Balozi Seif Ali Idd aweka wazi CCM imejipanga kudhibiti wenye nia ya kuvuruga uchaguzi mkuu ujao
Mlezi wa CCM Mkoa wa Magharibi Balozi Seif akimkabidhi kadi mwanachama Thuwaiba Jeni Pandu akiwa miongoni mwa wanachama wapya wa CCM na Jumuia zake kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye Tawi la CCM Pangawe Jimbo la Fuoni.
Na Othman Khamis Ame.
Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar.
Mlezi wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Magharibi ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM Balozi Seif Ali Iddi, amewahakikishia wananchi wa Zanzibar na Tanzania kwamba...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-9pUwDvuXLIo/U8vFYX6DDgI/AAAAAAAF4EI/zDD0NX3C4KM/s72-c/540.jpg)
BALOZI SEIF ALI IDD AKUTANA NA WANA CCM WA NUNGWI
Alisema Wanasiasa wasifikirie kwamba anapokwenda majimboni hasa katika maeneo yanayoongozwa na Upinzani wakadhani ya kuwa anakwenda kuvuruga siasa za vyama vyengine vya upinzani.
Balozi Seif alitoa kauli hiyo wakati akizungumza na...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0vMev7woWv4/VD5HZYZzb5I/AAAAAAAGqlQ/nJsSU5TKufQ/s72-c/056.jpg)
Balozi Seif Ali Iddi aweka jiwe la Msingi la Msikiti Mkuu wa Ijumaa wa Kijiji cha Peramiho,Ruvuma
Balozi Seif alieleza hayo wakati wa hafla fupi ya kuweka jiwe la Msingi la Msikiti Mkuu wa Ijumaa wa Kijiji cha Peramiho uitwao Masjid Jidah akiwa katika ziara ya siku mbili Mkoani Ruvuma kukagua shughuli za maendeleo, kiuchumi pamoja na ustawi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HbsRLQ*GNXbO*i3q5NIT95733kyKHvlGA-F6zYS3ApIi6vBrlQvAxzTbDaOpXoAXQrMJ*H6QqCnwCHvK7T-s16syRViNf3Zy/1.jpg?width=650)
BALOZI SEIF ALI IDDI AWEKA JIWE LA MSINGI LA MSIKITI MKUU WA IJUMAA WA KIJIJI CHA PERAMIHO, RUVUMA
11 years ago
Dewji Blog02 Jun
Makundi, Majungu, Fitina ni sumu kwa Uongozi wa CCM Zanzibar — Asema Balozi Ali Seif Idd
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Balozi Seif Ali Iddi akizungumza na Viongozi wa CCM wa Jimbo la Mgogoni katika Tawi la CCM Magogoni akiiongoza Timu ya Wajumbe wa Barza la Wawakilishi kupitia CCM ya kuimarisha nguvu za CCM katika Mikoa mbali mbali ya Zanzibar.
Baadhi ya Viongozi wa Chama cha Mapinduzi Jimbo la Magogoni wakifuatilia hotuba ya Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Balozi Seif hayupo pichani aliyoitoa wakati wa ziara yake na Wawakilishi wa CCM ndani ya Jimbo hilo.(Picha na...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8mxIt0kQVpw/UxR05KjDFjI/AAAAAAAFQyQ/4M6q8iOOU88/s72-c/unnamed+(2).jpg)
Balozi Seif Ali Idd awapongeza Viongozi na Wanachama wa CCM wa Tawi la Mafufuni,Bumbini kwa uamuzi wao wa kujenga Tawi jipya la CCM
Balozi Seif alisema hayo wakati akikabidhi mchango wa Shilingi Milioni moja kwa ajili ya uwezekaji wa Tawi hilo kufuatia ahadi aliyoitoa ya kusaidia harakati za ujenzi wa Jengo hilo mchango alioukabidhi kwa uongozi wa Tawi hilo hapo Ofisini...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qY1vg3R0ul0/VCQeKr5yMII/AAAAAAAGlvQ/adTmMSaJHjQ/s72-c/unnamed%2B(9).jpg)
BALOZI SEIF ALI IDD AKANUSHA MADAI MBALIMBALI YALIYOTOLEWA NA GAZETI LA MTANZANIA KUHUSU KUJIUZULU KWA MWANASHERIA MKUU WA ZANZIBAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-qY1vg3R0ul0/VCQeKr5yMII/AAAAAAAGlvQ/adTmMSaJHjQ/s1600/unnamed%2B(9).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-UatwPMY_cFo/VCQeKVrwfuI/AAAAAAAGlvM/HroF3h7LDYA/s1600/unnamed%2B(10).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-FOrbVArBTUA/VCQeMNqShrI/AAAAAAAGlvc/5UFcbBKdCK0/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-F_H2aWVQ9oU/VCQeQNrbX5I/AAAAAAAGlvk/3QKIh_jndRE/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
Na Benedict Liwenga, MAELEZO-Dodoma.
MAKAMU wa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xt6Fbq0kJ6o/U_79DseBnvI/AAAAAAAGJ8Y/kG-i0b4YYL0/s72-c/883.jpg)
Balozi Seif Ali Idd akutana na Makamu wa Rais wa Kampuni ya Tigo
Makamu wa Rais wa Kampuni hiyo yenye Makao Makuu yake Mjini Stokholmes Nchini Sweeden Bwana Arthur Basting alieleza hayo wakati akizungumza na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Ofisini kwake katika Jengo la Msekwa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-CEFQq7juxXs/VW9uQHknhTI/AAAAAAAHbys/IAd0jdjCreo/s72-c/377.jpg)
CHAMA CHA CCM KINAKABILIWA NA KAZI KUBWA YA KUHAKIKISHA KINASHIDA UCHAGUZI WA MWAKA HUU-BALOZI SEIF ALI IDDI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-CEFQq7juxXs/VW9uQHknhTI/AAAAAAAHbys/IAd0jdjCreo/s640/377.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-8RcagMNGFGk/VW9uLJVWpkI/AAAAAAAHbyk/EU232QbQhgM/s640/389.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-mxZcIXHFiKY/VW9uTLIM3fI/AAAAAAAHby0/GfGSjk9LxzM/s640/393.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-pyiHVOH_F3I/VlghVQrwILI/AAAAAAAIIl4/28Ch93S6DUA/s72-c/67c4c2e5-52a2-4543-827f-28bef657c4ba.jpg)
CCM imethibitisha kuwa iko tayari endapo uchaguzi huo utapangwa tena na si vyenginevyo - Balozi Seif Ali Iddi
![](http://4.bp.blogspot.com/-pyiHVOH_F3I/VlghVQrwILI/AAAAAAAIIl4/28Ch93S6DUA/s640/67c4c2e5-52a2-4543-827f-28bef657c4ba.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10