Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWANDISHI WA MAREKANI AKATWA KICHWA

Mwandishi wa habari wa Marekani aliyekatwa kichwa, James Wright Foley (kushoto), akiwa amevishwa kanzu maalum. Kabla ya kuuawa kwake, Foley, aliwataka marafiki, wanafamilia wake na wapenzi wake wote kupambana na “wauaji wangu wa kweli” ambao ni serikali ya Marekani.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Muingereza mwengine akatwa kichwa

Kundi la wanamgambo wa kiislamu la Islamic state limetoa ukanda wa video unaoonyesha mateka Alan Henning akikatwa kichwa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mateka mwengine akatwa kichwa na IS

Uingereza inachukua hatua ili kubaini ukweli wa kanda ya video inayoonyesha mateka wa taifa hilo David Haines akikatwa kichwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Akatwa kichwa mapigano ya wakulima, wafugaji

Mapigano baina ya wakulima na wafugaji wilayani Kiteto Mkoa wa Manyara yameibuka tena na kusababisha mtu mmoja kuuawa kwa kukatwa kichwa katika Kijiji cha Kondevesi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia wa Marekani akatwa shingo na IS

Kand ya video inaonyesha mauaji ya mtu kwa utoa huduma za misaada raia wa Marekani Abdul Rahman Kassig

 

9 years ago

BBCSwahili

Watoto kuzuiwa mipira ya kichwa Marekani

Shirikisho la Soka Marekani limetangaza mpango wa kupiga marufuku watoto wa chini ya umri wa miaka 10 kupiga mpira kwa kichwa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yalaani mauaji ya mwandishi

Rais Barack Obama wa Marekani amesema mauaji ya mwandishi wa habari James Foley yameishtua dunia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Osama:Mwandishi akanusha madai ya Marekani

Mwaandishi mmoja amekanusha madai ya utawala wa Rais Obama kuhusiana na kuuawa Osama Bin Laden

 

9 years ago

Bongo Movies

Wastara Akatwa Mguu!

Gabriel Ng’osha Inauma sana! Hatimaye maumivu makali yamempata staa wa Bongo Movies, Wastara Juma kwa zaidi ya saa 24 baada ya kufanyiwa upasuaji mwingine wa kukatwa tena mguu kufuatia uvimbe uliojitokeza kwenye mguu wake wa bandia uliomnyima raha kwa muda mrefu.

TUJIUNGE NA CHANZO JIJINI NAIROBI

Kwa mujibu wa chanzo chetu makini kilichoambatana na mwigizaji huyo jijini Nairobi, Kenya katika matibabu, staa huyo alifikia hatua ya kwenda hospitali baada ya kuzidiwa na maumivu makali...

 

10 years ago

GPL

MWALIMU AVAMIWA, AKATWA KOROMEO!

Makongoro Oging’ na Issa Mnally UKATILI! Mwalimu Nelson Andrew (23), amevamiwa na watu wanaodaiwa kuwa ni vibaka na kumkata kwa kisu koromeo katika jaribio la kumtaka awape fedha la sivyo wangemuua. Mwalimu Nelson Andrew akiwa na jeraha shingoni baada ya kujeruhiwa. Akizungumza na Uwazi hivi karibuni, kaka wa mwalimu huyo, Andes Enock alisema tukio hilo lilijiri saa nane mchana wa Septemba 10, mwaka huu, wakati yeye na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani