Muingereza aliyepona Ebola kurejea Afrika
Mwanaume wa kwanza Muingereza kuambukizwa Ebola, akiwa Afrika anatarajiwa kurejea Afrika ambako aliambukizwa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili08 Aug
Aliyepona Ebola akimbiwa na kutengwa
Baadhi ya walioambukizwa ugonjwa wa ebola wamepona lakini pamoja na kupona bado haiwafanyi kukwepa kunyanyapaliwa.
10 years ago
BBCSwahili24 Aug
Raia muingereza aambukizwa Ebola
Raia mmoja wa Uingereza anayeishi nchini Sierra leone ameambukizwa virusi vya ugonjwa wa Ebola.
10 years ago
BBCSwahili24 Aug
Muingereza mwenye Ebola arejeshwa kwao
Muingereza aliyekuwa katika huduma za utibabu nchini Sierra Laone apata ebola na atarajiwa kutibiwa kwao
11 years ago
BBCSwahili25 Jun
70,000 kurejea kazini Afrika Kusini
Maelfu ya wafanyakazi katika machimbo ya dhahabu nyeupe nchini Afrika Kusini wanatarajiwa kazini hii leo Jumatano baada ya mgomo.
10 years ago
Mwananchi20 Apr
VURUGU AFRIKA KUSINI: Membe adai hakuna mtanzania aliyeuawa, 21 kurejea nchini
Watanzania 23 waishio Afrika Kusini wamewekwa kwenye kambi maalumu ya Isipingo nchini humo ili kupewa ulinzi wa maisha yao yaliyo hatarini kufuatia mashambulizi yanayofanywa na wazawa dhidi ya wageni.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-19pDQzx8Aww/XtvJ_5UNMFI/AAAAAAALs0Q/hwNoZcwF7O0qE4ZlQc8e_zryVOoopcmCwCLcBGAsYHQ/s72-c/s6.jpg)
KUNDI LA PILI LA WATANZANIA WALIOKWAMA AFRIKA KUSINI LINATARAJIWA KUREJEA NYUMBANI MAPEMA WIKI IJAYO
Na Mwandishi wetu, Pretoria
Kundi la pili la Watanzania waliokwama nchini Afrika Kusini kutokana na Lockdown nchini humo iliyosababishwa na ugonjwa wa Corona linatarajia kurejeshwa nchini mwanzoni mwa wiki ijayo mara tu baada ya taratibu za safari hiyo kukamilika, imefahamika.
Kwa mujibu wa ubalozi wa Tanzania nchini humo, jumla ya Watanzania 63 wamekuwa katika harakati za kutaka kurejea nyumbani lakini wamekwama kutokana na changamoto mbalimbali ikiwemo kuchelewa kwa vibali vya kusafiri nje...
Kundi la pili la Watanzania waliokwama nchini Afrika Kusini kutokana na Lockdown nchini humo iliyosababishwa na ugonjwa wa Corona linatarajia kurejeshwa nchini mwanzoni mwa wiki ijayo mara tu baada ya taratibu za safari hiyo kukamilika, imefahamika.
Kwa mujibu wa ubalozi wa Tanzania nchini humo, jumla ya Watanzania 63 wamekuwa katika harakati za kutaka kurejea nyumbani lakini wamekwama kutokana na changamoto mbalimbali ikiwemo kuchelewa kwa vibali vya kusafiri nje...
5 years ago
BBCSwahili04 Mar
Mwanamke aliyepona corona azungumza
Huku virusi vipya vya corona vikiendlea kusambaa kote duniani na kuchukua maisha ya watu, pia kuna maelfu ya watu ambao wameweza kupona.
10 years ago
BBCSwahili04 Oct
Muingereza mwengine akatwa kichwa
Kundi la wanamgambo wa kiislamu la Islamic state limetoa ukanda wa video unaoonyesha mateka Alan Henning akikatwa kichwa.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cFSv-yJm2DShn*74bCcr9-xX*dOF1LBggaUwSfO1yb*E8jOJ8v3uCY0x1sJUthACiIdb6VZDPQYC4cjTDqXgKA-oikfLyp7K/1.gif?width=650)
Muingereza wa Simba kuanza kazi leo
KOCHA mpya wa Simba, Mwingereza, Dylan Kerr. Hans Mloli,Dar es Salaam
KOCHA mpya wa Simba, Mwingereza, Dylan Kerr ambaye amesaini mkataba wa mwaka mmoja, tayari amemalizana na uongozi wa timu hiyo katika ishu ya malazi baada ya kukabidhiwa mjengo wa kisasa aliokuwa akiutumia kocha wa zamani wa timu hiyo, Msebia, Goran Kopunovic na leo anaanza kazi. Nyumba hiyo ipo Kunduchi Beach, Dar ambapo hapo awali alianza kuitumia kocha...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania