Aliyepona Ebola akimbiwa na kutengwa
Baadhi ya walioambukizwa ugonjwa wa ebola wamepona lakini pamoja na kupona bado haiwafanyi kukwepa kunyanyapaliwa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili12 Sep
Muingereza aliyepona Ebola kurejea Afrika
Mwanaume wa kwanza Muingereza kuambukizwa Ebola, akiwa Afrika anatarajiwa kurejea Afrika ambako aliambukizwa.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Iiq-5qTP3-l7mJ*3qTfucW*Ol8Ba0BwoJU97GK2UZExfRtp0lS45UVyXQXE8f87XqM**6xSXw*fIAraVrypiSE*ZbVahEh*v/Mume.jpg)
AKIMBIWA NA MUME KWA KUZAA MLEMAVU
Stori: MAYASA MARIWATA
DUNIA HAINA HURUMA! Mwanamama mmoja aliyejitambulisha kwa jina la Sarah Lyimo, mkazi wa Buza Mwang’ati jijini Dar es Salaam amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya mumewe aitwaye Mohammedi kumkimbia baada ya kile alichodai kuwa na mtoto mwenye ulemavu. Sarah Lyimo akiwa na watoto wake. Akizungumza na mwandishi wetu wiki iliyopita kuelezea mkasa mzima wa kutelekezwa kwake, Sarah...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-SAzMBYS93Ko/XlPtVvumsWI/AAAAAAAEFuA/rcm23fwMeYE3XcMe6TAbJvNPOrajX7_jACLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
SUGU AKIMBIWA NA MADIWANI 11, DK BASHIRU AWAPOKEA KWA KISHINDO DODOMA
Charles James, Michuzi TV
WAMEKIMBIA! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya lundo la madiwani 11 wa Jiji la Mbeya wanaotokana na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kujivua uanachama wa chama hicho na kujiunga na Chama cha Mapinduzi (CCM).
Madiwani hao 11 wakiongozwa na Meya wa Jiji hilo, David Mwashilindi na Katibu wa Wilaya wa Chadema wametangaza kuhamia CCM leo jijini Dodoma na kupokelewa na Katibu Mkuu wa CCM Taifa, Dk Bashiru Ally.
Akizungumza baada ya kuwapokea kwenye ukumbi wa Jakaya...
WAMEKIMBIA! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya lundo la madiwani 11 wa Jiji la Mbeya wanaotokana na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kujivua uanachama wa chama hicho na kujiunga na Chama cha Mapinduzi (CCM).
Madiwani hao 11 wakiongozwa na Meya wa Jiji hilo, David Mwashilindi na Katibu wa Wilaya wa Chadema wametangaza kuhamia CCM leo jijini Dodoma na kupokelewa na Katibu Mkuu wa CCM Taifa, Dk Bashiru Ally.
Akizungumza baada ya kuwapokea kwenye ukumbi wa Jakaya...
5 years ago
BBCSwahili04 Mar
Mwanamke aliyepona corona azungumza
Huku virusi vipya vya corona vikiendlea kusambaa kote duniani na kuchukua maisha ya watu, pia kuna maelfu ya watu ambao wameweza kupona.
11 years ago
Mwananchi25 Mar
Wafugaji wadai kuanza kutengwa
Wajumbe wa Bunge la Katiba kutoka kundi la wafugaji, , wakulima na Wavuvi wameeleza kuanza kutengwa katika mijadala ya Katiba mpya kutokana na bunge kujikita katika masuala ya kisiasa.
10 years ago
Tanzania Daima21 Oct
Wazee wadai kutengwa kikatiba
WAWAKILISHI wa Mashirika yanayotetea wazee nchini (TSPN), wameililia serikali na viongozi wa dini kwamba wametengwa kwa kuwa rasimu iliyopendekezwa haijawazungumzia. Hayo yanatokana na ongezeko la vifo vya wazee vitokanavyo na...
11 years ago
Mwananchi21 Feb
Alat yalalamika kutengwa kwenye Rasimu ya Katiba Mpya
>Mwenyekiti wa Jumuiya ya Serikali za Mitaa (Alat) Taifa, Didas Masaburi ameitaka Serikali Kuu kutangaza kutokuzitambua Serikali za Mitaa endapo inaona kuwa hazina umuhimu.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_4VpB64T0rk/VkxWeOujQYI/AAAAAAAIGiQ/ixNGoCOrv84/s72-c/viwanda%252Bpicha.jpg)
Bilioni Mbili kutengwa kwa ajili ya kusaidia utafiti wa zao la Korosho
![](http://4.bp.blogspot.com/-_4VpB64T0rk/VkxWeOujQYI/AAAAAAAIGiQ/ixNGoCOrv84/s640/viwanda%252Bpicha.jpg)
Bodi ya Korosho Tanzania imeadhima kutoa asilimia 7 ya mapato yake sawa na shilingi bilioni mbili kwa ajili ya kusaidia utafiti wa zao hilo unaofanywa na kituo cha utafiti cha Naliendele.
Akiongea wakati wa kufunga kwa mkutano wa tatu wa kimataifa uliowahusisha wadau kutoka nchi mbalimbli duniani ,Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Korosho Tanzania Bw. Muhidhiri Muhidhiri amesema kuwa changamoto kubwa wanayokabiliana nayo ni ukosefu wa fedha kwa ajili ya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania