Muingereza mwengine akatwa kichwa
Kundi la wanamgambo wa kiislamu la Islamic state limetoa ukanda wa video unaoonyesha mateka Alan Henning akikatwa kichwa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili14 Sep
Mateka mwengine akatwa kichwa na IS
Uingereza inachukua hatua ili kubaini ukweli wa kanda ya video inayoonyesha mateka wa taifa hilo David Haines akikatwa kichwa.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-tRXgGHTUdNWPxM3PKZq0FhnFAVl68cBeQ4vjIzWMHApBg*T5AzdGg4nxyyNMb3xtjfOBkJ3X0h44GGvyvWpTR38QKiDzz-E/KACHINJWA2.jpg?width=650)
MWANDISHI WA MAREKANI AKATWA KICHWA
Mwandishi wa habari wa Marekani aliyekatwa kichwa, James Wright Foley (kushoto), akiwa amevishwa kanzu maalum. Kabla ya kuuawa kwake, Foley, aliwataka marafiki, wanafamilia wake na wapenzi wake wote kupambana na “wauaji wangu wa kweli†ambao ni serikali ya Marekani.…
11 years ago
Mwananchi25 Dec
Akatwa kichwa mapigano ya wakulima, wafugaji
Mapigano baina ya wakulima na wafugaji wilayani Kiteto Mkoa wa Manyara yameibuka tena na kusababisha mtu mmoja kuuawa kwa kukatwa kichwa katika Kijiji cha Kondevesi.
10 years ago
BBCSwahili24 Aug
Raia muingereza aambukizwa Ebola
Raia mmoja wa Uingereza anayeishi nchini Sierra leone ameambukizwa virusi vya ugonjwa wa Ebola.
9 years ago
Habarileo18 Sep
Lisu, Muingereza wakubali kuombea uchaguzi
MWIMBAJI nyota wa muziki wa Injili mwenye maskani yake Uingereza, Ifeanyi Kelechi anatarajia kuiwakilisha Uingereza katika Tamasha la kuombea amani Tanzania linalotarajia kufanyika Oktoba 4, kwenye Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam.
10 years ago
BBCSwahili24 Aug
Muingereza mwenye Ebola arejeshwa kwao
Muingereza aliyekuwa katika huduma za utibabu nchini Sierra Laone apata ebola na atarajiwa kutibiwa kwao
10 years ago
BBCSwahili12 Sep
Muingereza aliyepona Ebola kurejea Afrika
Mwanaume wa kwanza Muingereza kuambukizwa Ebola, akiwa Afrika anatarajiwa kurejea Afrika ambako aliambukizwa.
10 years ago
BBCSwahili05 Oct
Mateka Muingereza aachiliwa huru Libya
Mwalimu mmoja raia wa Uingereza ambaye alitekwa nyara nchini Libya mwezi Mei mwaka huu ameachiliwa huru.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cFSv-yJm2DShn*74bCcr9-xX*dOF1LBggaUwSfO1yb*E8jOJ8v3uCY0x1sJUthACiIdb6VZDPQYC4cjTDqXgKA-oikfLyp7K/1.gif?width=650)
Muingereza wa Simba kuanza kazi leo
KOCHA mpya wa Simba, Mwingereza, Dylan Kerr. Hans Mloli,Dar es Salaam
KOCHA mpya wa Simba, Mwingereza, Dylan Kerr ambaye amesaini mkataba wa mwaka mmoja, tayari amemalizana na uongozi wa timu hiyo katika ishu ya malazi baada ya kukabidhiwa mjengo wa kisasa aliokuwa akiutumia kocha wa zamani wa timu hiyo, Msebia, Goran Kopunovic na leo anaanza kazi. Nyumba hiyo ipo Kunduchi Beach, Dar ambapo hapo awali alianza kuitumia kocha...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania