Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Muingereza aliyepona Ebola kurejea Afrika

Mwanaume wa kwanza Muingereza kuambukizwa Ebola, akiwa Afrika anatarajiwa kurejea Afrika ambako aliambukizwa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Aliyepona Ebola akimbiwa na kutengwa

Baadhi ya walioambukizwa ugonjwa wa ebola wamepona lakini pamoja na kupona bado haiwafanyi kukwepa kunyanyapaliwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia muingereza aambukizwa Ebola

Raia mmoja wa Uingereza anayeishi nchini Sierra leone ameambukizwa virusi vya ugonjwa wa Ebola.

 

10 years ago

BBCSwahili

Muingereza mwenye Ebola arejeshwa kwao

Muingereza aliyekuwa katika huduma za utibabu nchini Sierra Laone apata ebola na atarajiwa kutibiwa kwao

 

11 years ago

BBCSwahili

70,000 kurejea kazini Afrika Kusini

Maelfu ya wafanyakazi katika machimbo ya dhahabu nyeupe nchini Afrika Kusini wanatarajiwa kazini hii leo Jumatano baada ya mgomo.

 

10 years ago

Mwananchi

VURUGU AFRIKA KUSINI: Membe adai hakuna mtanzania aliyeuawa, 21 kurejea nchini

Watanzania 23 waishio Afrika Kusini wamewekwa kwenye kambi maalumu ya Isipingo nchini humo ili kupewa ulinzi wa maisha yao yaliyo hatarini kufuatia mashambulizi yanayofanywa na wazawa dhidi ya wageni.

 

5 years ago

Michuzi

KUNDI LA PILI LA WATANZANIA WALIOKWAMA AFRIKA KUSINI LINATARAJIWA KUREJEA NYUMBANI MAPEMA WIKI IJAYO

Na Mwandishi wetu, Pretoria


Kundi la pili la Watanzania waliokwama nchini Afrika Kusini kutokana na Lockdown nchini humo iliyosababishwa na ugonjwa wa Corona linatarajia kurejeshwa nchini mwanzoni mwa wiki ijayo mara tu baada ya taratibu za safari hiyo kukamilika, imefahamika.


Kwa mujibu wa ubalozi wa Tanzania nchini humo, jumla ya Watanzania 63 wamekuwa katika harakati za kutaka kurejea nyumbani lakini wamekwama kutokana na changamoto mbalimbali ikiwemo kuchelewa kwa vibali vya kusafiri nje...

 

5 years ago

BBCSwahili

Mwanamke aliyepona corona azungumza

Huku virusi vipya vya corona vikiendlea kusambaa kote duniani na kuchukua maisha ya watu, pia kuna maelfu ya watu ambao wameweza kupona.

 

10 years ago

BBCSwahili

Muingereza mwengine akatwa kichwa

Kundi la wanamgambo wa kiislamu la Islamic state limetoa ukanda wa video unaoonyesha mateka Alan Henning akikatwa kichwa.

 

10 years ago

GPL

Muingereza wa Simba kuanza kazi leo

KOCHA mpya wa Simba, Mwingereza, Dylan Kerr. Hans Mloli,Dar es Salaam
KOCHA mpya wa Simba, Mwingereza, Dylan Kerr ambaye amesaini mkataba wa mwaka mmoja, tayari amemalizana na uongozi wa timu hiyo katika ishu ya malazi baada ya kukabidhiwa mjengo wa kisasa aliokuwa akiutumia kocha wa zamani wa timu hiyo, Msebia, Goran Kopunovic na leo anaanza kazi. Nyumba hiyo ipo Kunduchi Beach, Dar ambapo hapo awali alianza kuitumia kocha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani