwingine nashindwa kuongea lolote kutokana na maswali...
11 years ago
Habarileo26 Dec
Walaji ‘kitimoto’ kupata kifafa
CHUO Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kimehadharisha walaji wa nyama ya nguruwe nchini, kuwa wanakabiliwa na hatari ya kupata kifafa.
10 years ago
BBCSwahili07 Nov
Ni akina mama au wasichana wenye bidii?
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Gpi2OMrT07w/VIFGJSogccI/AAAAAAAG1V4/UtmTynQCC3c/s72-c/MAMA-SALMA1.jpg)
MAMA KIKWETE AWATAKA WANANCHI KUCHAGUA VIONGOZI WAADILIFU NA WENYE SIFA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Gpi2OMrT07w/VIFGJSogccI/AAAAAAAG1V4/UtmTynQCC3c/s1600/MAMA-SALMA1.jpg)
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete amewataka wakazi wa Kata ya Ng’apa wilaya ya Lindi mjini kuchagua viongozi waadilifu na wenye sifa ambao watawaongoza wananchi kusimamia shughuli za maendeleo yao.
Mama Kikwete ambaye ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia wilaya ya Lindi mjini alitoa rai hiyo jana wakati akiongea na wananchi waliohudhuria mkutano wa kampeni ya uchaguzi wa Wenyeviti na Wajumbe wa Serikali za mitaa uliofanyika katika...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-KoO36F3BfSM/U9YcUpTr1hI/AAAAAAAF7UY/0tmPxLKgVgY/s72-c/4mama-salma-akisoma-hotuba-1024x682.jpg)
MAMA KIKWETE AWATAKA WANAWAKE WENYE UGONJWA WA FISTULA KUJITOKEZA NA KWENDA KUPATA MATIBABU
![](http://4.bp.blogspot.com/-KoO36F3BfSM/U9YcUpTr1hI/AAAAAAAF7UY/0tmPxLKgVgY/s1600/4mama-salma-akisoma-hotuba-1024x682.jpg)
Wanawake wenye tatizo la ugonjwa wa Fistula wametakiwa kutokuogopa na kukaa kimya bali wajitokeze hadharani kwa kwenda Hospitali kupata matibabu au kuwaambia viongozi wao ili waweze kuwasaidia kwani ugonjwa huo unatibika na matibabu yake ni bure.
Rai hiyo imetolewa hivi karibuni na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia wilaya ya Lindi mjini Mama Salma Kikwete wakati akiongea kwa nyakati tofauti na viongozi wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NjHDmKPq-vAylIerRM6wM20WzEcb5RR-INZ5L9j-bnXhvHsWcBB8uCKPYN9OKVzzEOwPO*Qhk77l5FJWWxGF-LsPOxJI1EvY/BACKUWAZI.jpg)
BABA MZAZI AKESHA AKIBAKA WANAYE!