Watoto kuzuiwa mipira ya kichwa Marekani
Shirikisho la Soka Marekani limetangaza mpango wa kupiga marufuku watoto wa chini ya umri wa miaka 10 kupiga mpira kwa kichwa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_AimqVcz5hE/Vobhx7c-JLI/AAAAAAAIP08/1RWdns8p_Lg/s72-c/4f1928bd-440a-4f85-a1ef-25724e9bd413.jpg)
Kandanda Day 2015 yafungua mwaka kwa kukabidhi vitabu na mipira katika kituo cha watoto.
Baada ya kufanikisha kwa Tamasha la siku ya Kandanda hapo Oktoba 17 mwaka jana, Tamasha lililobeba Ujumbe wa "#OneBallOnTxt Book" ikiwa ni Dhima kamili ya kunyanyua Mchezo wa mpira wa miguu kuanzia ngazi ya shule ya msingi na kuwasisitizia watoto wetu umuhimu wa kusoma pia, Timu nzima ya Wanakandanda imeonelea Kuufungua Mwaka 2016 kwa kwenda kutembelea Kituo cha kulelea watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu na kukabidhi Mchango wao ambao ulitokana na mauzo ya fulana za Tamasha la Siku ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-tRXgGHTUdNWPxM3PKZq0FhnFAVl68cBeQ4vjIzWMHApBg*T5AzdGg4nxyyNMb3xtjfOBkJ3X0h44GGvyvWpTR38QKiDzz-E/KACHINJWA2.jpg?width=650)
MWANDISHI WA MAREKANI AKATWA KICHWA
Mwandishi wa habari wa Marekani aliyekatwa kichwa, James Wright Foley (kushoto), akiwa amevishwa kanzu maalum. Kabla ya kuuawa kwake, Foley, aliwataka marafiki, wanafamilia wake na wapenzi wake wote kupambana na “wauaji wangu wa kweli†ambao ni serikali ya Marekani.…
10 years ago
VijimamboHUDUMA YA UPASUAJI WA WATOTO WENYE UGONJWA WA KICHWA KUJAA MAJI NA MGONGO WAZI YAZINDULIWA RASMI KATIKA HOSPITARI YA RUFAA YA MKOA WA KAGERA
Na Faustine Ruta, Bukoba
Shirika lisilokuwa la serikali la Friends of Children with Cancer Tanzania (FOCC TZ) lazindua rasmi huduma ya upasuaji wa watoto wenye ugonjwa wa vichwa kujaa maji na mgongo wazi mkoani Kagera katika Hospitali ya Rufaa ya mkoa ambapo jumla ya watoto arobaini wenye tatizo hilo wanatajiwa kufanyiwa upasuaji kuanzia Julai 25-26, 2015. Mkurugenzi wa shirika la FOCCTZ Bw. Walter Miya katika uzinduzi huo alisema kuwa baada ya kutoa matangazo kupitia redio za jamii mkoani...
10 years ago
GPLDC KINONDONI AKABIDHI MIPIRA NA JEZI
Makonda akizungumza jambo. Wachezaji wa timu mbalimbali za Wilaya ya Kinondoni wakimsikiliza Makonda (pichani hayupo). Msanii wa muziki wa injili, Stara Thomas akizumgumza jambo kwenye hafla…
9 years ago
BBCSwahili20 Aug
Watoto Albino wapatiwa viungo marekani
Watoto watano wa Tanzania wenye ulemavu wa Ngozi waliokuwa wamekatwa viungo vya miili yao wamewekewa mikono na miguu ya bandia
10 years ago
BBCSwahili02 Oct
Ebola:Hofu kwa watoto Marekani
Watoto 5 katika jimbo la Texas waliokutana na mwanamume anayeugua Ebola nchini humo, wanachunguzwa kubaini ikiwa wana dalili zozote za ugonjwa huo
10 years ago
BBCSwahili10 Sep
Baba aua watoto watano-Marekani
Mwanamume mmoja raia wa Marekani anashukiwa kuwaua watoto wake watano na kuwatupa katika jimbo jingine.
10 years ago
BBCSwahili21 Apr
Mama aliyeua Watoto Marekani ahukumiwa
Mwanamke aliyekiri kuua Watoto wake sita ahukumiwa kifungo gerezani
10 years ago
BBCSwahili14 Feb
Mipira mikubwa ya kondomu yalaumiwa Thai
Vijana huchagua mipira mikubwa ikilinganishwa na vipimo vyao huku wakiogopa kwamba watafanyiwa masikhara kwa kuwa wadogo''.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania