MWALIMU AVAMIWA, AKATWA KOROMEO!
![](http://api.ning.com:80/files/aMLkUWs6eSPNXr46SR2*S2rfYS9IcdOMPr7qMyetlz2yFGEqoY-nJe5W6a-UNZWmAEFNHe7qUPKpNUtRRy5mcjc2EiqVA7En/Teacher.jpg?width=650)
Makongoro Oging’ na Issa Mnally UKATILI! Mwalimu Nelson Andrew (23), amevamiwa na watu wanaodaiwa kuwa ni vibaka na kumkata kwa kisu koromeo katika jaribio la kumtaka awape fedha la sivyo wangemuua. Mwalimu Nelson Andrew akiwa na jeraha shingoni baada ya kujeruhiwa. Akizungumza na Uwazi hivi karibuni, kaka wa mwalimu huyo, Andes Enock alisema tukio hilo lilijiri saa nane mchana wa Septemba 10, mwaka huu, wakati yeye na...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo01 Jul
Aua mpenzi wake, ajikata koromeo
MKAZI wa Mtaa wa Majengo ‘B’ mjini hapa, Cesilia Clement (22) ameuawa kikatili kwa kuchomwa kisu mwilini na mpenzi wake, aliyemtuhumu kutomjali baada ya kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mwanamume mwingine. Mtuhumiwa aliyefahamika kwa jina moja la Kanu, ambaye ni mkazi wa Kigoma naye amejijeruhi vibaya kwa kujikata koromeo, alipojaribu kujichinja baada ya kubaini kuwa amemuua mpenzi wake Cecilia.
10 years ago
Michuzi12 Apr
msaada tutani: mwalimu wa kiswahili sweden anatafuta mwalimu mwenzie kubadilishana nondo
Kwa mawasiliano nitumie email.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rYXJV*jyRSnlhcMAazDwioQ1kEuznQoz*Q1W9F588hnznDI2KXIUttU135wwCYXYfyKBa6IsQbjKHkNfpHDQdFOzlmPBnECt/lulu1.jpg?width=650)
LULU AVAMIWA
9 years ago
Bongo Movies18 Aug
Lulu Avamiwa
BAD news! Mtoto mzuri Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amekumbwa na masaibu mapya ya kuvamiwa na vibaka nyumbani kwake, Mbezi Beach jijini Dar na kumuibia simu zake mbili aina ya Iphone.
Tukio hilo lilitokea hivi karibuni ambapo wezi hao wanadaiwa kuruka ukuta na kufanikiwa kuvunja dirisha la chumba anacholala mrembo huyo na kumliza simu hizo huku yeye akiwa amelala fofofo.
Kwa mujibu wa chanzo makini, wezi hao walitumia mbinu za ‘kisayansi’ kutekeleza zoezi lao kwani siku hiyo Lulu...
11 years ago
Michuzi10 Jul
Mwalimu Dodoma matatani kwa tuhuma za kuua mwalimu mwenzake kisa deni la buku moja
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8W5ARlmXvRmkiNyONmKW6b8GJXPfuWsHT2UPvgV2OmQsf92vBYrWl2lYy9hJm8nAqfk8zwAk1bdUivUq*BxO1X9VUQg7BbdC/FLORA.jpg)
FLORA MBASHA AVAMIWA
11 years ago
Mwananchi23 Jul
Mwalimu adaiwa kumuua mwalimu mwenzake Kagera
11 years ago
Tanzania Daima14 Mar
Wakili anayemtetea mwanahabari avamiwa
WAKILI, Karoli Mluge, anayemtetea mwandishi wa habari, Edith Majura, katika kesi ya kudai makazi yake kwa wasimamizi wa mirathi ya baba mzazi wa watoto wake wawili, marehemu Samweli Komba, amevamiwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LzTY94yzCcJaM*t*-SMxzpjp*8G-5HLr6VDCcofHiMyi2wtno7ibUtz0*vx2Q6CSN8T3I37CKbp2O0pUmSqZOsRTTbrsjXFi/12.jpg?width=650)
Ngassa avamiwa na mashabiki Arusha