Kisa mapaparazi, Kylie apata ajali
LOS ANGELES, MAREKANI
MPENZI wa mkali wa muziki wa hip hop nchini Marekani, Tygar, Kylie Jenner, amesema hana urafiki na waandishi wa habari nchini humo kwa kuwa walimsababishia ajali.
Mrembo huyo amesema hana amani kila akiwa katika matembezi yake ya kawaida kwa kuwa waandishi wa habari wanamzonga mara kwa mara.
Hata hivyo, mwezi uliopita alikutana na waandishi wa habari akaanza kuwakimbia na gari yake na kusababisha ajali wakati anawakimbia waandishi hao.
“Siwezi kuwa na urafiki na...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog15 Aug
Mfanyabiashara wa madini apata ajali mbaya ya gari lake iliyopelekea kupasuka kichwa na kufariki papo hapo, kisa mwendo kasi
Gari lililokuwa limebeba mwili wa mfanyabiashara wa madini ya Coper Henrico Kairuki likiwa katika hospitali ya mkoa wa Singida.
Na Hillary Shoo, MKALAMA.
Mfanyabiashara wa madini aina ya Shaba Mkoani Singida amefariki dunia papo hapo na wengine wawili kujeruhiwa baada ya gari dogo alilokuwa akiendesha kuacha njia na kisha kupinduka mara tatu.
Ajali hiyo mbaya imetokea katika kijiji cha Gumanga Tarafa ya Nduguti Wilayani Mkalama majira ya saa 9:00 alasiri na kulihusisha gari dogo aina ya...
9 years ago
Mtanzania02 Oct
Kylie Jenner, Tyga kuachana kisa jina la Drake?
NEW YORK, Marekani
BAADA ya wiki kadhaa za furaha ya nyota wa muziki nchini Marekani, Tyga kumnunulia mpenzi wake, Kylie Jenner, gari aina ya Mercedes G Wagon alipofanya sherehe ya kukumbuka siku ya kuzaliwa kwake, hali imebadilika na kuwa ya huzuni.
Uhusiano wa wawili hao unaonekana kuingiwa na mdudu mbaya baada ya kutokea malumbano kati yao ambapo kwa mujibu wa mtandao wa Hollywood life, chanzo ni kwamba Tyga alimtukana mpenzi wake huyo kwa kumfananisha mambo mabaya na Drake.
Mtandao huo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/S6leBpJ8ovBE*WNWRBA2Ja1pWCZ-aJxSP1l93RbBoQDm6NADaEjFiENd80vSAN-QbSpu8Zcx43wxsPqSpVZEzjuq3t69t-iY/shamsa.jpg?width=650)
SHAMSA APATA AJALI
11 years ago
Tanzania Daima24 May
DC wa Karagwe apata ajali
MKUU wa Wilaya ya Karagwe mkoani Kagera, Darry Rwegasira amepata ajali katika Kijiji cha Kalebezo, Kata ya Nyamirembe Wilayani Chato mkoani Geita juzi. Akizungumza kwa njia ya simu na Tanzania...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yv5LJqWpO0p59gSkh23ytrEvz3KHAWIoXn6oENyMOMwrIpPuSMZmrpvo06LLW*F0vu7hRKR81Ep9HuIshuKCQ-BdTXdkRPFY/gabo.jpg)
GABO APATA AJALI
9 years ago
Vijimambo22 Oct
NAPE APATA AJALI
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/NAPE-AJALI-11.jpg?width=650)
Nape ambaye pia ni mgombea Ubunge wa Jimbo la Mtama, Lindi alipata ajali hiyo baada ya tairi la mbele la gari aliyokuwa akiendesha aina ya Toyota Land Cruiser kupasuka na kupinduka mara kadhaa katika eneo la Nyangao mkoani Lindi.
Katika gari hilo, Nape alikuwa peke yake na ndiye alikuwa akiendesha gari hilo ambapo amepata majeraha...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TiGlW1XckRafRkZ3HYtMnq7QoJSC3dzCCCqudq4F0UyuL9Mk-Zh6y1To-7B0TEzNA10eFnSOc547R0PkkP5sqX89kNfbS0BG/mguu.jpg?width=650)
AOZA MGUU, KISA AJALI
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-RLxyN9SjlB8/Xoa3gQgQKrI/AAAAAAAAnOY/fKdcvJRORu4lD5Aps-6iXoYjOkMNURupgCLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
DEREVA BODABODA APATA AJALI
![](https://1.bp.blogspot.com/-RLxyN9SjlB8/Xoa3gQgQKrI/AAAAAAAAnOY/fKdcvJRORu4lD5Aps-6iXoYjOkMNURupgCLcBGAsYHQ/s640/0.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-naJVCxuab54/Xoa3ftM60BI/AAAAAAAAnOU/NBoE4oNwlq82KW6ay6z1rZPPshpkXF3yQCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aq07GQXjwH0FyRWJSednuOCqWZQ0SOeJjSBsugwLo2b*dqPRpyes1lUTu-jckuhFXxYwqaPSoLSbwCFhy83p685TSwaQPFAh/6wastaa.jpg)
WASTARA APATA AJALI TENA