AKINA MAMA WAPATIWA MATIBABU SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI
![](http://api.ning.com:80/files/zbcSW1D04atOKQ9Wi4MiyAujyYgJPmBnbxG6W9gdWuM2pJykwqj2Y-yJpcQFW*hMIknhJkPwXO4CNM4pWu9Ax03EsZ1PYyXL/saratani.jpg?width=650)
AKINA mama wakazi wa Wilaya ya Bahi mkoani hapa, leo (Jumatatu) watapatiwa huduma ya bure ya matibabu ya saratani ya shingo ya kizazi wakati wa uzinduzi wa kampeni ya kuwagundua wanawake wenye tatizo hilo katika hatua za awali kwenye tukio ambalo mgeni rasmi atakuwa mke wa Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Mama Salma Kikwete. Mke wa Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Mama Salma Kikwete. Katika taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWAMA YAANDAA MKUTANO WA SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI NA MATITI KWA AKINA MAMA AFRIKA MASHARIKI
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-3DH7-jw7WQ8/UxteHrPrJZI/AAAAAAAFSE4/ZwrL-cm0tls/s72-c/unnamed+(15).jpg)
MAMA SALMA KIKWETE AZINDUA RASMI UPIMAJI WA SARATANI YA MLANGO WA KIZAZI KWA AKINA MAMA HAPA NCHINI.
![](http://3.bp.blogspot.com/-3DH7-jw7WQ8/UxteHrPrJZI/AAAAAAAFSE4/ZwrL-cm0tls/s1600/unnamed+(15).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-dqMn38Ux1gQ/UxteOODFUfI/AAAAAAAFSF8/1vTWZir4bcA/s1600/unnamed+(16).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-nGAA5MtHw_0/U0xVlPhWUgI/AAAAAAAFawc/sxEShGYGYog/s72-c/unnamed+(24).jpg)
MAMA SALMA AZINDUA RASMI UCHUNGUZI WA SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI HUKO BAHI - MKOANI DODOMA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-nGAA5MtHw_0/U0xVlPhWUgI/AAAAAAAFawc/sxEShGYGYog/s1600/unnamed+(24).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-MshacqXTz7o/U0xVlYcnx7I/AAAAAAAFawk/pfUTcajCeIQ/s1600/unnamed+(25).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-LCfZsJtkBMA/U0xVmYr4XCI/AAAAAAAFaws/1LbC9o4mOIY/s1600/unnamed+(26).jpg)
10 years ago
Dewji Blog28 Feb
Mama Salma Kikwete awataka wanaume kuwaunga mkono wake zao kupima saratani za matiti na shingo ya kizazi
Mke wa Rais na Mwenyekiti wa WAMA Mama Salma Kikwete akikabidhi mashine ya kupimia saratani ya matiti kwa akina mama kwa uongozi kwa Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi Luteni Jenerali Samuel Ndomba (kulia). Hafla ya makabidhiano hayo ilifanyika kwenye Hospitani Kuu ya Jeshi Lugalo kwenye Kitengo cha Uzazi na Mtoto kilichoko Mwenge tarehe 27.2.2015. Aliyesimama pembeni kwa Mama Salma ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Donan Mmbando na aliyesimama kulia kwa...
10 years ago
MichuziMAMA SALMA KIKWETE AHUTUBIA MKUTANO WA AFYA KUHUSU SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI, MATITI NA TEZI HUKO NEW YORK.
11 years ago
Tanzania Daima24 Apr
Uchunguzi wa saratani ya shingo ya kizazi
SARATANI ya shingo ya kizazi ambayo kitaalamu huitwa Cervix, ni saratani inayoongoza kwa wingi nchini Tanzania na inawaathiri wanawake wenye umri kati ya miaka 25 na 50. Inachangia asilimia 60...
11 years ago
Habarileo10 Apr
Bahi kuchunguza saratani ya shingo ya kizazi
HALMASHAURI ya wilaya ya Bahi kwa kushirikiana na hospitali ya Dodoma Medical Christian Medical Clinic(DCMC ) na Shirika la Maendeleo la Uswisi, wanatarajiwa kufanya kampeni kubwa ya uchunguzi wa saratani ya shingo ya kizazi wilayani Bahi.