Baba aua watoto watano-Marekani
Mwanamume mmoja raia wa Marekani anashukiwa kuwaua watoto wake watano na kuwatupa katika jimbo jingine.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo20 Mar
Baba aua mwanawe chekechea
MTOTO mwenye umri wa miaka saba, mjini Tunduma wilayani Momba, ameuawa kwa kushambuliwa kwa kipigo na baba yake mzazi akimtuhumu kwa uzururaji.
9 years ago
Mwananchi05 Jan
Simba aua baba, mtoto
11 years ago
Tanzania Daima21 Mar
Baba aua mtoto kwa fimbo
WATU watatu wamefariki dunia katika matukio tofauti mkoani hapa likiwemo la mtoto Irene Mbembela (7), mkazi wa Sogea-Tunduma, wilayani Momba, kuuawa kwa kupigwa fimbo na baba yake mzazi. Irene ambaye...
11 years ago
Mwananchi29 Apr
Baba aua mtoto kwa makonde
11 years ago
Tanzania Daima28 Apr
Baba Mbeya aua mwanae kwa ngumi
MKAZI wa Kijiji cha Isisi, wilayani Mbarali, Patrick Njolo, anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumuua mwanae kwa kumpiga ngumi. Kamanda wa Polisi mkoani Mbeya, Ahmed Msangi, alisema jana kuwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ETTd9*7yfBACeDn4rgZxVbm31zbuzj3xnc-Nr8lCi2yNYt0thw8gc-KGQBM2*yWUmUaSZ50g*US4fXHnPyu7xaIAJvR6wNwg/mbwa.jpg)
MBWA AUA WATOTO 2 NDUGU
10 years ago
BBCSwahili08 Apr
Polisi mwingine aua mtu mweusi, Marekani
10 years ago
Mtanzania27 Jan
Mama aua watoto wake, awafukia ndani ya nyumba
NA THOMAS MURUGWA, TABORA
JESHI la Polisi linawashikilia watu wawili wakazi wa Manispaa ya Tabora kwa tuhuma za kuwanyonga watoto wawili hadi kufa, kisha kuwafukia ndani ya nyumba waliyokuwa wanaishi.
Tukio hilo la kusikitisha linadaiwa kufanyika juzi saa moja jioni katika eneo la Chechem Manispaa ya Tabora walikokuwa wakiishi watuhumiwa wa mauaji hayo.
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Juma Bwire, amethibitisha jana kutokea kwa mauaji hayo ya kikatili na kuwataja watuhumiwa kuwa ni...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/E2q56SVxnZdiHm1MHhcwO1lNLjmnC6rWQPJ9vCxY0uliQrIaFDYSxLPzKi9rw*eVhhMvDp52TafYGd0U-5CEtf7FpPLC1GnP/11.jpg)
MUME KANITELEKEZA NA WATOTO WATANO