Magufuli awatunishia msuli makandarasi
WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli amewaambia makandarasi kwamba serikali itaendelea kusitisha mikataba yao pindi wanaposhindwa kufuata sheria za mikataba ya barabara wanayoingia. Akizungumza wakati wa kusaini mikataba na makandarasi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima15 Mar
Kificho awatunishia msuli CCM
SPIKA wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Pandu Ameir Kificho, amesema hataachia uongozi wa baraza hilo hadi itakapothibitika iwapo amekiuka sheria na kanuni za uendeshaji wa Baraza la Kutunga Sheria Zanzibar....
11 years ago
Tanzania Daima13 Jul
Magufuli: Makandarasi wazawa wajaliwe
SERIKALI imewaagiza mameneja wa Wakala wa Barabara nchini (Tanroads) na wakurugenzi watendaji wa halmashauri za wilaya, manispaa na majiji nchini, kutoa vipaumbele kwa makandarasi wazalendo. Agizo hilo limetolewa wilayani hapa jana...
11 years ago
Tanzania Daima15 Apr
Magufuli awanyima likizo makandarasi
WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, amewataka wahandisi wote nchini kutokwenda likizo kwa ajili ya Sikukuu ya Pasaka hadi miundombinu iliyoharibiwa na mvua itakapokamilika kukarabatiwa. Dk. Magufuli alitoa kauli hiyo...
11 years ago
Mwananchi24 Jul
Dk Magufuli aapa kufa na makandarasi
10 years ago
Mwananchi03 Mar
Dk Magufuli achekelea makandarasi kuadhibiwa
11 years ago
Dewji Blog13 Jul
Magufuli awapa tano makandarasi wazawa
Waziri wa Ujenzi, Dk.John Pombe Magufuli, akifuatilia kwa makini taarifa iliyokuwa ikitolewa na kaimu meneja TANROADS mkoa wa Singida Mhandisi, Leonard Kapongo kwenye hafla ya kuweka jiwe la msingi kwa ujenzi wa barabara ya Manyoni mjini yenye urefu wa kilometa mbili kwa kiwango cha lami.Wa kwanza kushoto ni mkuu wa wilaya ya Manyoni na anayefuatia ni mkuu wa mkoa wa Singida .Dk.Parseko Kone.
Na Nathaniel Limu, Manyoni
Serikali imewaagiza Mameneja wa TANROADS na Wakurugenzi watendaji wa...
11 years ago
Tanzania Daima19 Feb
Magufuli apigia debe makandarasi wazawa
WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, ameutaka uongozi wa Wakala wa Majengo nchini (TBA) kuhakikisha wanatumia makandarasi wa ndani katika ujenzi wa miradi ya nyumba inayofanywa na wakala huo. Akizungumza...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/6i_isjjBFrU/default.jpg)
10 years ago
Mtanzania21 Sep
Chadema watunisha msuli
![Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika akisisitiza jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari.](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/John-Mnyika.jpg)
Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika akisisitiza jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari.
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeendelea na msimamo wake wa kufanya maandamo na migomo isiyo na mwisho kwa nchi nzima na leo kinatarajia kutoa ratiba yake.
Hayo yalibainishwa jana na Ofisa Habari wa chama hicho, Tumaini Makene wakati akizungumza na MTANZANIA Jumapili pembezoni mwa mkutano wa vijana wa vyama vya siasa barani Afrika (DUA) uliokuwa ukifanyika katika Hoteli ya...