MAMA KIKWETE AWATAKA WANANCHI KUCHAGUA VIONGOZI WAADILIFU NA WENYE SIFA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Gpi2OMrT07w/VIFGJSogccI/AAAAAAAG1V4/UtmTynQCC3c/s72-c/MAMA-SALMA1.jpg)
Na Anna Nkinda – Lindi
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete amewataka wakazi wa Kata ya Ng’apa wilaya ya Lindi mjini kuchagua viongozi waadilifu na wenye sifa ambao watawaongoza wananchi kusimamia shughuli za maendeleo yao.
Mama Kikwete ambaye ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia wilaya ya Lindi mjini alitoa rai hiyo jana wakati akiongea na wananchi waliohudhuria mkutano wa kampeni ya uchaguzi wa Wenyeviti na Wajumbe wa Serikali za mitaa uliofanyika katika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-__HPM9naugk/VXBojbaIo8I/AAAAAAAHcCo/hhFUzx1q2jo/s72-c/5.jpg)
KINANA AWATAKA WANANCHI KUACHA USHABIKI BADALA YAKE WACHAGUE VIONGOZI WENYE SIFA NA WANAOFAA KULIONGOZA TAIFA
![](http://3.bp.blogspot.com/-__HPM9naugk/VXBojbaIo8I/AAAAAAAHcCo/hhFUzx1q2jo/s640/5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-mf4yF_p6FbA/VXBoaua3oBI/AAAAAAAHcBs/gjb6uCW_lN8/s640/1.jpg)
10 years ago
StarTV05 Jan
Watanzania waaswa kuchagua viongozi waadilifu.
Na Immaculate Kilulya,
Dar es Salaam.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernard Membe amesema umefika wakati wa watanzania kupiga vita vitendo vya kifisadi kwa kuchagua viongozi wazalendo na waadilifu kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu.
Amesema vitendo vya kifisadi pamoja na rushwa vinakwamisha maendeleo ya Tanzania hali inayosababisha uchumi wa nchi kukua wakati watanzania wakiendelea kubaki masikini.
Waziri Membe amesema hayo wakati wa uzinduzi wa maadhimisho ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-IEdzOOmuQXg/VS0nZEdfHnI/AAAAAAABXHE/AAfCaZBjguo/s72-c/939.jpg)
BALOZI SEIF IDD AWATAKA WANANCHI KUWAUNGA MKONO VIONGOZI WENYE KULETA MAENDELEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-IEdzOOmuQXg/VS0nZEdfHnI/AAAAAAABXHE/AAfCaZBjguo/s1600/939.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Da0Bv8-BbuA/VS0nZdvSc6I/AAAAAAABXHI/E-4UCW_n-AA/s1600/940.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Nw8xzx4u710/VMFE0sG3eoI/AAAAAAAG_F8/bxSB7q__dFI/s72-c/3.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA AWATAKA WANANCHI KUWA MAKINI NA VIONGOZI WENYE UCHU WA MADARAKA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-Nw8xzx4u710/VMFE0sG3eoI/AAAAAAAG_F8/bxSB7q__dFI/s1600/3.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-KoO36F3BfSM/U9YcUpTr1hI/AAAAAAAF7UY/0tmPxLKgVgY/s72-c/4mama-salma-akisoma-hotuba-1024x682.jpg)
MAMA KIKWETE AWATAKA WANAWAKE WENYE UGONJWA WA FISTULA KUJITOKEZA NA KWENDA KUPATA MATIBABU
![](http://4.bp.blogspot.com/-KoO36F3BfSM/U9YcUpTr1hI/AAAAAAAF7UY/0tmPxLKgVgY/s1600/4mama-salma-akisoma-hotuba-1024x682.jpg)
Wanawake wenye tatizo la ugonjwa wa Fistula wametakiwa kutokuogopa na kukaa kimya bali wajitokeze hadharani kwa kwenda Hospitali kupata matibabu au kuwaambia viongozi wao ili waweze kuwasaidia kwani ugonjwa huo unatibika na matibabu yake ni bure.
Rai hiyo imetolewa hivi karibuni na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia wilaya ya Lindi mjini Mama Salma Kikwete wakati akiongea kwa nyakati tofauti na viongozi wa...
10 years ago
GPLWANAFUNZI BORA KIDATO CHA NNE AWATAKA VIONGOZI WAWE WAKWELI, WAADILIFU
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-bOObZmFf0CQ/VOUW2SlK7DI/AAAAAAADZ3w/bMkMgTkhiYo/s72-c/5c003a005857ee318ddc7b03870f17a3.jpg)
MWANAFUNZI BORA KIDATO CHA NNE AWATAKA VIONGOZI WAWE WAKWELI, WAADILIFU
![](http://3.bp.blogspot.com/-bOObZmFf0CQ/VOUW2SlK7DI/AAAAAAADZ3w/bMkMgTkhiYo/s1600/5c003a005857ee318ddc7b03870f17a3.jpg)
MSICHANA Nyakaho Marungu (16) mwanafunzi wa shule ya sekondari ya Baobab,iliyopo Mapinga Bagamoyo mkoani Pwani aliyeibuka mwanafunzi bora wa mtihani wa kidato cha nne mwaka 2014 nchini, amewataka viongozi nchini kuwa wakweli na waadilifu ili kuiletea nchi maendeleo na kutokumuudhi Mwenyezi Mungu.Akizungumza na GPL nyumbani kwao...
10 years ago
StarTV13 Jan
Wananchi waaswa kuchagua viongozi wachapa kazi
Na Sudi Shaaban,
Mwanza.
Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Mwanza kimewataka wananchi kuwa makini kuepuka watakaotaka uongozi kwa kutoa rushwa na badala yake wachague viongozi ambao watakuwa na weledi na wachapa kazi katika taifa.
Katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu watu mbalimbali wanatajwa kujitokeza kuwania nafasi za uongozi baadhi yao wakijipanga kupata kura kwa kuwalaghai wananchi jambo ambalo ni kinyume na taratibu za uchaguzi.
Baadhi ya wananchi wanatajwa kuwa mstari wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-qrmI_jcQlAI/VMFR0gu_6ZI/AAAAAAAAV6U/26A6lnGk6rk/s72-c/22.jpg)
KINANA AWATAKA VIONGOZI WA CCM KUTENDA HAKI NA KUACHA KUWABEBA WAGOMBEA WASIO NA SIFA
![](http://3.bp.blogspot.com/-qrmI_jcQlAI/VMFR0gu_6ZI/AAAAAAAAV6U/26A6lnGk6rk/s1600/22.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Uom6bAfSmFY/VMFR7EBHA3I/AAAAAAAAV6c/niuJax62tXg/s1600/23.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-yV6PTlC8TAU/VMFR_NGYqqI/AAAAAAAAV6k/JTPEYXcF7ks/s1600/24.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-lXzNMLR9NbA/VMFSDEiA1BI/AAAAAAAAV6s/ba5e5zRsvVc/s1600/25.jpg)