Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Justin Beiber awakimbia mapaparazi

NA BADI MCHOMOLO

NYOTA wa muziki nchini Marekani, Justin Beiber, amesema kwa sasa atakuwa mbali na waandishi wa habari kwa kuwa wanatangaza habari ambazo haziko sahihi.

Beiber amesema kuna wakati anakuwa na wakati mgumu wa kujibu maswali ya waandishi wa habari kwa kuwa anakutana nao mara kwa mara.

“Kwa sasa naona bora nikae mbali na waandishi wa habari kwa kuwa wananichosha, kila nikikutana nao wananiuliza maswali na kuna wakati mwingine nashindwa kuongea lolote kutokana na maswali...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Justin Beiber: Pini zake zamrudisha Selena

justin-bieber-and-selena-gomezHAKUNA uhusiano ambao ulipendeza kwa watu maarufu hasa kwenye tasnia ya muziki nchini Marekani kama ilivyo kwa Chris Brown na aliyekuwa mpenzi wake Rihanna.

Uhusiano wao ulipendeza kutokana na wawili hao kuwa na umri mdogo huku wakifanya vizuri katika muziki, walianza kuwa katika uhusiano mwaka 2007 ambapo Chris aliachia wimbo wake ambao ulijulikan kwa jina la ‘With You’ Baada ya Chris kuachia wimbo huo, Rihanna alikuwa hana jinsi kwa kuwa ulimgusa sana na kushindwa kuzuia hisia zake na...

 

10 years ago

GPL

MAMA AWAKIMBIA WANAYE WENYE KIFAFA

Bw. Nabo Philipo aliyekimbiwa na mkewe. HILI nalo ni tukio! Mwanaume mmoja aliyejitambulisha kwa jina la Nabo Philipo ameibuka na kudai kuwa, mkewe Mariana Thomas Silayo (pichani) amekimbia nyumbani na kumwachia watoto wawili wenye ugonjwa wa kifafa. Akizungumza kwa uchungu na gazeti hili hivi karibuni, Nabo alisema alifunga ndoa na Mariana mwaka 2002 na kujaliwa kupata watoto wawili, Madelin  na Joyce Nabo na ndani ya miaka...

 

9 years ago

Mtanzania

Kisa mapaparazi, Kylie apata ajali

kylie-jennerLOS ANGELES, MAREKANI

MPENZI wa mkali wa muziki wa hip hop nchini Marekani, Tygar, Kylie Jenner, amesema hana urafiki na waandishi wa habari nchini humo kwa kuwa walimsababishia ajali.

Mrembo huyo amesema hana amani kila akiwa katika matembezi yake ya kawaida kwa kuwa waandishi wa habari wanamzonga mara kwa mara.

Hata hivyo, mwezi uliopita alikutana na waandishi wa habari akaanza kuwakimbia na gari yake na kusababisha ajali wakati anawakimbia waandishi hao.

“Siwezi kuwa na urafiki na...

 

11 years ago

Bongo5

Kanye na Kim watumia tshs mil 835 kupata mtoto anayefanana na North West ili kujihami na mapaparazi

Kanye and Kim West hawako tayari kuona maisha ya mtoto wao, North yanaingia hatarani. Kuhakikisha kuwa mtoto wao hawehuki kwasababu ya usumbufu wa mapaparazi, Kanye na Kim wametumia $500,000 (zaidi ya shilingi milioni 835) kupata mtoto anayefanana na wa kwao. North West Kwa mujibu wa gazeti la The Mirror, mastaa hao wametumia kiasi hicho kikubwa […]

 

9 years ago

Bongo5

Video: Justin Bieber — What Do You Mean

Justin Bieber debuted his short film for “What Do You Mean?” The cinematic clip, directed by Brad Furman, co-stars John Leguizamo and Xenia Deli. Bieber stages a kidnapping for his girlfriend, but it’s all part of an elaborate plan to surprise her. In addition to the suspense, a shirtless Biebs cozies up to his sexy […]

 

9 years ago

Bongo5

Music: Justin Bieber — Sorry

After earning his first No. 1 with “What Do You Mean?” Justin Bieber takes aim at the charts once again with “Sorry,” the second single off his upcoming album Purpose. The breezy mid-tempo, produced by Skrillex (“Where Are Ü Now”), finds the pop heartthrob apologizing for doing wrong in a relationship. Jiunge na Bongo5.com sasa […]

 

9 years ago

Bongo5

New Music: Justin Bieber — What Do You Mean?

Hii ni ngoma mpya ya Justin Bieber iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu ‘What Do You Mean’ iliyotoka jana. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

GPL

JUSTIN BIEBER AUMBUKA JUKWAANI

Mkali wa Ngoma ya What Do You Mean, Justin Bieber. Los Angeles, Marekani. MKALI wa Ngoma ya What Do You Mean, Justin Bieber usiku wa kuamkia leo aliumbuka jukwaani baada ya kutimba na ‘Skate Board’ kisha kuteleza na kumuumiza goti. Tukio hilo lilitokea katika Ukumbi wa Staples Center, Los Angeles Marekani ambapo Bieber alionekana akiingia kwa mbwewe na Skate Board na baada ya kufika jukwaani akateleza na...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Justin Bieber — I’ll Show You

justin-bieber-ill-show-youJustin Bieber anazidi kuachia nyimbo mpya za album yake mpya ‘Purpose’ ambayo zimesalia wiki mbili itoke (Nov.13). Mwimbaji huyo kutoka Canada ametoa wimbo uitwao I’ll Show You’ pamoja na video yake. Single hii imekuja siku chache baada ya kuachia ‘Sorry’ pamoja na remix ya wimbo wa Drake ‘Hotline Bling’. Hii ni baadhi ya mistari ya […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani