Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wazee wadai kutengwa kikatiba

WAWAKILISHI wa Mashirika yanayotetea wazee nchini (TSPN), wameililia serikali na viongozi wa dini kwamba wametengwa kwa kuwa rasimu iliyopendekezwa haijawazungumzia. Hayo yanatokana na ongezeko la vifo vya wazee vitokanavyo na...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wafugaji wadai kuanza kutengwa

Wajumbe wa Bunge la Katiba kutoka kundi la wafugaji, , wakulima na Wavuvi wameeleza kuanza kutengwa katika mijadala ya Katiba mpya kutokana na bunge kujikita katika masuala ya kisiasa.

 

11 years ago

Mwananchi

Wazee wa CCM wadai kupoteza imani na Kificho

Baraza la Wazee wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar, limesema limepoteza imani na Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Pandu Ameir Kificho kutokana na waraka aliouandika na kuwasilishwa kwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba kwa niaba ya Baraza la Wawakilishi ukipendekeza Tanganyika na Zanizbar ziwe mamlaka huru za dola.

 

11 years ago

BBCSwahili

Aliyepona Ebola akimbiwa na kutengwa

Baadhi ya walioambukizwa ugonjwa wa ebola wamepona lakini pamoja na kupona bado haiwafanyi kukwepa kunyanyapaliwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Alat yalalamika kutengwa kwenye Rasimu ya Katiba Mpya

>Mwenyekiti wa Jumuiya ya Serikali za Mitaa (Alat) Taifa, Didas Masaburi ameitaka Serikali Kuu kutangaza kutokuzitambua  Serikali za Mitaa endapo inaona kuwa hazina umuhimu.

 

10 years ago

Vijimambo

MATUKIO KATIKA PICHA YA MTANANGE WA WAZEE WA KUNDUCHI YANGA 0 NA WAZEE WA SAUZI SIMBA 0

Beki wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ (kulia), akiondosha mpira wa hatari katika eneo la langoni kwake huku mshambuliaji wa Simba, Elius Maguri (katikati) akijaribu kunyoosha guu ili kupiga mpira huo bila mafanikio wakati wa mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliomaliziki jioni ya leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, bila timu hizo kufungana. Kushoto ni Kelvin Yondan, akijiandaa kutoa msaada.

MATOKEO KAMILI YA MECHI ZA LIGI KUU KATIKA VIWANJA SITA HII LEO:-

YANGA 0- SIMBA 0
NDANDA...

 

9 years ago

Michuzi

Bilioni Mbili kutengwa kwa ajili ya kusaidia utafiti wa zao la Korosho

 Na Lorietha Laurence-Maelezo
Bodi ya Korosho Tanzania imeadhima kutoa asilimia 7 ya mapato yake sawa na shilingi bilioni mbili kwa ajili ya kusaidia utafiti wa zao hilo unaofanywa na kituo cha utafiti cha Naliendele.
Akiongea wakati wa kufunga kwa mkutano wa tatu wa kimataifa uliowahusisha wadau kutoka nchi mbalimbli duniani ,Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Korosho Tanzania Bw. Muhidhiri Muhidhiri amesema kuwa changamoto kubwa wanayokabiliana nayo ni ukosefu wa fedha kwa ajili ya...

 

5 years ago

Michuzi

WAZEE WAIPONGEZA SERIKALI SHINYANGA KUPUNGUZA MAUAJI YA WAZEE

Baraza la Wazee mkoa wa Shinyanga limeipongeza Serikali ya mkoa huo, kupunguza tatizo la mauaji ya wazee pamoja na watu wenye ualbino, ambao walikuwa akiuawa kwa sababu ya imani potofu za kishirikina.


Wazee wametoa pongezi hizo leo Machi 11,2020 kwenye kikao cha Baraza la Wazee Mkoa wa Shinyanga, kilichofanyika kwenye hospitali ya rufani ya mkoa wa Shinyanga, kilichokuwa na lengo la kujadili changamoto mbalimbali zinazowakabili na kuzitafutia ufumbuzi likiwamo suala la matibabu.  Akisoma...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakulima watambulike kikatiba — Matango

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Reuben Matango, ametaka kundi la wakulima kutambuliwa kisheria na kuingizwa katika Katiba mpya tofauti na ilivyo sasa. Akizungumza na Tanzania Daima muda mfupi baada...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani