Polisi aliyeua mwanafunzi chuo kikuu ahukumiwa kifo
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Mbeya imemhukumu kunyongwa hadi kufa polisi wa upelelezi, Maduhu, F 5842, aliyekuwa akikabiliwa na shitaka la mauaji ya mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Teofilo Kisanji (TEKU), Daniel Mwakyusa.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://lh4.ggpht.com/-kGDUL18b9nU/VG8AsRSToAI/AAAAAAAAflI/rkhyqwDx-Sk/s72-c/1.jpg)
Polisi aliyeua mwanafunzi wa Chuo Kikuu jijini Mbeya ahukumiwa kifo
![](http://lh4.ggpht.com/-kGDUL18b9nU/VG8AsRSToAI/AAAAAAAAflI/rkhyqwDx-Sk/s640/1.jpg)
Hukumu hiyo ya kesi namba 16 ya mwaka 2013, ilitolewa jana mjini hapa na Jaji Rose Temba,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2qI9QjpEOxxNnUlgEoqfpznBfK14AOMOJyIYF3pFsicEaAiPsYzqI6VUbV95JfMEmOwnASi1zggWZ3GCdREamlWwL*JdNshF/MWANACHUOALIYECHOMWAMOTO.2..jpg)
MWANAFUNZI CHUO KIKUU ACHOMWA MOTO
Daniel Anael Lema, aliyekuwa mwanafunzi wa mwaka wa nne wa shahada ya sheria katika Chuo Kikuu Kishiriki cha Mt. Augustino, Tawi la Iringa (Ruaha University College - RUCO) enzi za uhai wake. Muonekano wa marehemu,…
9 years ago
BBCSwahili13 Oct
Chuo kikuu chafungwa baada ya mwanafunzi kufariki Kenya
Chuo kikuu cha Maseno, magharibi mwa Kenya kimefungwa baada ya mwanafunzi kufariki kufuatia makabiliano kati ya wanafunzi na polisi.
10 years ago
Mwananchi02 Jun
Mwanafunzi Chuo Kikuu Mzumbe atangaza nia kuwania urais CCM
>Hamasa ya wanaCCM kutangaza nia ya kuwania urais imemwibua mwanafunzi Shahada ya Uzamili ya Utawala wa Umma katika Chuo Kikuu cha Mzumbe, Maliki Malupu (34).
11 years ago
Mwananchi09 Aug
BIASHARA CHAFU: Mwanafunzi chuo kikuu alazimishwa kurekodi picha za ngono
>Kweli dunia ina mambo! Kuna watu wanajaribu kutumia kila fursa inayopatikana kujinufaisha kwa kupata fedha hata ziwe ‘chafu’, kwao kitu cha maana ni kupata utajiri kwanza.
11 years ago
Bongo509 Aug
Fundisho: Mwanafunzi wa chuo kikuu alazimishwa kurekodi picha za ngono, baada ya kudanganywa angetafutiwa kazi Ulaya
Kweli dunia ina mambo! Kuna watu wanajaribu kutumia kila fursa inayopatikana kujinufaisha kwa kupata fedha hata ziwe ‘chafu’, kwao kitu cha maana ni kupata utajiri kwanza. Sunday Bekunda Kundi la watu wanaofanya biashara ya kusafirisha watu, wamekuwa wakitumia fursa ya ukosefu wa ajira kama chambo cha kuwanasa vijana na kuwaingiza kwenye biashara haramu kama ukahaba. […]
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3QWN5yhdbadgzhRES*vGoqqyjs*MgmuvQH2MEi9lxhWdBldIdBWJykln4GcnJpoPbStO2r5fdNp1UMAqZ3Yis-KmX*VJrmW4/denti.jpg)
UKWELI KIFO CHA DENTI CHUO KIKUU
Stori: Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa
HATIMAYE familia ya denti wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, marehemu Sekabenga Pius Mwakimenya (21) kilichotokea hivi karibuni na kugubikwa na utata, imeanika ukweli kuhusiana na tukio hilo. Marehemu Sekabenga Pius Mwakimenya enzi za uhai wake. Akizungumza na Uwazi, mwishoni mwa wiki iliyopita katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, baba mdogo wa marehemu aliyejitambulisha kwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/26rh2i2B5MblVFMJKkmKMcmSyeGBNryDrtHQQ9Rq7PZTO5pihwLl5g4CVlagW3qQa9ph5Kt*BkAvvIhEfVL-gnxqeIFSNnMy/IMG20140923WA0003.jpg)
CHUO KIKUU KISHIRIKI CHA USHIRIKA NA BIASHARA MOSHI (MUCCOBS) CHAWA CHUO KIKUU KAMILI
Baadhi ya wahadhiri wa MoCU (MOSHI CO-OPETATIVE UNIVERSITY) wakiwa kwenye picha ya pamoja.. Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine (SUA), Mhe. Philemon Luhanjo (wa nne kulia waliokaa ) akiwa katika picha ya wajumbe wa bodi na wahadhiri wa chuo hicho. CHUO Kikuu Kishiriki cha Ushirika na Biashara Moshi (MUCCOBS), kimekuwa chuo kikuu rasmi ambapo kwa sasa kitaitwa Chuo Kikuu Cha Ushirika Moshi (MoCU). Taarifa hiyo...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-giPeU1UMfdo/VDkyqUdscCI/AAAAAAAGpL4/QLYLeHIrSKo/s72-c/pinda%2Bmizengo.jpg)
WAZIRI MKUU AKAGUA CHUO KIKUU DAR NA CHUO KIKUU HURIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-giPeU1UMfdo/VDkyqUdscCI/AAAAAAAGpL4/QLYLeHIrSKo/s1600/pinda%2Bmizengo.jpg)
Ametoa kauli hiyo jana usiku (Ijumaa, Oktoba 10, 2014) wakati akizungumza na wahadhiri, wakufunzi, wanafunzi na wanajumuiya ya Chuo Kikuu Huria (OUT) mara baada ya kuzindua jengo la ghorofa 10 linalojulikana kama Ghorofa la Elimu ya Masafa ya Huria (Open Distance...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania