Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watoto kuzuiwa mipira ya kichwa Marekani

Shirikisho la Soka Marekani limetangaza mpango wa kupiga marufuku watoto wa chini ya umri wa miaka 10 kupiga mpira kwa kichwa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

Kandanda Day 2015 yafungua mwaka kwa kukabidhi vitabu na mipira katika kituo cha watoto.

Baada ya kufanikisha kwa Tamasha la siku ya Kandanda hapo Oktoba 17 mwaka jana, Tamasha lililobeba Ujumbe wa "#OneBallOnTxt Book" ikiwa ni Dhima kamili ya kunyanyua Mchezo wa mpira wa miguu kuanzia ngazi ya shule ya msingi na kuwasisitizia watoto wetu umuhimu wa kusoma pia, Timu nzima ya Wanakandanda imeonelea Kuufungua Mwaka 2016 kwa kwenda kutembelea Kituo cha kulelea watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu na kukabidhi Mchango wao ambao ulitokana na mauzo ya fulana za Tamasha la Siku ya...

 

10 years ago

GPL

MWANDISHI WA MAREKANI AKATWA KICHWA

Mwandishi wa habari wa Marekani aliyekatwa kichwa, James Wright Foley (kushoto), akiwa amevishwa kanzu maalum. Kabla ya kuuawa kwake, Foley, aliwataka marafiki, wanafamilia wake na wapenzi wake wote kupambana na “wauaji wangu wa kweli” ambao ni serikali ya Marekani.…

 

10 years ago

Vijimambo

HUDUMA YA UPASUAJI WA WATOTO WENYE UGONJWA WA KICHWA KUJAA MAJI NA MGONGO WAZI YAZINDULIWA RASMI KATIKA HOSPITARI YA RUFAA YA MKOA WA KAGERA


Na Faustine Ruta, Bukoba
Shirika lisilokuwa la serikali la Friends of Children with Cancer Tanzania (FOCC TZ) lazindua rasmi huduma ya upasuaji wa watoto wenye ugonjwa wa vichwa kujaa maji na mgongo wazi mkoani Kagera katika Hospitali ya Rufaa ya mkoa ambapo jumla ya watoto arobaini wenye tatizo hilo wanatajiwa kufanyiwa upasuaji kuanzia Julai 25-26, 2015. Mkurugenzi wa shirika la FOCCTZ Bw. Walter Miya katika uzinduzi huo alisema kuwa baada ya kutoa matangazo kupitia redio za jamii mkoani...

 

10 years ago

GPL

DC KINONDONI AKABIDHI MIPIRA NA JEZI

Makonda akizungumza jambo. Wachezaji wa timu mbalimbali za Wilaya ya Kinondoni wakimsikiliza Makonda (pichani hayupo). Msanii wa muziki wa injili, Stara Thomas akizumgumza jambo kwenye hafla…

 

9 years ago

BBCSwahili

Watoto Albino wapatiwa viungo marekani

Watoto watano wa Tanzania wenye ulemavu wa Ngozi waliokuwa wamekatwa viungo vya miili yao wamewekewa mikono na miguu ya bandia

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Hofu kwa watoto Marekani

Watoto 5 katika jimbo la Texas waliokutana na mwanamume anayeugua Ebola nchini humo, wanachunguzwa kubaini ikiwa wana dalili zozote za ugonjwa huo

 

10 years ago

BBCSwahili

Baba aua watoto watano-Marekani

Mwanamume mmoja raia wa Marekani anashukiwa kuwaua watoto wake watano na kuwatupa katika jimbo jingine.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mama aliyeua Watoto Marekani ahukumiwa

Mwanamke aliyekiri kuua Watoto wake sita ahukumiwa kifungo gerezani

 

10 years ago

BBCSwahili

Mipira mikubwa ya kondomu yalaumiwa Thai

Vijana huchagua mipira mikubwa ikilinganishwa na vipimo vyao huku wakiogopa kwamba watafanyiwa masikhara kwa kuwa wadogo''.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani