Wazee wa CCM wadai kupoteza imani na Kificho
Baraza la Wazee wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar, limesema limepoteza imani na Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Pandu Ameir Kificho kutokana na waraka aliouandika na kuwasilishwa kwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba kwa niaba ya Baraza la Wawakilishi ukipendekeza Tanganyika na Zanizbar ziwe mamlaka huru za dola.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima21 Oct
Wazee wadai kutengwa kikatiba
WAWAKILISHI wa Mashirika yanayotetea wazee nchini (TSPN), wameililia serikali na viongozi wa dini kwamba wametengwa kwa kuwa rasimu iliyopendekezwa haijawazungumzia. Hayo yanatokana na ongezeko la vifo vya wazee vitokanavyo na...
11 years ago
Tanzania Daima15 Mar
Kificho awatunishia msuli CCM
SPIKA wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Pandu Ameir Kificho, amesema hataachia uongozi wa baraza hilo hadi itakapothibitika iwapo amekiuka sheria na kanuni za uendeshaji wa Baraza la Kutunga Sheria Zanzibar....
11 years ago
Tanzania Daima14 Mar
Kificho asisimua makundi ya urais CCM
MZAHA wa Mwenyekiti wa muda wa Bunge Maalumu la Katiba, Pandu Ameir Kificho, kwa wajumbe wa Bunge hilo kuhusu kuwepo kikao cha makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanaotajwa kuutaka...
11 years ago
TheCitizen04 Mar
House of Reps legislators from CCM disown Kificho statement
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/ester-kiama.gif)
ESTER: BADO NINA IMANI NA CCM
10 years ago
Mwananchi17 Dec
Rais Kikwete alaumiwa CCM kupoteza viti Uchaguzi Serikali za Mitaa
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-w-fW3VeDRmc/XsKFXJho9ZI/AAAAAAALqqo/b9ySt1WXpkk9cmbZYFtt_cS_pQcoJGWIQCLcBGAsYHQ/s72-c/vlcsnap-2020-05-16-17h44m38s345.png)
Chadema wadai kutostushwa na madiwani wao kutimkia CCM
Na Amiri kilagalila,Njombe Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA mkoa wa Njombe kimesema hakijashtushwa na taarifa za Madiwani wao watatu wa wilaya ya Makete kutangaza kuhamia Chama cha Mapinduzi CCM kwa kuwa walishakuwa na taarifa za kuwa wamekuwa wakitishwa kwa muda mrefu. Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Njombe Rose Mayemba amesema kuwa licha ya madiwani hao kutotoa sababu hizo hadharani lakini kama chama kilishapata taarifa hizo kwa muda mrefu kwamba wamekuwa...
9 years ago
Mwananchi13 Sep
CUF Z’bar wadai CCM imevunja mkutano wao
10 years ago
Vijimambo07 Feb
NAPE: CCM HAIWEZI NA WALA HAINA MPANGO WA KUPOTEZA HISTORIA YA MAHALA ILIPOZALIWA TANU
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-XPCe2YK0BSs%2FVNYp3jgunxI%2FAAAAAAAAWxU%2FSlLwmqpvgvc%2Fs1600%2F01.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg. Nape Nnauye amesema CCM haiwezi na wala haina mpango wa kupoteza historia ya mahali ilipozaliwa TANU.
Ameyasema hayo wakati akizungumza na wahariri wa gazeti la JamboLeo siku ya Ijumaa tarehe 6 februari 2015 alipotembelea ofisini kwao katika ziara ya kutembelea vyombo mbalimbali vya habari nchini.
Alisema kumekuwa na...