Ukawa sasa mguu ndani, mguu nje
>Hatima ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, ambao ni wanachama wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kuendelea kushiriki vikao vya Bunge au kutoendelea inatarajiwa kujulikana leo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo Movies18 Nov
Wastara Akatwa Mguu!
Gabriel Ng’osha Inauma sana! Hatimaye maumivu makali yamempata staa wa Bongo Movies, Wastara Juma kwa zaidi ya saa 24 baada ya kufanyiwa upasuaji mwingine wa kukatwa tena mguu kufuatia uvimbe uliojitokeza kwenye mguu wake wa bandia uliomnyima raha kwa muda mrefu.
TUJIUNGE NA CHANZO JIJINI NAIROBI
Kwa mujibu wa chanzo chetu makini kilichoambatana na mwigizaji huyo jijini Nairobi, Kenya katika matibabu, staa huyo alifikia hatua ya kwenda hospitali baada ya kuzidiwa na maumivu makali...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3dClu3zYZuvgypQo5FJTSVKHfy8pZQ*MZM45Q1INhYtDlnvRAU9q*rlTf0NG0Gq2fAGXiO5ZXP2eFfwjvT5V9hn5DLtpeVgE/DENTI.jpg?width=650)
DENTI YATIMA AKATWA MGUU
9 years ago
Habarileo03 Dec
Simba, Yanga mguu sawa
TIMU za Simba na Yanga zimetamba sasa zimeimarika baada ya wachezaji wao kurejea nchini wakitokea Ethiopia walikokuwa katika michuano ya Kombe la Chalenji. Wakizungumza kwa nyakati tofauti makocha wa timu hizo walisema wanaamini kuanzia leo wachezaji hao watakuwa wamejiunga na vikosi vyao na maandalizi yatakuwa yamekamilika.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3r*H3JtUV-f1FOvouo8jfUbTVPuq2QZQHM8pre2wbE6vfys3HqH4Z8r0RzUCe6vnN*3nYp2NvAdGKrfbgCX8wb9Zmq5Osptc/Wastaraz.jpg?width=650)
WASTARA KUKATWA MGUU TENA!
11 years ago
GPLAGONGWA NA KIBERENGE, AVUNJIKA MGUU
9 years ago
Habarileo07 Oct
Taifa Stars mguu sawa
TIMU ya Taifa Tanzania, Taifa Stars, leo wanashuka dimbani kuvaana na Malawi ‘The Flames’ katika mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia 2018, huku Kocha Mkuu Charles Mkwasa akiahidi kuibuka na ushindi. Mchezo huo wa awali utachezwa kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam kuanzia saa 10:30 jioni .
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TiGlW1XckRafRkZ3HYtMnq7QoJSC3dzCCCqudq4F0UyuL9Mk-Zh6y1To-7B0TEzNA10eFnSOc547R0PkkP5sqX89kNfbS0BG/mguu.jpg?width=650)
AOZA MGUU, KISA AJALI
9 years ago
Mtanzania09 Nov
Dk.Bisimba anusurika kifo, avunjika mguu
Na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam
MKURUGENZI wa Kituo Cha Sheria na Haki za Binadamu(LHRC), Dk. Hellen Kijo-Bisimba amenusurika kifo ajalini.
Dk. Kijo-Bisimba alipata ajali mbaya ya gari katika daraja la Salender Dar es Salaam jana.
Katika ajali hiyo, Dk. Kijo-Bisimba anadaiwa kuvunjika mguu mmoja baada ya gari lake kupoteza mwelekeo na kupinduka mara nne.
Ajali hiyo ilitokea jana asubuhi wakati akitoka kusali eneo la Posta akitumia gari dogo ya Toyota Prado namba T 159...
10 years ago
Mwananchi30 Sep
Mguu sawa kwa walimu wa Tanzania