Lisu, Muingereza wakubali kuombea uchaguzi
MWIMBAJI nyota wa muziki wa Injili mwenye maskani yake Uingereza, Ifeanyi Kelechi anatarajia kuiwakilisha Uingereza katika Tamasha la kuombea amani Tanzania linalotarajia kufanyika Oktoba 4, kwenye Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Mocy9B2VUhg/VdWBWWKjJYI/AAAAAAAC9wI/a72y0CQQOBw/s72-c/_MG_5123.jpg)
Mikoa 10 kuombea uchaguzi Mkuu
![](http://4.bp.blogspot.com/-Mocy9B2VUhg/VdWBWWKjJYI/AAAAAAAC9wI/a72y0CQQOBw/s640/_MG_5123.jpg)
Msama alisema awali kabla ya mikoa hiyo kuombea amani uchaguzi Mkuu, Tamasha la kwanza lenye dhamira hiyo litafanyika Oktoba 4 jijini Dar es Salaam.
“Tumeona kuna umuhimu...
9 years ago
Habarileo17 Sep
Mufti, mahujaji kuombea uchaguzi mkuu
MUFTI wa Tanzania, Shehe Abubakary Zuberi Ally amesema ataongoza mahujaji wa Tanzania, kuombea uchaguzi mkuu nchini uwe wa amani, atakapofika kwenye mji mtakatifu wa Makka. Mufti alisema hayo kabla ya kwenda kuhiji Makka.
9 years ago
Habarileo25 Oct
Waswali kuombea dua uchaguzi mkuu
IKIWA leo ni siku ya Uchaguzi Mkuu wa Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Rais wa Zanzibar, wabunge, wawakilishi na madiwani, wananchi wa mikoa miwili ya Pemba, Kusini na Kaskazini wameswali pamoja kuombea dua uchaguzi mkuu unaofanyika leo uwe wa amani.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Yya6RYgSo0A/VfMDDhalPjI/AAAAAAAC-5g/ge_Ym4rs7vg/s72-c/Alex-Msama-640x458.jpg)
Kwaya tatu kuombea amani uchaguzi Mkuu
![](http://1.bp.blogspot.com/-Yya6RYgSo0A/VfMDDhalPjI/AAAAAAAC-5g/ge_Ym4rs7vg/s320/Alex-Msama-640x458.jpg)
Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama pamoja na kwaya hizo maombi hayo ya amani yatashirikisha waimbaji wengine wa Tanzania na nje.Msama alizitaja kwaya hizo ni pamoja na Kwaya ya Uinjilisti ya Kijitonyama jijini Dar es Salaam, Kwaya ya Mtakatifu Andrew Anglican ya Dodoma...
9 years ago
StarTV28 Sep
Ibada ya kuombea uchaguzi yafanyika mkoani Iringa
Viongozi wa Juu wa Mkoa wa Iringa wakiongozwa na Mkuu wa Mkoa huo Amina Masenza wameshiriki Ibada maalum ya kuombea Taifa amani kabla na baada ya uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, mwaka huu.
Ibada hiyo maalum imefanyika Jumamosi hii mjini Iringa katika Kanisa Kuu la Sloam njia ya Kusini na kuhudhuriwa na mamia ya waumini wa Kanisa hilo.
Mkuu wa Mkoa, Katibu Tawala na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa walinyanyua bendera na ramani ya Taifa wakati wa...
10 years ago
Habarileo10 Jul
Maalim ataka wazee kuombea amani uchaguzi mkuu
MAKAMU wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad amewataka wazee wa jimbo la Mtambwe Daya Pemba kuliombea dua taifa wakati likielekea katika uchaguzi mkuu ili kuwepo na amani na utulivu wa kutosha.
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/120.jpg)
DC MAKONDA AONGOZA MATEMBEZI YA KUOMBEA AMANI KUELEKEA UCHAGUZI
9 years ago
VijimamboSARAH K KUPAMBA TAMASHA LA KUOMBEA AMANI UCHAGUZI MKUU TANZANIA
9 years ago
Michuzi28 Aug
UPENDO NKONE ACHOMOZA TAMASHA LA KUOMBEA AMANI KATIKA UCHAGUZI MKUU
![indexG](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/indexG.jpg)