Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Magufuli apigia debe makandarasi wazawa

WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, ameutaka uongozi wa Wakala wa Majengo nchini (TBA) kuhakikisha wanatumia makandarasi wa ndani katika ujenzi wa miradi ya nyumba inayofanywa na wakala huo. Akizungumza...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Magufuli: Makandarasi wazawa wajaliwe

SERIKALI imewaagiza mameneja wa Wakala wa Barabara nchini (Tanroads) na wakurugenzi watendaji wa halmashauri za wilaya, manispaa na majiji nchini, kutoa vipaumbele kwa makandarasi wazalendo. Agizo hilo limetolewa wilayani hapa jana...

 

11 years ago

Dewji Blog

Magufuli awapa tano makandarasi wazawa

DSC00056

Waziri wa Ujenzi, Dk.John Pombe Magufuli, akifuatilia kwa makini taarifa iliyokuwa ikitolewa na kaimu meneja TANROADS mkoa wa Singida Mhandisi, Leonard Kapongo kwenye hafla ya kuweka jiwe la msingi kwa ujenzi wa barabara ya Manyoni mjini yenye urefu wa kilometa mbili kwa kiwango cha lami.Wa kwanza kushoto ni mkuu wa wilaya ya Manyoni na anayefuatia ni mkuu wa mkoa wa Singida .Dk.Parseko Kone.

Na Nathaniel Limu, Manyoni

Serikali  imewaagiza Mameneja wa TANROADS na Wakurugenzi watendaji wa...

 

11 years ago

Habarileo

Dk Shein apigia debe serikali mbili

Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed SheinSERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imesema mchakato wa kupatikana kwa Katiba mpya na wakati wa marekebisho ya Katiba ya Zanzibar, mamlaka za nchi hizo zilikubaliana kuwepo kwa serikali mbili pekee.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tarishi apigia debe utalii wa ndani

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Maimuna Tarishi, amevipa changamoto vyombo vya habari nchini, kupigia debe utalii wa ndani kama sehemu ya kuongeza pato la taifa na kuimarisha...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Serikali iwezeshe makandarasi wazawa’

SERIKALI imeombwa kuzijengea uwezo na kuzipa kipaumbele kampuni za ujenzi za ndani katika ujenzi wa miradi mikubwa kwa kuwa sasa zina uwezo wa teknolojia na vifaa vya kisasa. Meneja miradi...

 

10 years ago

Habarileo

Mkapa ‘awapigia debe’ wataalamu wazawa

Rais mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin MkapaRAIS mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa ameitaka Wizara ya Ujenzi kuweka mazingira mazuri ya kuwawezesha wataalamu wa ndani kuweza kupata fursa za kushiriki katika ujenzi wa miradi mikubwa ili kuiongezea nchi mapato.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Magufuli awanyima likizo makandarasi

WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, amewataka wahandisi wote nchini kutokwenda likizo kwa ajili ya Sikukuu ya Pasaka hadi miundombinu iliyoharibiwa na mvua itakapokamilika kukarabatiwa. Dk. Magufuli alitoa kauli hiyo...

 

11 years ago

Mwananchi

Dk Magufuli aapa kufa na makandarasi

Waziri wa ujenzi, Dk John Magufuli ametoa onyo kwa makandalasi wabovu wanaojenga barabara chini ya kiwango kuwa kamwe hatakuwa tayari kufukuzwa kazi na Rais Jakaya Kikwete kutokana na uzembe wao, bali ataendelea kuwatimua kama hawatatekeleza kile walichokubaliana.

 

10 years ago

Mwananchi

Dk Magufuli achekelea makandarasi kuadhibiwa

Waziri wa Ujenzi, John Magufuli ameupongeza Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroad) kwa kuwachukulia hatua watendaji wa Kampuni ya Dott Services kwa kosa la kuchelewesha ujenzi wa barabara ya Mkumbara hadi Same yenye urefu wa kilomita 96.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani