MATUKIO KATIKA PICHA YA MTANANGE WA WAZEE WA KUNDUCHI YANGA 0 NA WAZEE WA SAUZI SIMBA 0
Beki wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ (kulia), akiondosha mpira wa hatari katika eneo la langoni kwake huku mshambuliaji wa Simba, Elius Maguri (katikati) akijaribu kunyoosha guu ili kupiga mpira huo bila mafanikio wakati wa mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliomaliziki jioni ya leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, bila timu hizo kufungana. Kushoto ni Kelvin Yondan, akijiandaa kutoa msaada.
MATOKEO KAMILI YA MECHI ZA LIGI KUU KATIKA VIWANJA SITA HII LEO:-
YANGA 0- SIMBA 0
NDANDA...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziWAZEE WAIPONGEZA SERIKALI SHINYANGA KUPUNGUZA MAUAJI YA WAZEE
Wazee wametoa pongezi hizo leo Machi 11,2020 kwenye kikao cha Baraza la Wazee Mkoa wa Shinyanga, kilichofanyika kwenye hospitali ya rufani ya mkoa wa Shinyanga, kilichokuwa na lengo la kujadili changamoto mbalimbali zinazowakabili na kuzitafutia ufumbuzi likiwamo suala la matibabu. Akisoma...
10 years ago
Vijimambo18 Oct
MTANANGE WA YANGA NA SIMBA VIKOSI VYATAJWA
![](http://udakunews.com/wp-content/uploads/2014/09/simbayanga.jpg)
Deogratius Munisi "Dida" Juma Abdul, Oscar Joshua, Nadir Haroub "Cannavaro" Kelvin Yondani, Mbuyu Twite, Hassan Dilunga, Haruna Niyonzima, Genilson Santos "Jaja", Mrisho Ngasa, Andrey Coutinho.
BENCHI LA AKIBA
Juma Kaseja, Salum Telela, Rajab Zahir, Nizar Khalfan, Simon Msuva, Hamis Kiiza na Jerson Tegete.
KIKOSI CHA SIMBA
Manyika Peter, William Lucian, Mohamed Husseni, Hassan Shaka, Joseph Owino, Jonas Mkude, Haruna Chanongo, Said Ndemla, Elias Maguri, Amri Kiemba na Emanueli Okwi
10 years ago
Mtanzania30 Jan
Wazee Simba kuvamia kambi ya wachezaji
MWALI IBRAHIM NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
BAADA ya Simba kupokea kichapo cha mabao 2-1 dhidi ya Mbeya City juzi, wazee wa klabu hiyo wameshindwa kuvumilia na kuamua kupanga kutinga kwenye kambi ya timu hiyo iliyopo Ndege Beach Dar es Salaam, ili kuzungumza na wachezaji kujua tatizo linalosababisha kuvurunda katika ligi.
Simba msimu huu imeshindwa kufanya vema katika mechi zake mbalimbali za ligi, ambapo kwa sasa inashika nafasi ya 11 kwenye msimamo hali ambayo imewakasirisha kwa kiasi...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-g9svs89s-cg/VKAeG2DiIDI/AAAAAAAG6I4/68D5nF0qGIs/s72-c/MMGM0023.jpg)
PICHA ZA MTANANGE WA YANGA NA AZAM JITIRIRISHE CHINI KIROHO SAFI
![](http://3.bp.blogspot.com/-g9svs89s-cg/VKAeG2DiIDI/AAAAAAAG6I4/68D5nF0qGIs/s640/MMGM0023.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-2Kwgz3zarCM/VKAeoxZQAyI/AAAAAAAG6JQ/ItX1PYQGu3c/s640/MMGM0029.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-J-0mRLz0tKE/VKAehgr3wyI/AAAAAAAG6JI/knEbPiLwA8Q/s640/MMGM0068.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-EDiEIppEHzc/VKAeSDIeKCI/AAAAAAAG6JA/M0Pzgqw3vj4/s640/MMGM0072.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Z1rZfg-4nns/VKAer8jtKwI/AAAAAAAG6JY/qzPTl8ymsm8/s640/MMGM0086.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-PhqI_JykH0g/VKAevdm4aLI/AAAAAAAG6Jg/93UIQFZcQmw/s640/MMGM0090.jpg)
9 years ago
MillardAyo30 Dec
Mbunge wa Monduli alivyokabidhiwa mikoba ya kazi na wazee wa Kimasai !! (+Picha)
Wabunge wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano Tanzania tayari wameapishwa kwa asilimia kubwa, wachache waliobaki ni wa kutoka maeneo ambayo Uchaguzi Mkuu ulisogezwa mbele kwa sababu mbalimbali. Kama ulidhani kazi ya kuapishwa ilitosha kuumsogeza Mbunge wa Monduli, Julius Kalanga (CHADEMA) kuendelea na Ubunge, basi jibu ni hapana… wazee wa jamii ya kimasai, wamemkabidhi fimbo kama ishara ya kumbariki […]
The post Mbunge wa Monduli alivyokabidhiwa mikoba ya kazi na wazee wa Kimasai !! (+Picha)...
9 years ago
Bongo528 Sep
Alikiba na Jokate washuhudia mtanange wa Simba na Yanga pamoja
11 years ago
GPLWAZEE WA YANGA WAPANGA KUMFUATA MKUU WA MKOA WA DAR
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-spDM_WORaWo/VEE9H0FwlHI/AAAAAAAGrX8/0EJ4bMvkELk/s72-c/Simba-vs-Yanga.-.jpg)
kuelekea mtanange wa Simba na Yanga, mashabiki milioni 20 matumbo joto
![](http://1.bp.blogspot.com/-spDM_WORaWo/VEE9H0FwlHI/AAAAAAAGrX8/0EJ4bMvkELk/s1600/Simba-vs-Yanga.-.jpg)
Hakuna takwimu sahihi za mashabiki wa klabu kongwe nchini za Simba na Yanga ni wangapi, lakini si chini ya watu milioni 20, akili zao zitasimama kwa takriban dk 90 na kupata kiwewe cha huzuni au furaha wakati miamba hiyo itakapovaana hapo kesho Taifa.
Joto la mechi hiyo tayari limepanda Zaidi ya nyuzi 90 huku kukiwa na hisia tofauti zikiwemo za udanganyifu wa wachezaji kuwa majeruhi ili kuteka akili za wapinzani.
Tayari kuna taarifa Yanga itawakosa wachezaji wake muhimu akiwemo...
10 years ago
VijimamboMTANANGE WA ZANZIBAR HEROES NA TANZANIA BARA KATIKA PICHA