Ni akina mama au wasichana wenye bidii?
Utafiti mpya unasema kuwa wanawake waliojifungua wanafanya kazi zaidi ya wasichana wasio na watoto.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-t9X_szdB1Lw/VEoKVzwavEI/AAAAAAAGtD0/fF_aSjW-ZyI/s72-c/DSC_0018.jpeg)
Mama Tunu Pinda Mgeni rasmi katika Mkutano wa akina mama wa Kitanzania waishio Uingereza
Mama Tunu Pinda alikuwa Mgeni rasmi katika Mkutano cha akina mama wa Kitanzania waishio Uingereza , Kilichoandaliwa na Kikundi cha Umoja wa Wanawake kiitwacho Tanzania Women Association UK (TAWA UK).
Mama Tunu Pinda alihudhuria Mkutano huo kwa mualiko wa mwenyeji wake Mrs Joyce Kallaghe Mke wa Balozi wa Tanzania Uk, Peter Kallaghe.
Mtoa mada aliyeongozana na Mama Tunu , alikuwa ni Mama Anna Matinde , mwanamke Mjasiriamali mahiri na aliyebobea ambaye ana kofia mbalimbali za Uwakilishi wa...
Mama Tunu Pinda alihudhuria Mkutano huo kwa mualiko wa mwenyeji wake Mrs Joyce Kallaghe Mke wa Balozi wa Tanzania Uk, Peter Kallaghe.
Mtoa mada aliyeongozana na Mama Tunu , alikuwa ni Mama Anna Matinde , mwanamke Mjasiriamali mahiri na aliyebobea ambaye ana kofia mbalimbali za Uwakilishi wa...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-3DH7-jw7WQ8/UxteHrPrJZI/AAAAAAAFSE4/ZwrL-cm0tls/s72-c/unnamed+(15).jpg)
MAMA SALMA KIKWETE AZINDUA RASMI UPIMAJI WA SARATANI YA MLANGO WA KIZAZI KWA AKINA MAMA HAPA NCHINI.
![](http://3.bp.blogspot.com/-3DH7-jw7WQ8/UxteHrPrJZI/AAAAAAAFSE4/ZwrL-cm0tls/s1600/unnamed+(15).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-dqMn38Ux1gQ/UxteOODFUfI/AAAAAAAFSF8/1vTWZir4bcA/s1600/unnamed+(16).jpg)
10 years ago
MichuziMAMA SALMA KIKWETE AKABIDHI MASHINE YA KUPIMIA SARATANI YA MATITI KWA AKINA MAMA HOSPITALI KUU YA JESHI LUGALO
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-5kG5YaQYV0c/VmarLsMff7I/AAAAAAADDWI/n9AdVrs_KoQ/s72-c/_MG_2019.jpg)
PANAFRICAN ENERGY YAFADHILI UJENZI WA WODI YA ‘MAMA NGONJEA’ HOSPITALI YA WILAYA KINYONGA KILWA KIVINJE NA KUKARABATI WODI ZA UZAZI NA CHUMBA MAALUM CHA UANGALIZI WA AKINA MAMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-5kG5YaQYV0c/VmarLsMff7I/AAAAAAADDWI/n9AdVrs_KoQ/s640/_MG_2019.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-4h11mrykINk/VmaIQ_IBHKI/AAAAAAADDVg/JVsm2zrdAoI/s640/8.jpg)
10 years ago
Habarileo29 Dec
Mama Salma ataka Lindi wafanye kazi kwa bidii
WAKAZI wa Mkoa wa Lindi wametakiwa kushikamana kwa pamoja, kufanya kazi kwa bidii na kuzitumia rasilimali zilizopo ili kujiletea maendeleo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uVSra6c8ZxUW8h3pbTq8tuiMLUTY1axszjNcLGAv-g1mqoYauUFVKEQb5c6ERVxPeWsYWTCftq96CsZ0KQKzrcagUvTplSOR/infertility.jpg?width=650)
MATATIZO YA UZAZI KWA AKINA MAMA
Akina mama wana matatizo mengi, mojawapo kubwa linalowasumbua ni tatizo la kutokushika ujauzito.
Mwanamke kushindwa kupata ujauzito kwa kipindi cha ndani ya mwaka mmoja au zaidi ya mwaka mmoja wakati mwanaume na mwanamke wanakutana kwa muda unaotakiwa na bila kutumia njia za kuzuia mimba ni tatizo. Kuna aina mbili ya tatizo hili moja hujulikana zaidi kwa jina la primary infertility. Hii humaanisha kuwa mwanamke...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mfWPmYTLUok/XrvWYczMaoI/AAAAAAALqDE/8OLa8Xn7IC8isuyQdy2MnWI2SeYMDdvjACLcBGAsYHQ/s72-c/Copy-of-IMG_8917AAA-768x512.jpg)
AKINA MAMA WAPATA HAMU YA KUZAA NYASA
![](https://1.bp.blogspot.com/-mfWPmYTLUok/XrvWYczMaoI/AAAAAAALqDE/8OLa8Xn7IC8isuyQdy2MnWI2SeYMDdvjACLcBGAsYHQ/s640/Copy-of-IMG_8917AAA-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/Copy-of-IMG_8919AAA-1024x682.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/IMG_8888AA-1024x682.jpg)
Akina mama Wilayani Nyasa wakimshukuru mbunge wa Nyasa Mhandisi Stela Manyanya kwa kuwakabidhi gari ya kubebea wagonjwa katika kituo cha afya Mbamba-bay, Wilayani Nyasa, keroiliyokuwa ikiwasumbua kwa muda mrefu.Gari imetolewa na serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania. Kwa utamaduni wa kabila la Wanyasa Kulala chini ni kushukuru kupita kiasi.(Picha na Ofisi ya Mkurugenzi Nyasa)
…………………………………………………………………………………..
Akina mama wa Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa Mkoani Ruvuma wamesema...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zbcSW1D04atOKQ9Wi4MiyAujyYgJPmBnbxG6W9gdWuM2pJykwqj2Y-yJpcQFW*hMIknhJkPwXO4CNM4pWu9Ax03EsZ1PYyXL/saratani.jpg?width=650)
AKINA MAMA WAPATIWA MATIBABU SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI
AKINA mama wakazi wa Wilaya ya Bahi mkoani hapa, leo (Jumatatu) watapatiwa huduma ya bure ya matibabu ya saratani ya shingo ya kizazi wakati wa uzinduzi wa kampeni ya kuwagundua wanawake wenye tatizo hilo katika hatua za awali kwenye tukio ambalo mgeni rasmi atakuwa mke wa Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Mama Salma Kikwete. Mke wa Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Mama Salma Kikwete. Katika taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania