BALOZI SEIF ALI IDDI AWAKUMBUSHA WANANCHI KUWAUNGA MKONO VIONGOZI WANAOWASIMAMIA HARAKATI ZA MAENDELEO YAO.
![](http://3.bp.blogspot.com/-o6rKDu0gOTA/VS1BX2yqfVI/AAAAAAAHRJU/YwsTLvN_Rt0/s72-c/939.jpg)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akimkabidhi msaada wa Vipaza sauti Amiri wa Jumuiya ya Sherehe za Siku Kuu ya Iddi Matemwe Ustaadhi Kundi Choum Haji kutekeleza ahadi aliyoip[a Jumuiya hiyo wakati wa sherehe za siku kuu ya Iddi el Hajj iliyopita.
Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman Iddi akimkabidhi mchango wa Shilingi 400,000/- kwa kila kikundi miongoni mwa vikundi 14 vya Ushirika wa Akina Mama vilivyomo ndani ya Wilaya ya Kaskazini “ A...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-IEdzOOmuQXg/VS0nZEdfHnI/AAAAAAABXHE/AAfCaZBjguo/s72-c/939.jpg)
BALOZI SEIF IDD AWATAKA WANANCHI KUWAUNGA MKONO VIONGOZI WENYE KULETA MAENDELEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-IEdzOOmuQXg/VS0nZEdfHnI/AAAAAAABXHE/AAfCaZBjguo/s1600/939.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Da0Bv8-BbuA/VS0nZdvSc6I/AAAAAAABXHI/E-4UCW_n-AA/s1600/940.jpg)
11 years ago
Dewji Blog17 May
Balozi Seif Ali Iddi aiomba IFAD kuendelea kuwaunga mkono wazalishaji katika sekta ya kilimo Zanzibar
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiwa pamoja na Mkewe Mama Asha Suleiman Iddi kwenye chakula maalum cha usiku walichoandaliwa wajumbe wa Bodi Tendaji ya Mfuko wa Kimataifa wa Kilimo { IFAD } hapo Serena Hoteli Shangani Mjini Zanzibar.
Mfuko wa Kimataifa wa Maendeleo ya Kilimo { IFAD }umeombwa kuendelea kuunga mkono Sekta ya Kilimo Zanzibar katika njia ya kuwajengea uwezo wazalishaji wa Sekta hiyo mama ya uchumi kupitia mfumo wa Teknolojia ya kisasa.
Ombi hilo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JJvUYu8vIBs/XuY8UNAej6I/AAAAAAALtzQ/5CTrOmgcoFA0MG4od30OP6vg5GrPFfDiQCLcBGAsYHQ/s72-c/913.jpg)
WANA CCM,WANANCHI WAJITAFAKARI KUMCHAGUA KIONGOZI ATAKAYEWAFAA KUWAONGOZA KIPINDI KIJACHO-BALOZI SEIF ALI IDDI
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alisema wakati muda wa kuelekea katika uchaguzi Mkuu unakaribia Wana CCM na Wananchi wana fursa nzuri ya kutafakari Kiongozi atakayefaa kuwaongoza katika kipindi kijacho cha Miaka Mitano.
Alisema Viongozi wanaofaa kushika hatamu ya kuwaongoza vyema ni wale wenye uwezo kamili wa kutekeleza Ilani ya Uchaguzi ya CCM inayokwenda kisasa katika mazingira ya Karne ya sasa ya Sayansi na Teknolojia Ulimwenguni.
Balozi Seif Ali Iddi alitoa Kauli...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-X4ovIDcNZyc/XqvHwaaQsxI/AAAAAAALou8/y42n7Uqd5D4akMGYp72UsTXzI7vg1tpcgCLcBGAsYHQ/s72-c/663.jpg)
Balozi Seif Ali Iddi awaomba Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi kutoa Elimu kwa Wananchi kuhusu mapambano dhidi ya Virusi vya Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-X4ovIDcNZyc/XqvHwaaQsxI/AAAAAAALou8/y42n7Uqd5D4akMGYp72UsTXzI7vg1tpcgCLcBGAsYHQ/s640/663.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-1lfwQBFlQPA/XqvHwQ7EDjI/AAAAAAALou4/CwIBf5JoR1grtJGU4DgldwzJvlJN2JhXgCLcBGAsYHQ/s640/669.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-YXcPYJlqNp8/VNNVFWsqMjI/AAAAAAAHB7M/2xGFE32hcLU/s72-c/unnamed%2B(41).jpg)
Balozi Seif Ali Iddi akutana na Balozi wa Heshima wa Tanzania Nchini Marekani Dr. Robert Shumake
Mkurugenzi wa Kampuni hiyo ambae pia ni Balozi wa Heshima wa Tanzania Nchini Marekani Dr. Robert Shumake alieleza hayo wakati akizungumza na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Ofisini kwake katika Jengo la Msekwa ndani ya viunga vya...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yVijUyE_LRk/U7hJKhnTaXI/AAAAAAAFvMk/QWGFr-hxwMk/s72-c/unnamed+(38).jpg)
Balozi seif ali Iddi atembelea Kijiji cha Kilombero
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-mazezXANswQ/UzQ-U1aNjOI/AAAAAAAFWz8/n-0uSEeOMdc/s72-c/unnamed+(49).jpg)
balozi seif ali Iddi aasa wajumbe wa bunge la katiba
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-MZRn5ooQy7c/U1EaVueJdMI/AAAAAAAFbrI/rrkJ0zvwd50/s72-c/unnamed1.jpg)
Balozi Seif Ali Iddi atembelea Mabanda ya Maonyesho ya miaka 50 ya muungano
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-JYzh66W8lBE/VG9wHy9jiHI/AAAAAAAGyxc/EO4b4cTkeR8/s72-c/1.jpg)
Balozi Seif Ali Iddi akutana na makada wa CCM nchini China
![](http://4.bp.blogspot.com/-JYzh66W8lBE/VG9wHy9jiHI/AAAAAAAGyxc/EO4b4cTkeR8/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-qbAEIg_myKg/VG9wICiQOyI/AAAAAAAGyxU/hztWmGy9H9c/s1600/3.jpg)