AOZA MGUU, KISA AJALI
![](http://api.ning.com:80/files/TiGlW1XckRafRkZ3HYtMnq7QoJSC3dzCCCqudq4F0UyuL9Mk-Zh6y1To-7B0TEzNA10eFnSOc547R0PkkP5sqX89kNfbS0BG/mguu.jpg?width=650)
Na Gabriel Ng’osha AMA kweli ng’ombe wa maskini hazai, kijana Peter Sitiwati (26), mkazi wa Sinza ya Kwaremmy jijini Dar amejikuta akikatisha ndoto za utafutaji maisha kufuatia kuoza mguu baada ya ajali mbaya ya gari. Akizungumza na mwandishi wetu jijini Dar juzikati kwa sauti ya kukata tamaa, Peter alisema alipata ajali ya gari mwaka 2013 maeneo ya Sinza-Mori, Dar na kuumia vibaya mguu wa kulia. kijana...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/klmPPeYfCPi6L2CK2xPMdTr5pbIxwDoSAts-nBBDU5k1H5-qxzFgy58FQHDAYjsFTXuQd3*LPghJrqbLC*VD0ZryVLLG1VRw/wivu.jpg)
KISA WIVU MUME AMFYEKA MGUU MKEWE!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/N3a4E7n0BncM2zmRmAWHOSKImLG1b8cf1*8zm2qeMtIvkDBvgD7A7q*mpS9no4n7ziOXq4QShKexne6XxV4BHGuEePu16MaB/m.jpg)
MUUMINI WA NABII MWINGIRA ADAIWA KUTELEKEZA MKE, KISA KAKATWA MGUU
11 years ago
Mwananchi26 Mar
Ukawa sasa mguu ndani, mguu nje
9 years ago
Mtanzania21 Dec
Kisa mapaparazi, Kylie apata ajali
LOS ANGELES, MAREKANI
MPENZI wa mkali wa muziki wa hip hop nchini Marekani, Tygar, Kylie Jenner, amesema hana urafiki na waandishi wa habari nchini humo kwa kuwa walimsababishia ajali.
Mrembo huyo amesema hana amani kila akiwa katika matembezi yake ya kawaida kwa kuwa waandishi wa habari wanamzonga mara kwa mara.
Hata hivyo, mwezi uliopita alikutana na waandishi wa habari akaanza kuwakimbia na gari yake na kusababisha ajali wakati anawakimbia waandishi hao.
“Siwezi kuwa na urafiki na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DkRfQoehpOqVa2lSzWDgaDbobnDCeEitbYcy-X*vNav0C2pTAk8WUwTnT4AWNMTZ54YpbrslGIa2bFML-Td3HWx*hzta25Ml/jokate.jpg)
MNIGERIA AOZA PENZI LA JOKATE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OyRBKp4pk3RjXmK94uKzXzKmhFiQb57DMkA6kWAomw8AkiLbXQN2iBTA-OJ3eBeN0WvaBxtuYpmgrndvV7h5UVMFIGWtddP0/denti.jpg?width=650)
DENTI ABAKWA, AOZA SEHEMU ZA SIRI
11 years ago
Dewji Blog15 Aug
Mfanyabiashara wa madini apata ajali mbaya ya gari lake iliyopelekea kupasuka kichwa na kufariki papo hapo, kisa mwendo kasi
Gari lililokuwa limebeba mwili wa mfanyabiashara wa madini ya Coper Henrico Kairuki likiwa katika hospitali ya mkoa wa Singida.
Na Hillary Shoo, MKALAMA.
Mfanyabiashara wa madini aina ya Shaba Mkoani Singida amefariki dunia papo hapo na wengine wawili kujeruhiwa baada ya gari dogo alilokuwa akiendesha kuacha njia na kisha kupinduka mara tatu.
Ajali hiyo mbaya imetokea katika kijiji cha Gumanga Tarafa ya Nduguti Wilayani Mkalama majira ya saa 9:00 alasiri na kulihusisha gari dogo aina ya...
9 years ago
Bongo Movies18 Nov
Wastara Akatwa Mguu!
Gabriel Ng’osha Inauma sana! Hatimaye maumivu makali yamempata staa wa Bongo Movies, Wastara Juma kwa zaidi ya saa 24 baada ya kufanyiwa upasuaji mwingine wa kukatwa tena mguu kufuatia uvimbe uliojitokeza kwenye mguu wake wa bandia uliomnyima raha kwa muda mrefu.
TUJIUNGE NA CHANZO JIJINI NAIROBI
Kwa mujibu wa chanzo chetu makini kilichoambatana na mwigizaji huyo jijini Nairobi, Kenya katika matibabu, staa huyo alifikia hatua ya kwenda hospitali baada ya kuzidiwa na maumivu makali...
9 years ago
Habarileo03 Dec
Simba, Yanga mguu sawa
TIMU za Simba na Yanga zimetamba sasa zimeimarika baada ya wachezaji wao kurejea nchini wakitokea Ethiopia walikokuwa katika michuano ya Kombe la Chalenji. Wakizungumza kwa nyakati tofauti makocha wa timu hizo walisema wanaamini kuanzia leo wachezaji hao watakuwa wamejiunga na vikosi vyao na maandalizi yatakuwa yamekamilika.