Mama aliyeua Watoto Marekani ahukumiwa
Mwanamke aliyekiri kuua Watoto wake sita ahukumiwa kifungo gerezani
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo15 Mar
Aliyeua akidaiwa magunia ya mpunga ahukumiwa kunyongwa
MAHAKAMA Kuu ya Tanzania Kanda ya Sumbawanga imemhukumu Malambi Lukwaja (47) mkazi wa Kijiji cha Igalula Tarafa ya Kabungu Wilaya ya Mpanda Mkoa wa Katavi kunyongwa hadi kufa, baada ya kupatikana na hatia ya kuua kwa kukusudia.
10 years ago
Habarileo20 Nov
Polisi aliyeua mwanafunzi chuo kikuu ahukumiwa kifo
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Mbeya imemhukumu kunyongwa hadi kufa polisi wa upelelezi, Maduhu, F 5842, aliyekuwa akikabiliwa na shitaka la mauaji ya mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Teofilo Kisanji (TEKU), Daniel Mwakyusa.
10 years ago
Vijimambo![](http://lh4.ggpht.com/-kGDUL18b9nU/VG8AsRSToAI/AAAAAAAAflI/rkhyqwDx-Sk/s72-c/1.jpg)
Polisi aliyeua mwanafunzi wa Chuo Kikuu jijini Mbeya ahukumiwa kifo
![](http://lh4.ggpht.com/-kGDUL18b9nU/VG8AsRSToAI/AAAAAAAAflI/rkhyqwDx-Sk/s640/1.jpg)
Hukumu hiyo ya kesi namba 16 ya mwaka 2013, ilitolewa jana mjini hapa na Jaji Rose Temba,...
5 years ago
Bongo514 Feb
Marekani: Kijana aliyeua na kupost video ‘Live’ ajiua
Polisi nchini Marekani wamesema mtu ambaye alifanya mauaji kisha kutuma videi ya mauaji hayo ‘Live’ katika mtandao wa Facebook amejiua mwenyewe.
Habari zinasema Steve Stephens alijiua wakati maafisa wa polisi walipolikaribia Gari lake, walipokuwa wakimkimbiza takribani kilomita 150 kutoka Cleveland, Ohio, ambapo ndilo eneo la mauaji yaliyofanyika jumapili.
Picha za video za babu akipigwa risasi zilienea kwenye mitandao ya kijamii kwa saa mbili kabla ya kuondolewa.
Mwanzilishi wa mtandao...
11 years ago
BBCSwahili14 Jan
Daktari aliyeiba watoto ahukumiwa China
10 years ago
BBCSwahili17 Mar
Mama wa miaka 100 ahukumiwa jela Kenya
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-zfnGC_Ys5QE/VJKOzm8CeBI/AAAAAAADSHs/FLkDKEMKsz4/s72-c/Watoto%2B1.jpg)
MTANZANIA CHARLES MIHAYO ALIYEUWA WATOTO WAKE AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MAISHA
![](http://2.bp.blogspot.com/-zfnGC_Ys5QE/VJKOzm8CeBI/AAAAAAADSHs/FLkDKEMKsz4/s1600/Watoto%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-S43M6Be2jRY/VJKOztu8byI/AAAAAAADSHo/IQGoBwV5syg/s1600/watoto.jpg)
A Melbourne man who murdered his two young daughters by smothering them with a pillow has been sentenced to life in jail.
Charles Mihayo, 36, smothered his daughters Savannah, 4, and Indianna, 3, at his unit at Watsonia in April.
He pleaded guilty to the killings in August and was today sentenced in the Supreme Court to a minimum of 31 years in...
10 years ago
Michuzi19 Dec
11 years ago
Michuzi26 Apr
MAMA ALIYEZAA WATOTO WANNE APELEKWA KATIKA KITUO MAALUMU NA WATOTO WAKE WAWILI WALIOBAKI KWA AJILI YA UANGALIZI.