Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WANAFUNZI BORA KIDATO CHA NNE AWATAKA VIONGOZI WAWE WAKWELI, WAADILIFU

Nyakaho Marungu akiwa kwenye pozi. …Akiwa na binamu yake.
Mama mzazi wa Nyakaho, Celestina Maro (kushoto), …

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MWANAFUNZI BORA KIDATO CHA NNE AWATAKA VIONGOZI WAWE WAKWELI, WAADILIFU

Nyakaho Marungu akiwa kwenye pozi na rafiki yake Fauzia ambae wote wamemaliza kidato cha nne Baobab Secondary School.
Mama mzazi wa Nyakaho, Celestina Maro (kushoto)
MSICHANA Nyakaho Marungu (16) mwanafunzi wa shule ya sekondari ya Baobab,iliyopo Mapinga Bagamoyo mkoani Pwani aliyeibuka mwanafunzi bora wa mtihani wa kidato cha nne mwaka 2014 nchini, amewataka viongozi nchini kuwa wakweli na waadilifu ili kuiletea nchi maendeleo na kutokumuudhi Mwenyezi Mungu.Akizungumza na GPL nyumbani kwao...

 

10 years ago

StarTV

Asilimia 58.25 ya wanafunzi wafaulu Kidato cha Nne.

Josephine Mwaiswaga,

Dar Es Salaam

 

Baraza la Mitihani la Taifa NECTA limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha nne mwaka 2014 ambapo jumla ya watahiniwa 235,227 sawa na asilimia 58.25 wamefaulu.

 

Kiwango cha ufulu kimeonekana kupanda kwa asilimia 10.08 ikilinganiwa na matokeo ya Mwaka jana.

 

Ufaulu kati ya wasichana na wavulana haujatofuatiana sana ikilinganishwa na kipindi cha nyumba ambapo kati ya watahiniwa wote 196,805 waliofanya mtihani huo, jumla ya wasichana 89,845 sawa na...

 

10 years ago

Mtanzania

Matokeo kidato cha nne Wanafunzi wamefaulu, wamefaulishwa?

dk-charles-e-msondeNA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
WAKATI maelfu ya wanafunzi waliohitimu Mtihani wa Kidato cha Nne mwaka 2014 wakiwa wanasherehekea matokeo yao, baadhi ya wadau wa elimu wameonyesha wasiwasi wao juu ya kuongezeka kwa ufaulu huo wakati hali ya shule na changamoto zake zikiwa zinaongezeka.
Kwa mujibu matokeo yaliyotangazwa juzi na Katibu Mkuu wa Baraza la Mitihani (Necta), Dk Charles Msonde, ufaulu umeongezeka kutoka asilimia 58.25 mwaka 2013 mpaka 68.33 mwaka 2014.
Wadau hao walisema baada ya...

 

9 years ago

StarTV

Hofu ya ufaulu yatanda kwa wanafunzi wa Kidato cha nne

Ikiwa zimebaki siku chache ya kufanyika mitihani ya kidato cha nne bado hofu ya ufaulu kwa wanafunzi wa kidato hicho imetanda ikilinganishwa na ufaulu kwa wahitimu wa kidato cha Sita.

Wadau wa elimu wanaelezwa kuwa kiwango cha ufaulu cha kidato cha nne kipo chini ikilinganishwa na ufaulu wa kidato cha sita hali inayosababisha vijana wengi kushindwa kuendelea.

 Mkurugenzi wa shule ya sekondari Kassa Charity anasema elimu ndio msingi wa maendeleo kwa kila nchi hivyo amewataka wanafunzi kusoma...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wanafunzi waaswa kutokufaulu kidato cha nne, sio kufeli maisha

DSC01412

Rais wa shirikisho la wachimba madini Tanzania na mgeni rasmi wa mahafali ya sita ya shule ya sekondari kata Mandewa,John Bina,akizungumza kwenye mahafali hayo. Kulia ni mwenyekiti wa bodi ya shule ya sekondari ya Mandewa.Bahati Shagama na kushoto ni mkuu wa  wa shule hiyo, Margreth Missanga.

Na Nathaniel Limu, Singida

RAIS wa shirikisho la wachimba madini Tanzania, John Bina amewataka wanafunzi ambao hawatafaulu mtihani wa kidato cha nne mwaka huu,wasikate tamaa kwa madai kwamba yapo...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI JAFO AWATAKA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA TANO KURIPOTI KWA WAKATI

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais- Tamisemi, Selemani Jafo amesema wanafunzi wote wa bweni waliochaguliwa kujiunga na kidato cha Tano kwa mwaka 2020 wanatakiwa kuripoti shuleni Julai 18 mwaka huu na wale wa kutwa kuripoti na kuanza masomo Julai 20.

Waziri Jafo ameyasema hayo wakati akitoa taarifa kuhusu uchaguzi wa wanafunzi wa kujiunga na kidato cha tano, vyuo vya ualimu na vyuo vya ufundi mwaka 2020 mapema leo katika Ofisi za TAMISEMI, Jijini Dodoma.

Amesema wanafunzi ambao hawataripoti wiki...

 

10 years ago

Vijimambo

MWANADIASPORA DMV AHUTUBIA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE NA KUWATIA MOYO SIKU 2 KABLA YA MTIHANI WA MWISHO

Akiongea na watahiniwa wa kidato cha nne siku mbili kabla ya mtihani wa Taifa 2014, shule ya secondary Montfort iliyopo Rujewa, Mbarali, Mwana-diaspora na "alumni" wa Montfort kutoka Washington, D. C., Marekani, Liberatus Mwang'ombe "Libe" alianza kwa kusema, Montfort ni shule aliyo soma na anajisikia faraja akiyaona mazingira yale. Aliendelea kwa kusema, maamuzi ya mwisho ya kila binadamu yapo chini ya himaya yake. Alisema "huwezi kutegemea mtu baki au mwingine aongoze au arutubishe maisha...

 

10 years ago

Michuzi

SHULE ZA BINAFSI ZAONGOZA MATOKEO YA MTIHANI WA UTIMILIFU (MOCK) KWA WANAFUNZI WANAOSOMA KIDATO CHA NNE JIJINI DAR

 Afisa Elimu wa Mkoa wa Dar es salaam Bw.Raymond Mapunda akitoa matokeo ya mtihani wa Utimilifu kwa wanafunzi wa shule za Sekondari jijini Dar es salaam ambapo katika mtihani huo uliofanyika Mei 25 hadi Juni 12 mwaka huu shule Binafsi zimeongoza kwa ufaulu.
Na Aron Msigwa -MAELEZO.MATOKEO  ya mtihani wa Utimilifu kwa wanafunzi wanaosoma kidato cha nne katika shule za  Sekondari za jiji la Dare es  salaam yametolewa leo jijini Dar es salaam yakiwa na alama za juu  za ufaulu kwa wanafunzi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani