Kificho awatunishia msuli CCM
SPIKA wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Pandu Ameir Kificho, amesema hataachia uongozi wa baraza hilo hadi itakapothibitika iwapo amekiuka sheria na kanuni za uendeshaji wa Baraza la Kutunga Sheria Zanzibar....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima18 Feb
Magufuli awatunishia msuli makandarasi
WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli amewaambia makandarasi kwamba serikali itaendelea kusitisha mikataba yao pindi wanaposhindwa kufuata sheria za mikataba ya barabara wanayoingia. Akizungumza wakati wa kusaini mikataba na makandarasi...
11 years ago
Tanzania Daima14 Mar
Kificho asisimua makundi ya urais CCM
MZAHA wa Mwenyekiti wa muda wa Bunge Maalumu la Katiba, Pandu Ameir Kificho, kwa wajumbe wa Bunge hilo kuhusu kuwepo kikao cha makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanaotajwa kuutaka...
11 years ago
Mwananchi14 Mar
Wazee wa CCM wadai kupoteza imani na Kificho
11 years ago
TheCitizen04 Mar
House of Reps legislators from CCM disown Kificho statement
10 years ago
Mtanzania21 Sep
Chadema watunisha msuli
![Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika akisisitiza jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari.](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/John-Mnyika.jpg)
Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika akisisitiza jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari.
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeendelea na msimamo wake wa kufanya maandamo na migomo isiyo na mwisho kwa nchi nzima na leo kinatarajia kutoa ratiba yake.
Hayo yalibainishwa jana na Ofisa Habari wa chama hicho, Tumaini Makene wakati akizungumza na MTANZANIA Jumapili pembezoni mwa mkutano wa vijana wa vyama vya siasa barani Afrika (DUA) uliokuwa ukifanyika katika Hoteli ya...
11 years ago
Habarileo12 Feb
Wafanyabiashara waitunishia msuli TRA
MGOMO wa wafanyabiashara dhidi ya mashine za kielektroniki (EFDs) umetafsiriwa kuwa na ajenda ya siri kutokana na ushawishi unaodaiwa kufanyika nchi nzima huku katika maeneo mengine, ukiungwa mkono na wachuuzi wasiohusika na mashine hizo.
10 years ago
Tanzania Daima03 Oct
Malinzi aitunishia msuli Bodi ya Ligi
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limesema kuwa Bodi ya Ligi haina mamlaka ya kupinga maamuzi yeyote ya kamati ya utendaji ya TFF, chombo pekee chenye uwezo wa kupinga maamuzi hayo...
10 years ago
Habarileo20 Dec
Dk Mwakyembe atunishia msuli kamati ya Bunge
WAZIRI wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe ameitunishia misuli Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu baada ya kugoma kuwarejesha kazini watumishi 27 wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (Tazara) waliofanya mgomo kazini kinyume cha sheria.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2C1Kdsbffb4/VQj2dKk_cKI/AAAAAAAHLLE/ZxPXyAB1pmM/s72-c/unnamed%2B(5).jpg)
MRISHO NGASSA ATUMISHA MSULI, AGOMA KUSAINI YANGA!
![](http://1.bp.blogspot.com/-2C1Kdsbffb4/VQj2dKk_cKI/AAAAAAAHLLE/ZxPXyAB1pmM/s1600/unnamed%2B(5).jpg)
Mrisho Ngassa amegoma kusaini mkataba mpya na Yanga mpaka uongozi utakampomlipa deni lake la Sh45 milioni, akidai kwamba uongozi wa Yanga ulimuhadaa akope fedha zake benki ya CRDB ili ailipe Simba kwa kile walichomuadi kumlipia deni hilo.
"Yanga wasipotoshe ukweli...wao waliniambia nikope fedha, watalipa. Matokeo yake wananikata mshahara wangu wote, nimegoma kusaini ndiyo! Mpaka wanilipe deni langu Sh45 milioni wakishanilipa nitakubali kukaa mezani tujadili mkataba mpya."alisema...