BALOZI SEIF IDD AWATAKA WANANCHI KUWAUNGA MKONO VIONGOZI WENYE KULETA MAENDELEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-IEdzOOmuQXg/VS0nZEdfHnI/AAAAAAABXHE/AAfCaZBjguo/s72-c/939.jpg)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akimkabidhi msaada wa Vipaza sauti Amiri wa Jumuiya ya Sherehe za Siku Kuu ya Iddi Matemwe Ustaadhi Kundi Choum Haji kutekeleza ahadi aliyoip[a Jumuiya hiyo wakati wa sherehe za siku kuu ya Iddi el Hajj iliyopita. (Picha na OPMR)
Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman Iddi akimkabidhi mchango wa Shilingi 400,000/- kwa kila kikundi miongoni mwa vikundi 14 vya Ushirika wa Akina Mama vilivyomo ndani ya Wilaya ya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-o6rKDu0gOTA/VS1BX2yqfVI/AAAAAAAHRJU/YwsTLvN_Rt0/s72-c/939.jpg)
BALOZI SEIF ALI IDDI AWAKUMBUSHA WANANCHI KUWAUNGA MKONO VIONGOZI WANAOWASIMAMIA HARAKATI ZA MAENDELEO YAO.
![](http://3.bp.blogspot.com/-o6rKDu0gOTA/VS1BX2yqfVI/AAAAAAAHRJU/YwsTLvN_Rt0/s1600/939.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1lgCSAeOn3Y/VS1BXgqvJPI/AAAAAAAHRJY/AxDMPhN40es/s1600/940.jpg)
11 years ago
Dewji Blog17 May
Balozi Seif Ali Iddi aiomba IFAD kuendelea kuwaunga mkono wazalishaji katika sekta ya kilimo Zanzibar
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiwa pamoja na Mkewe Mama Asha Suleiman Iddi kwenye chakula maalum cha usiku walichoandaliwa wajumbe wa Bodi Tendaji ya Mfuko wa Kimataifa wa Kilimo { IFAD } hapo Serena Hoteli Shangani Mjini Zanzibar.
Mfuko wa Kimataifa wa Maendeleo ya Kilimo { IFAD }umeombwa kuendelea kuunga mkono Sekta ya Kilimo Zanzibar katika njia ya kuwajengea uwezo wazalishaji wa Sekta hiyo mama ya uchumi kupitia mfumo wa Teknolojia ya kisasa.
Ombi hilo...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-EcoBe2dBmhE/VSLoV0J2qMI/AAAAAAAHPbs/E03AQkmKUjU/s72-c/229.jpg)
Balozi Seif Idd azungumza na Viongozi wa Mkoa wa Magharibi, Zanzibar
![](http://4.bp.blogspot.com/-EcoBe2dBmhE/VSLoV0J2qMI/AAAAAAAHPbs/E03AQkmKUjU/s1600/229.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-vqNZRuSiv9k/VSLoZGtDPEI/AAAAAAAHPcA/yqfcD8mILpM/s1600/234.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Sutd8dFv_5k/VSLoV6Fr79I/AAAAAAAHPbw/fynYB7GnjKY/s1600/222.jpg)
10 years ago
Dewji Blog16 Sep
Balozi Seif Iddi awataka viongozi wa dini kuhubiri amani
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiingia ndani ya Ukumbi wa Masai Laugwa Wilaya ya Bagamoyo kuzindua Tamasha la Kuliombea Taifa Amani lililoandaliwa na Kanisa la Restoration { Restoration Bible Church }.Kulia kwa Balozi Seif ni Makamu Askofu Mkuu wa Restoration Bible Church Tanzania Askofu Sedrick Ndonde na kushoto kwake ni Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo Nd. Ahmed Kipozi.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alisema Viongozi wa Kidini wanapaswa kuwa...
10 years ago
Dewji Blog03 Dec
Balozi Seif Ali Idd aweka wazi CCM imejipanga kudhibiti wenye nia ya kuvuruga uchaguzi mkuu ujao
Mlezi wa CCM Mkoa wa Magharibi Balozi Seif akimkabidhi kadi mwanachama Thuwaiba Jeni Pandu akiwa miongoni mwa wanachama wapya wa CCM na Jumuia zake kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye Tawi la CCM Pangawe Jimbo la Fuoni.
Na Othman Khamis Ame.
Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar.
Mlezi wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Magharibi ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM Balozi Seif Ali Iddi, amewahakikishia wananchi wa Zanzibar na Tanzania kwamba...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Gpi2OMrT07w/VIFGJSogccI/AAAAAAAG1V4/UtmTynQCC3c/s72-c/MAMA-SALMA1.jpg)
MAMA KIKWETE AWATAKA WANANCHI KUCHAGUA VIONGOZI WAADILIFU NA WENYE SIFA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Gpi2OMrT07w/VIFGJSogccI/AAAAAAAG1V4/UtmTynQCC3c/s1600/MAMA-SALMA1.jpg)
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete amewataka wakazi wa Kata ya Ng’apa wilaya ya Lindi mjini kuchagua viongozi waadilifu na wenye sifa ambao watawaongoza wananchi kusimamia shughuli za maendeleo yao.
Mama Kikwete ambaye ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia wilaya ya Lindi mjini alitoa rai hiyo jana wakati akiongea na wananchi waliohudhuria mkutano wa kampeni ya uchaguzi wa Wenyeviti na Wajumbe wa Serikali za mitaa uliofanyika katika...
10 years ago
Dewji Blog28 Feb
Mama Salma Kikwete awataka wanaume kuwaunga mkono wake zao kupima saratani za matiti na shingo ya kizazi
Mke wa Rais na Mwenyekiti wa WAMA Mama Salma Kikwete akikabidhi mashine ya kupimia saratani ya matiti kwa akina mama kwa uongozi kwa Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi Luteni Jenerali Samuel Ndomba (kulia). Hafla ya makabidhiano hayo ilifanyika kwenye Hospitani Kuu ya Jeshi Lugalo kwenye Kitengo cha Uzazi na Mtoto kilichoko Mwenge tarehe 27.2.2015. Aliyesimama pembeni kwa Mama Salma ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Donan Mmbando na aliyesimama kulia kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Nw8xzx4u710/VMFE0sG3eoI/AAAAAAAG_F8/bxSB7q__dFI/s72-c/3.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA AWATAKA WANANCHI KUWA MAKINI NA VIONGOZI WENYE UCHU WA MADARAKA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-Nw8xzx4u710/VMFE0sG3eoI/AAAAAAAG_F8/bxSB7q__dFI/s1600/3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-__HPM9naugk/VXBojbaIo8I/AAAAAAAHcCo/hhFUzx1q2jo/s72-c/5.jpg)
KINANA AWATAKA WANANCHI KUACHA USHABIKI BADALA YAKE WACHAGUE VIONGOZI WENYE SIFA NA WANAOFAA KULIONGOZA TAIFA
![](http://3.bp.blogspot.com/-__HPM9naugk/VXBojbaIo8I/AAAAAAAHcCo/hhFUzx1q2jo/s640/5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-mf4yF_p6FbA/VXBoaua3oBI/AAAAAAAHcBs/gjb6uCW_lN8/s640/1.jpg)