Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DENTI YATIMA AKATWA MGUU

MWANAFUNZI James Chotamasogo (20) aliyemaliza kidato cha nne mwaka jana katika Shule ya Sekondari ya Road Baden Powel inayomilikiwa na Kanali Mstaafu, Idd Omar Kipingu, iliyopo jijini Dar amekatwa mguu wa kushoto katika Hospitali ya Ocean Road, kutokana na ugonjwa wa kansa. James Chotamasogo akitembelea magongo baada ya kukatwa mguu wa kushoto katika Hospitali ya Ocean Road, kutokana na ugonjwa wa kansa. Kufuatia tukio hilo,...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo Movies

Wastara Akatwa Mguu!

Gabriel Ng’osha Inauma sana! Hatimaye maumivu makali yamempata staa wa Bongo Movies, Wastara Juma kwa zaidi ya saa 24 baada ya kufanyiwa upasuaji mwingine wa kukatwa tena mguu kufuatia uvimbe uliojitokeza kwenye mguu wake wa bandia uliomnyima raha kwa muda mrefu.

TUJIUNGE NA CHANZO JIJINI NAIROBI

Kwa mujibu wa chanzo chetu makini kilichoambatana na mwigizaji huyo jijini Nairobi, Kenya katika matibabu, staa huyo alifikia hatua ya kwenda hospitali baada ya kuzidiwa na maumivu makali...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kijana mwenye miaka 4 akatwa mguu Kenya

Familia ya kijana mwenye umri wa miaka minne aliyepigwa risasi na polisi huko Mombasa inasema amekatwa mguu

 

11 years ago

Mwananchi

UKATILI: Mke mjamzito akatwa mguu, amwagiwa tindikali

>“Ni zaidi ya miezi sita tangu nifanyiwe ukatili na mume wangu na mama mkwe. Nahangaika kuuguza mguu niliokatwa kwa panga  kunyunyiziwa maji ya betri. sijui kama utapona. Kichanga nacho kinasumbua, jamani nimekosa nini mimi kwa Mungu.”

 

11 years ago

GPL

HATIMAYE MTOTO MWENYE UVIMBE WA AJABU AKATWA MGUU INDIA

Mtoto mwenye uvimbe wa ajabu, Hamis Liyuga akiwa anaandaliwa kupelekwa katika chumba cha upasuaji. Hamis Liyuga akipelekwa katika chumba cha upasuaji.…

 

11 years ago

Mwananchi

Ukawa sasa mguu ndani, mguu nje

>Hatima ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, ambao ni wanachama wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kuendelea kushiriki vikao vya Bunge au kutoendelea inatarajiwa kujulikana leo.

 

10 years ago

Mwananchi

Edward Lowassa akatwa CCM

Tano bora urais ni Membe, Magufuli, Makamba, Migiro, Amina Salum Ali

 

10 years ago

BBCSwahili

Muingereza mwengine akatwa kichwa

Kundi la wanamgambo wa kiislamu la Islamic state limetoa ukanda wa video unaoonyesha mateka Alan Henning akikatwa kichwa.

 

10 years ago

Habarileo

Albino mwingine akatwa mkono

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Katavi, Dhahiri KidavashariMWANAMKE mwenye ulemavu wa ngozi (albino), Remi Luchoma (30), mkazi wa kijiji cha Mwamachoma kata ya Mamba wilaya ya Mlele mkoa wa Katavi, amekatwa mkono wake wa kulia na watu wasiojulikana, kisha wakatokomea na kiganja cha mkono huo kusikojulikana.

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia wa Marekani akatwa shingo na IS

Kand ya video inaonyesha mauaji ya mtu kwa utoa huduma za misaada raia wa Marekani Abdul Rahman Kassig

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani