Balozi Seif Ali Iddi aweka jiwe la Msingi la Msikiti Mkuu wa Ijumaa wa Kijiji cha Peramiho,Ruvuma
![](http://3.bp.blogspot.com/-0vMev7woWv4/VD5HZYZzb5I/AAAAAAAGqlQ/nJsSU5TKufQ/s72-c/056.jpg)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alisema kwamba Taifa la Tanzania hivi sasa linahitaji kuendelea kuwa na hali nzuri ya amani kuliko wakati mwengine wowote kutokana na kwamba linapita katika kipindi cha kuundwa kwa Katiba mpya.
Balozi Seif alieleza hayo wakati wa hafla fupi ya kuweka jiwe la Msingi la Msikiti Mkuu wa Ijumaa wa Kijiji cha Peramiho uitwao Masjid Jidah akiwa katika ziara ya siku mbili Mkoani Ruvuma kukagua shughuli za maendeleo, kiuchumi pamoja na ustawi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HbsRLQ*GNXbO*i3q5NIT95733kyKHvlGA-F6zYS3ApIi6vBrlQvAxzTbDaOpXoAXQrMJ*H6QqCnwCHvK7T-s16syRViNf3Zy/1.jpg?width=650)
BALOZI SEIF ALI IDDI AWEKA JIWE LA MSINGI LA MSIKITI MKUU WA IJUMAA WA KIJIJI CHA PERAMIHO, RUVUMA
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-iSg3z9Dx_EI/VD4V2uS3WLI/AAAAAAACRlc/j1L5zzl642M/s72-c/126.jpg)
BALOZI IDDI AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA MAJENGO YA VIKUNDI VYA UCHUMI KIJIJI CHA MUUNGANO CHA ZOMBA MKOA WA RUVUMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-iSg3z9Dx_EI/VD4V2uS3WLI/AAAAAAACRlc/j1L5zzl642M/s640/126.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-rCJm0x7KOxc/VD4V-Tx_3cI/AAAAAAACRls/ZRXCv6xHRq0/s640/139.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ti1rivizzn0/VD4V9XrX2jI/AAAAAAACRlk/N3I9BN4ktXc/s640/176.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-JaZzn12IcZU/VovY3II8VNI/AAAAAAAIQqk/dB8txbFwyMI/s72-c/814.jpg)
BALOZI SEIF ALI IDDI AWEKA JIWE LA MSINGI LA UJENZI WA KITUO CHA TIBA NA MAREKEBISHO YA TABIA KWA VIJANA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-JaZzn12IcZU/VovY3II8VNI/AAAAAAAIQqk/dB8txbFwyMI/s640/814.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Xn1S6OJ98OE/VovY3QMn9HI/AAAAAAAIQqg/jrocdlVPRJU/s640/822.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yVijUyE_LRk/U7hJKhnTaXI/AAAAAAAFvMk/QWGFr-hxwMk/s72-c/unnamed+(38).jpg)
Balozi seif ali Iddi atembelea Kijiji cha Kilombero
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-kCiPV-9fuHA/U7MDp4-xIuI/AAAAAAAFuAo/SX9Cc-9nZTU/s72-c/unnamed+(13).jpg)
Balozi Seif Ali Iddi atembeela Kijiji cha Mvuleni Shehia ya Kidoti Jimbo la Nungwi Mkoa wa Kaskazini Unguja
![](http://3.bp.blogspot.com/-kCiPV-9fuHA/U7MDp4-xIuI/AAAAAAAFuAo/SX9Cc-9nZTU/s1600/unnamed+(13).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-aNgKPcnGpj4/U7MDp9_PCSI/AAAAAAAFuAY/pwBpQov8wgI/s1600/unnamed+(14).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-koeuutUsRcQ/VFUeSkRHb6I/AAAAAAAGuu0/Ee049fMCUGM/s72-c/unnamed%2B(21).jpg)
balozi seif azinduwa msikiti wa Kijiji cha Tasani Makunduchi
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-XnSwHTWj3YU/VSjGb2KtA7I/AAAAAAAHQPw/Nnbx_Nb6TLQ/s72-c/unnamed%2B(32).jpg)
Maalim seif azindua msikiti wa Ijumaa MASJIDIL AQSAA katika kijiji cha Kiboje Mkwajuni, Zanzibar
9 years ago
Dewji Blog18 Oct
Dkt. Bilal aweka jiwe la msingi ujenzi wa mradi wa vituo vya mapumziko na vyoo vya wasafiri katika kijiji cha Idetero, Mufindi-Iringa
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mohamed Mgimwa, akizungumza kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi Makamu wa Rais Dkt. Bilal, kuhutubia wananchi wa Kijiji cha Idetero Wilaya ya Mufindi Mkoa wa Iringa, wakati wa hafla ya uwekaji Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Mradi wa Vituo vya Mapumziko na Vyoo vya Wasafiri katika Barabara Kuu nchini, jana Okt 17, 2015. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wananchi wa Kijiji cha Idetero...
11 years ago
MichuziWAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA CHUO CHA UFUNDI GONJA MHEZA WILAYANI SAME.